Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what's your point then?Huko kuna mrundikano wa kesi kibao za Tusiime
Hela huwa wanapeleka wapi hawa?Hapo St Anne Marie mshahara wa March miaka yote huwaga ni shida mshahara wa December nao ni shida wanalipwa robo robo mpaka shule zikifunguliwa.
Sasa pata picha kipindi hiki.
Kwani uwa haikaguliwi ? Na maofisa elimu na tra ?
Poleni saanaa ndugu waalimu na wafanyakazi wa shule za private kwa ujumla
Cha msingi ni kuwa wavumilivu na kutafuta njia mbadala ya kuishi katika hili janga litapita na ajira zenu zitaendelea kama kawaida.
Kuwen makin sana kuepusha migogoro isiyo ya lazima kwa janga la mpito.
Sio tusiime tùuu ni shule nyingi saana za private zinapitia the same situations.
Mimi binafsi tangu janga la korona sijawalipa watumishi wangu wa katushen center kangu.
Tawalipa nini wakati wanafunzi hawaji kulipa ??
Tusiime pia ada wanalpa in phases. Three month phases. Sasa mwezi wanne alitegemea akuaanye ada ili awalipe. Ndio hivyo tena kovid imetukatili
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamteke yule bonge na waombe kigombozi kitakachowatosha kugawanaSo what's your point then?
Wananunua Mi v8 kama yote,wanapeleka majimboni kuhonga wapiga kura,wanajengea maghorofa na kuhonga mademu zao,shopping DubaiHela huwa wanapeleka wapi hawa?
Wanahitaji kuwe na bodi ya kuregulate shule za binafsi?
Sent using Jamii Forums mobile app