TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

TANZIA Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia Hospitali ya Aga Khan

Picha hii anaonekana kaenda Age tofauti na ya Mwanzo
FB_IMG_15911963797822126.jpg
 
Bwana amezaa
Bwana ameua
Jina lake lihimidiwe

Inna Lilahi
Wa Innah Ilahi
Raaaj Un!
 
Mkuu, kuna ndugu yake katuma ujumbe huo kuwa mke wake amefariki leo majira ya saa nane mchana. Huyo aliyetuma ujumbe ni ndugu wa huyo mwanamke.
Hakika kuna watu hukutana na mitihani duniani!!!haielezeki Mungu awapokee.
 
Back
Top Bottom