Masia na Tawaqal ya Tunduma kule ndio kukimbia,unabaki unashangaa eti mtu anasema kuna basi zinakimbia siku hizi,mi naona ajali nyingi ni ongezeko kubwa la magari huku barabara zikiwa hazina ubora na hasa upana.Kiswele na Zainabu ilikuwa hatari sana
Polo analo mwinukaDXE chini ya matata Tito
Uko sahihi lakini kwenye hili la Sauli hebu tuupe muda wakati kila kitu kitajulikana tuu.. Wakati ni hakimu mzuriNimekomenti bila kujua kama ni wewe Mshana ila bado sijutii nilichokomenti!Ushirikina ni imani japo kila muumini wake hayuko tayari kujitaja kama mshiriki,mi naona tuwe na evidence kuitetea hii imani lisiwe jiwe dhidi ya wapinzani wetu.
Kwa komenti yako hii, inatudhihirishia kuwa wewe ni mtu mjinga sana.Unamiliki biashara ya ukubwa gani kiasi cha kuanza ku supply ushauri kwa mmiliki wa mabasi ya Sauli ?
Ndio,Waliokuwepo enzi izo wenye mabasi ambayo hayanakuwa na speed wako wapi au nao walipotea kama hao uliowataja?
Kuna chochote ulichopungukiwa baada ya kudhihirishiwa hilo ?Kwa komenti yako hii, inatudhihirishia kuwa wewe ni mtu mjinga sana.
saul mbunge ama mmilik wa maduka ya SH amon na hotel za landmark sio mhusika wa ayo magari kama ulivo weka hiyo link apo juu una walisha watu tango poli
Wanachojua ni kusema ukitaka tufanye kazi vizur nipe mkataba baada ya mda gari liwe langu
Sumry yuko sumbawanga huko anamiliki mashamba makubwa ya ngano, mahindi,maharage na choroko. Hataki kusikia kumiliki mabasi tena.Hivi Sumry bado yupo?
Sumry yuko sumbawanga huko anamiliki mashamba makubwa ya ngano, mahindi,maharage na choroko. Hataki kusikia kumiliki mabasi tena.
Hata hivyo huyu Sauli ,hategemei kabisa hiyo biashara ya mabasi. Hapo kaegesha tu hela yake,kama sehemu tu kuajili vijana. Huyu mwamba anamiliki migodi ya dhahabu huko chunya. Ana jiwe
I see hiyo kweli nitakuwa sina habari. Alifariki lini?. Ule ufagio wa covid ulipita nae nini?Nafikir huna habari kama sumry alishafariki na alizikwa dar
hao wakina sumry walikua zaidi ya mmoja alie fariki alikua ni mmoja wa wamiliki lakini zaidi yey alikua na kampuni za ujenzi kama sikosei alie kua msimamiz wa mabasi na ambae ana zungumziwa hapa yupo mzima tele anaendelea na shughuli zake za kilimo kwenye shamba lake Msimbazi Farm uko Nkasi RukwaNafikir huna habari kama sumry alishafariki na alizikwa dar
I see hiyo kweli nitakuwa sina habari. Alifariki lini?. Ule ufagio wa covid ulipita nae nini?
hao wakina sumry walikua zaidi ya mmoja alie fariki alikua ni mmoja wa wamiliki lakini zaidi yey alikua na kampuni za ujenzi kama sikosei alie kua msimamiz wa mabasi na ambae ana zungumziwa hapa yupo mzima tele anaendelea na shughuli zake za kilimo kwenye shamba lake Msimbazi Farm uko Nkasi Rukwa
Hizo ajali sio za makusudi wala bahati mbaya...zina mkono usioonekana. Kuna kitu kinaitwa KUZINGATIA MASHARTI hasa kama mali zenyewe umezipata kupitia njia zetu zile.. Sauli anapotea muda si mrefu
Sasa hapo mjinga , ni msimamizi wa sheria za barabarani.kwani hayo mabasi yanapita hewani?Wale wanaobeti wanaendelee kuweka ligi za mashindano za mabasi maana ndio wanaowapa vichwa madereva wa hayo mabasi
Aisee this comment didn't age well given the sad news of his demise.Ye mwenyewe yupo rough tu juzi kati naye kapata ajali kisa kukimbizana na basi lake.
RIPYe mwenyewe yupo rough tu juzi kati naye kapata ajali kisa kukimbizana na basi lake.