Masia na Tawaqal ya Tunduma kule ndio kukimbia,unabaki unashangaa eti mtu anasema kuna basi zinakimbia siku hizi,mi naona ajali nyingi ni ongezeko kubwa la magari huku barabara zikiwa hazina ubora na hasa upana.Kiswele na Zainabu ilikuwa hatari sana