G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Mkuu, kuna ndugu yake katuma ujumbe huo kuwa mke wake amefariki leo majira ya saa nane mchana. Huyo aliyetuma ujumbe ni ndugu wa huyo mwanamke.Wait mpaka familia idhibitishe, ndio tuwke jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, kuna ndugu yake katuma ujumbe huo kuwa mke wake amefariki leo majira ya saa nane mchana. Huyo aliyetuma ujumbe ni ndugu wa huyo mwanamke.Wait mpaka familia idhibitishe, ndio tuwke jukwaani
Hivi kila mfanyabiashara wa kichagga ni chadema[emoji848]
Mkuu, kuna ndugu yake katuma ujumbe huo kuwa mke wake amefariki leo majira ya saa nane mchana. Huyo aliyetuma ujumbe ni ndugu wa huyo mwanamke.
Tajiri huku Jf unafata nini,unafikiri Tajiri ana muda wa kuscrow down huu undezi tunaojibishana humu.Pole sana tajiri mwenzangu
Sawa wee hujui huku ndio tunakotulizia akili?Tajiri huku Jf unafata nini,unafikiri Tajiri ana muda wa kuscrow down huu undezi tunaojibishana humu.
Nasikia mkewe nae kng'ata shuka leoHuenda
Dub duhNasikia mkewe nae kng'ata shuka leo
Ni kweli mkuu. Inasikitisha sanaNasikia mkewe nae kng'ata shuka leo
Mkuu usichukulie kila kitu serious humu..Tajiri huku Jf unafata nini,unafikiri Tajiri ana muda wa kuscrow down huu undezi tunaojibishana humu.
Hakika kuna watu hukutana na mitihani duniani!!!haielezeki Mungu awapokee.Mkuu, kuna ndugu yake katuma ujumbe huo kuwa mke wake amefariki leo majira ya saa nane mchana. Huyo aliyetuma ujumbe ni ndugu wa huyo mwanamke.
Huyo mwanaume ni mtu wa makamo kazaliwa mwaka 1968 mkuuPicha hii anaonekana kaenda Age tofauti na ya MwanzoView attachment 1467852
Kuteka soko kaskazini?!unacheza wewe! KLM, Extra, BM, Tahmeed umewaweka wap? Mtu Ana gari 2 juzi Kati ndo kaongeza 2 nyingine.Dah kampuni ndio ilikuwa imeanza kuteka soko la kaskazini aisee... RIP Marangu
Mmiliki wa Mabasi ya Marangu Coach afariki dunia usiku wa kuamkia leo Agakhan Hospital. Rest in Peace tajiri wa Marangu
97 alikuwa na mtoto wa kike, 2019 mtoto kamaliza chuo Ulaya karudi kuolewa:
Unafikir amesoma chuo cha kata kama wewe huko "Hope University " iringa na kwengineko?
Kama unafikir elimu ni ghali jaribu ujinga, wao walijaribu elimu.
Yani acha tu! Nayapenda haya mabasi!Dah kampuni ndio ilikuwa imeanza kuteka soko la kaskazini aisee... RIP Marangu
R.I.P baba na mama.Picha hii anaonekana kaenda Age tofauti na ya MwanzoView attachment 1467852
Magufuli naye atakufa ila siyo siku unayoipenda wewe wala kifo unachotaka wewe! Only God knows when and how!Magufuli hatakufa.