Mount Everest
Member
- Nov 27, 2018
- 6
- 3
Kwa vikwazo hivi wanategemea mabilionea hawa watumike kumshauri Putin aache shambulia Ukraine ili mali zao zibaki salama? Au ni kumwonea perege kwa kosa la kambale?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama ni mshirika wa PutinHii itapelekea wawekezaji kwenye timu zingine za UK kujitoa na clubs nyingi zitapotea "muda ni hakimu mzuri"
Kwanza mmiliki alishatangaza kwamba hata angeiuza pesa zote zungeenda kwenye charity asingechukua hata mia kwaio hizi kelele hazimyumbishi
Wewe punda hata leo hii chelseafc ikifutwa kwenye uso wa dunia kamwe Arsenal haiwezi kupata mafanikio Kama iliyopata Chelseafc.Ni wakati sasa wa mashabiki fake wa Chelsea kurudi kwenye timu yao halisi ya Arsenal.
Karibuni sana nyumbani kumenoga.
Ni pesa tu wewe, yani shabiki kabisa unaeujua mpira unatumia neno KAMWE??Wewe punda hata leo hii chelseafc ikifutwa kwenye uso wa dunia kamwe Arsenal haiwezi kupata mafanikio Kama iliyopata Chelseafc.
Mwekezaji atoke wapi wakati wameiwekea vikwazo hadi vya kutouzwa??!!Mtaji wa Timu za England ni kama ifuatavyo:-
Historia,
Mashabiki (hawa hawaami hata iweje)
Suala la Pesa na Mwekezaji linakuja baadae, Hivi unajua aliyoiuza Chelsea kwa Abramavich aliinunua kwa Pound Moja ?
Ilikuwa na Madeni na ilibidi anunue na madeni hayo na pia kuwekeza..., kwa sasa Brand ya Chelsea ilivyo hawatakosa kupata mwekezaji..., Ingawa Football as its Run kwa sasa its not sustainable timu nyingi zinaendeshwa kwa Hasara (Arsene Wenger ndio alikuwa anajua kuendesha timu kama Taasisi) na sio kutumia pesa ambazo hazipo au kutegemea a Godfather...
Itafika wakati mambo yatajiseti tu na timu nyingi zitakwenda under administration...
Wamefanya hivyo ili Roman hasiweze kupata faida ya hayo mauzo, kwahio mwisho wa siku huenda Chelsea ikawa bei nzuri au ku-pocket all the profits.., hili litakuwa solved sooner rather than later am sure watu wapo mezani na behind the scenes watu wanapitia bids tofauti tofautiMwekezaji atoke wapi wakati wameiwekea vikwazo hadi vya kutouzwa??!!
Ok,nimekupata Mkuu.Wamefanya hivyo ili Roman hasiweze kupata faida ya hayo mauzo, kwahio mwisho wa siku huenda Chelsea ikawa bei nzuri au ku-pocket all the profits.., hili litakuwa solved sooner rather than later am sure watu wapo mezani na behind the scenes watu wanapitia bids tofauti tofauti
This is more Political..., na Kipindi kile FIFA ina meno enzi za Blatter huu ujinga ujinga wa kuingiza Siasa kwenye The Beautiful Game usingetokea....
Ila ndio hivyo tena....
Na waliomfanyia sio waafrica piaWatamlipa jamaa hela nyingi sana akifuata sheria hatoki africa huyo naona wanajisahau ngoja tuone movie itaishia wapi.