Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kuiskia Asante Rabb au Kiasi kitamu ww?gari zao c Luxury ila hyo route Mwanza -Arusha ndo monitor waoSifa ya Mabasi ya SAUL ni mwendo kasi na kwa kadri ya kumbukumbu zangu hakuna basi la mikoani lililoendeshwa kwa mwendo kaai lilidumu
Afu pia kuna mbio na fujo vitu viwili tofauti sauli madereva wanafujo sana ni kweli kuna basi zinaKimbia lkn sio kwa fujo za kijingaS kwamba znakimbia Sana na wala sizan madereva wa sauli wanaendesha vibaya ispokuwa hizo gari zimekuwa maarufu Sana kila kitu wanachofanya kina trends Sana gari nying tu znapata ajal ila znaishia Kimya Kimya akipata ajali sauli kila media itaandika Hiv kuna basi linakimbia Kama asante Rabi ya arusha mwanza
Mkuuu nakuambia madereva wote wa mabasi wanafujo Sana barabaran madereva weng wa mabas wana vichwa vibovu niseme tu Saul ana Bahat mbaya nazan labda kwa ule ufemas wakeAfu pia kuna mbio na fujo vitu viwili tofauti sauli madereva wanafujo sana ni kweli kuna basi zinaKimbia lkn sio kwa fujo za kijinga
Wanaendesha kwa fujo sana na wanadharau sana wanaona kama hawatopata ajali.wanaovertake ovyooAfu pia kuna mbio na fujo vitu viwili tofauti sauli madereva wanafujo sana ni kweli kuna basi zinaKimbia lkn sio kwa fujo za kijinga
Sauli hamumwezi hata mumfanyie figisu vipi
Walikuwepo akina Zainabs, Scandnavia, Kiswele. Enzi hizo Greek akikalia usukani, acheni jamani. Ukweli uko pale pale, speed kali zinaua. Nukta kubwa.
Wanachojua ni kusema ukitaka tufanye kazi vizur nipe mkataba baada ya mda gari liwe langu
Hizo sio stori za bodaboda tu kiongoziUnaleta stori za bodaboda kwenye bus mtu akupe gari la milion 500
S kwamba znakimbia Sana na wala sizan madereva wa sauli wanaendesha vibaya ispokuwa hizo gari zimekuwa maarufu Sana kila kitu wanachofanya kina trends Sana gari nying tu znapata ajal ila znaishia Kimya Kimya akipata ajali sauli kila media itaandika Hiv kuna basi linakimbia Kama asante Rabi ya arusha mwanza
Duh. Dogo Yuko vzr. Magari yote Ni original.Saul Henry Amon - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.wikipedia.org
Labda kama kimepoa wiki hizi! Hakukuwa na bus inayoweza kukaa mbele ya kile ki'bus..Asante rabi hakuna kitu kutoka mwanza znaliwa sana na bus za dar
Anazingatia masharti halafu tena anapotea,mbona mnaamini ushirikina kwa lengo kinzani?kwa hiyo ngozi nyeupe tu ndio wako legally?waafrika tunajua kujitukana!Hizo ajali sio za makusudi wala bahati mbaya...zina mkono usioonekana. Kuna kitu kinaitwa KUZINGATIA MASHARTI hasa kama mali zenyewe umezipata kupitia njia zetu zile.. Sauli anapotea muda si mrefu
Hapana, huyu uliyemtaja ni aliyewahi kuwa mbunge wa Rungwe, na mmiliki wa maduka ya vipodozi ya S. H Amon na hotel za LandMark kama sikosei.Saul Henry Amon - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.wikipedia.org
Kama hujaelewa ni vema ukaomba kueleweshwaAnazingatia masharti halafu tena anapotea,mbona mnaamini ushirikina kwa lengo kinzani?kwa hiyo ngozi nyeupe tu ndio wako legally?waafrika tunajua kujitukana!
Nimekomenti bila kujua kama ni wewe Mshana ila bado sijutii nilichokomenti!Ushirikina ni imani japo kila muumini wake hayuko tayari kujitaja kama mshiriki,mi naona tuwe na evidence kuitetea hii imani lisiwe jiwe dhidi ya wapinzani wetu.Kama hujaelewa ni vema ukaomba kueleweshwa