Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury ni Joseph Ngeleuya

Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.

Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatika Kila mahali.

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina tofauti tofauti zikiwemo basi zikizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa Nchini.

Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746

Case Closed. Tuache kuzusha mambo.

View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Hata kule Lindi kuna Mkulima anamiliki Hotel ya Kisasa
 
Wanasiasa na matajiri wa Kitanzania karibu wote ni wezi wa Mali za Umma,utajiri wao sio wa jasho bali ni ujanja janja wa Kuwa karibu na Serikali kukwepa kodi na kutumia rasilimali za Nchi.
1.Rostam tajiri Na 2 ,utajiri wake ni wizi mtupu wa Mali za umma na uthibitisho upo wazi.
2.Dewiji Family-ukwepaji wa kodi hasa kwenye sukari
3.Bakhresa ni Mali zilizoibwa na wanasiasa akina Mohammed Salim
The list goes on
 
Wanasiasa na matajiri wa Kitanzania karibu wote ni wezi wa Mali za Umma,utajiri wao sio wa jasho bali ni ujanja janja wa Kuwa karibu na Serikali kukwepa kodi na kutumia rasilimali za Nchi.
1.Rostam tajiri Na 2 ,utajiri wake ni wizi mtupu wa Mali za umma na uthibitisho upo wazi.
2.Dewiji Family-ukwepaji wa kodi hasa kwenye sukari
3.Bakhresa ni Mali zilizoibwa na wanasiasa akina Mohammed Salim
The list goes on
 
Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.

Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatika Kila mahali.

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina tofauti tofauti zikiwemo basi zikizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa Nchini.

Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746

Case Closed. Tuache kuzusha mambo.

View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Umelala usingizi mzito. Pole sana. Hivi unadhani hata kama yangekuwa ni ya mwanasiasa fulani basi ni mjinga kiasi cha kuandika jina lake? Yaani kweli mwanasiasa aandike jina lake kwenye biashara? Elimu yetu kweli ni mbovu kiasi cha mtu kushindwa kuona kitu kilichopo futi mbili mbele. Tafadhani sana usije kuleta upotoro mwingine kama huu siku nyingine.
 
Asante kwa kuumaliza utata huu na ili kuwafunga kabisa watu vilomolomo, elezea thamani ya mabasi hayo, na sources of fund za mmiliki, ili kuondoa possibility ya silent partners ambao wanatoa pesa zao bila majina yao kuonekana.

P

Thubutu unadhani ataweza kuweka hizo details? Biashara kubwa kubwa kwa Afrika lazima mkono wa vigogo uwepo au unadhani waliosema fulani anamiliki hiki wao walizusha tu bila kutumia akili
 
Baada ya uzushi na upotoshaji wa muda mrefu, niliamua kuingia chimbo kutafuta ukweli wa nani ni mmliki wa Mabasi hayo.

Nimekuja na facts ambazo Kila mwenye akili timamu anaweza kuzipata mwenyewe maana zinapatika Kila mahali.

Mmiliki wa Mabasi ya Esther Luxury Buses ni Mtanzania Mwenzetu kijana Mpambanaji wa siku nyingi katika biashara ya Mabasi, anamiliki Mabasi aina tofauti tofauti zikiwemo basi zikizokuwa zikihusishwa na Mwanasiasa mmoja hapa Nchini.

Mmliki ni Ndugu Joseph Didas Ngeleuya, P.O. Box 71392, Dar es Salaam. 4463. Plot No. 746

Case Closed. Tuache kuzusha mambo.

View attachment 2459930View attachment 2459931View attachment 2459932View attachment 2459933
Mbumbumbu mna ujasiri sana!
Unaamini kabisa biashara nyingi kubwa mjini ni za walioandikishwa kwenye makaratasi!!
 
Shukrani kwa taarifa nzuri, ili kutuondoa Mawenge tuliyonayo tusaidie,

1. Historia ya Mmiliki wa hayo Mabasi .

2. Namna ambavyo alipata Mtaji wa Biashara.

3. Partners wake kwenye Biashara

4. Hapo nimeona taarifa ya Mwaka 2022. Hayo Mabasi yapo kabla ya 2022. Je kabla ya hapo nani alikuwa akimiliki hayo Mabasi?


NB:
Taarifa hizi muhimu zitatusaidia kujua kama Kampuni inahusika na Utakatishaji pesa ama la.
Kwa kifupi uchunguzi wako bado haujakamilika, rudi tena chimbo mwamba
 
Back
Top Bottom