Mmiliki wa mabasi ya Sauli watakaokufilisi ni madereva wako

Hizo ajali sio za makusudi wala bahati mbaya...zina mkono usioonekana. Kuna kitu kinaitwa KUZINGATIA MASHARTI hasa kama mali zenyewe umezipata kupitia njia zetu zile.. Sauli anapotea muda si mrefu
Nyie ndio muna sababisha Elimu yetu kuwa ya kitumwa leo hiii unawaza mazingaumbwee kweli halafu mtu mwenyewe nani Mshana Jr du inatisha
 

Hizo gari zina madereva vichaa....
 
Sauli "mnyama mkali" kudadadeki
 
Ajali za kawaida tuuu.. Ila awape madereva wa mwanzo..Aache kusikiliza majungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…