Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.na BADOO UKOOO haiiiii.mpwa ulikuwaa na kagere ya bb ninii.marafikizanguu wotee waliokuwa wakiendaa pale wamegawana site kinondon cementry WENGINE mbwenni waliopoo naonaa WANAFANYA booking lohDah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Ni kweli. Mpaka BRT inakuja Macheni ilishakuwa Tia_maji_tia_maji. IPO kama haipo vile. The Highway Night Park aka Kwa Macheni.... @inamamb_maji_tia_majiacheni iliyumba kabla BRT haijaanza, walishanza kuhamisha nguvu kwenye bar ya mke wke ashura kinondoni, ilikuwa style hzo hzo za macheni
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa yupo na Diwani. Ngoja amkombe vya urithi vyote. Ndugu wa Muta Rwakatare ndo watamjua Ashura.ashura alimtosa huyu jamaa pia-yule dem fursa mbele,alimtosa Rama kabla hajaenda kwa macheni rama akapagawa akawa chizi kabisa unamkuta pale kino anaongea peke yake ,huku ashura anakula bata na macheni duh.
Huyu jamaa ndo yule ambaye nilikuwaga nasikia miaka ya 2001 alikuwaga anaenda Dubai anatafunwa na waarabu halafu akirudi bongo anakuja na cheni za dhahabu anawatafuna wasanii wa kiume wenye tamaa halafu anawahonga cheni?Mmiliki wa baa maarufu ya Macheni iliyopo Magomeni jijini Dar es
Salaam, Hussein Macheni amefariki dunia leo baada ya kuanguka ghafla akiwa
nyumbani kwake Magomeni.
![]()
Kwa mujibu wa ndugu wa marehemu ni kwamba Macheni alianguka ghafla majira ya
saa 3 asubuhi na kukimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo iligundulika kuwa
tayari amefariki.
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Muhimbili kusubiri taratibu nyingine. Mwenyezi Mungu Ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi. AMEN.
Chanzo : Global Publishers
Kwanni mkuu ongeza nyama si wengine vijana wa 2000sBar ya Macheni
Galaxy Magomeni
Sewa Buguruni
Bonga ilala
Zimeua watu wengi Sana Dar.
Ok,Dah....nimekula sana totoz hapo kwenye baa yake miaka ya 90.
Apumzike kwa Amani.
Safi sana D, afya ndo kitu ya muhimuWe mbona nawe hunielewi. Mimi nimeanza kutumia kondjom kabla ukimwi haujaingia Tanzania. Sijui rangi ya ARV
Sio kweli huyu bwana alikuwa mjanja wa awali kufanya biashara Dubai na hata Ashura mkewe amerudi toka Dubai sio muda mrefuHuyu jamaa ndo yule ambaye nilikuwaga nasikia miaka ya 2001 alikuwaga anaenda Dubai anatafunwa na waarabu halafu akirudi bongo anakuja na cheni za dhahabu anawatafuna wasanii wa kiume wenye tamaa halafu anawahonga cheni?
Au zilikuwaga story tu?
Maana wabongo kwa kuzusha hawajambo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duh umenikumbusha enzi za ugomvi kati ya Azaboy na JitegemeePole Kwa Ndugu, jamaa na marafiki. Nakumbuka nilikuwa nakatiza asubuhi nikiingia zangu skuli Azania, asubuhi saa moja nakuta bado kuna mtu kibao zinapata mambo. Kwa Macheni kweli enzi hiyo.
Pumzika Kwa Amani Hussein.
Yeye afungue mabaa halafu sasa hivi mnaanza Allah hivi ALlah vile? Akapambane na hali yake huko kaburiniInalilah wainailayhi rajiun, nimepata habari few mins ago toka whatsapp group, Allah amuondolee adhabu ya kaburi, ampe kauli thabit,mbele yake nyuma yetu.
Dini sahihi, haimuhukumu mtu kwa alichokifanya duniani.Yeye afungue mabaa halafu sasa hivi mnaanza Allah hivi ALlah vile? Akapambane na hali yake huko kaburini
Sasa yupo na Diwani. Ngoja amkombe vya urithi vyote. Ndugu wa Muta Rwakatare ndo watamjua Ashura.
Thanks