Kwa matendo anayoyafanya ni dhahiri kajichimbia na hayuko tayari kufa.unalaana ya wazazi ko wewew
π π π π π Jmaa anatamani agekuwa ni mmarangu kama sisi.Haha π, Ni asili tu mkuu. Mtu wa kanda hiyo hata akiwa black kuna uwezekano mkubwa mtoto wake kuwa white
yaani mpaka leo unajua yupo chato kweli huna akili kabisaaa laana hiyo inakusumbuaKwa matendo anayoyafanya ni dhahiri kajichimbia na hayuko tayari kufa.
Chato eapoti amuachie nani?
Yale matraffic light amuachie nani?
Madege amuachie nani?
Libwawa la maumeme amuachie nani?
Li reli la sgr amuachie nani?
Magufuli hatakufa.
Yani amezaliwa 1977?
Halafu kwa Mwanaume kuwa na mtoto mkubwa hivyo ktk umri huo?!
Huenda wamekosea huo Mwaka!
Mkuu ni ''MCHAGA WA MARANGU'' na sio ''MCHAGGA WA MARANGU'' kuna tofauti kati ya mchaga na mchagga πanaitwa MAX MOSHI
MCHAGGA WA MARANGU .
kuzaliwa 1977
Shule :Chuo Kikuu Birmigham Uingereza
Huyo binti pembeni ni wake alikuwa anaolewa.
ana Mabasi 12 ya Marangu coach,
Ana biashara zingine za usafirishaji Marekani,
Ni tajiri wa Kipato cha Kati, hayupo kwa matajiri wakubwa.
aliamua kuanza biashara ya Magari kumuenzi Baba yake aliykuwa na Mabasi miaka ya 1970 huko Marangu
Acha ubishi wewe!Sio kweli, bado yu hai.
Sentesi yako ilipaswa kuwa hivi:-Mama yao bado yu hai, HAJAFARIKI.
Kama na mke atakuwa kafariki itakuwa ni pigo kubwa mno
Duuuh na mke tena! r i p. Kuna nn tena wadau kwenye hii familia?
Unajua kusoma.yaani mpaka leo unajua yupo chato kweli huna akili kabisaaa laana hiyo inakusumbua
Nashangaa wanaozusha sijui huo upuuz wanauokoteza wapiMama bado yupo anaendelea vizuri
Inaudhi sanaNashangaa wanaozusha sijui huo upuuz wanauokoteza wapi
Mae, ebu tuelezee ww alivyoviacha basi.Amekosea vingi ila haina maana .
Mama yao bado yu hai, HAJAFARIKI.
Siku zote mmliki akiondoka anaondoka na upepo woteDah kampuni ndio ilikuwa imeanza kuteka soko la kaskazini aisee... RIP Marangu
Asante mleu, si unajua sisi CHASAKA, haya mambo tujaifunza tu huku mitandaoni.Mkuu ni ''MCHAGA WA MARANGU'' na sio ''MCHAGGA WA MARANGU'' kuna tofauti kati ya mchaga na mchagga π
Ndio maana siku kadhaa usafiri ulianza kulega lega kumbe jamaa alikuwa anajiuguza tu. Sijui itakuwaje lakini urithi ukishagawiwa.Siku zote mmliki akiondoka anaondoka na upepo wote
Super Sami ilikua hivyo hivyo,Marangu nayo ilishaanza
kuwa yamoto hata ofisi zao za Dar Ni moja ya OFISI kali
sana ukitoa ile ya DAR LUX na K.NJARO,R.I.P mr.Marangu.
Mkuu Kuna basi moja la Marangu Coach lina mtoto mmoja mkali sana. Ananifanya Kila Nikija Tz nilitumie sana gari lao bila kujielewa tuSiku zote mmliki akiondoka anaondoka na upepo wote
Super Sami ilikua hivyo hivyo,Marangu nayo ilishaanza
kuwa yamoto hata ofisi zao za Dar Ni moja ya OFISI kali
sana ukitoa ile ya DAR LUX na K.NJARO,R.I.P mr.Marangu.
Ashenale Mleu π π ππAsante mleu, si unajua sisi CHASAKA, haya mambo tujaifunza tu huku mitandaoni.
asante sana.