Mmiliki wa Shule za Tusiime jitafakari na uwalipe wafanyakazi stahiki zao

Mmiliki wa Shule za Tusiime jitafakari na uwalipe wafanyakazi stahiki zao

Ni rafiki take mkubwa na wanashauriana.
Wakati Alpha schools amekaa na watumishi wake na kukubaliana awalipe 50% na inayobakia iwe Deni yeye kwa aliposikia janga la Covid akaamua kuhamisha mpunga wa kutosha kwenda kwingine! Na kwakua anajua walimu wake Ni weupe kwenye financial statements akawaambia Ana mil 30 tu bank nao wakakubali kwa kusoma ile figure ya chini wajanja wakstuka, Asante Serikali kwa kumtokea Jana na hakikisheni account zake zote je Ni kweli hawezi kujiendesha hata mwezi mmoja? Mana huu Ni mwanya wa kuhujumu uchumi kwa kutopeleka PAYE.
Tusisime anaaibisha taasisi yake, taasisi yoyote ile huwa ina hela ya akiba kwa mwaka mzima..

Shule hii ni ya kitambo saana, inakuwaje inakosa hela ndani ya miezi miwili ya mwanzo shida ipo wapi..inatakiwa serikali iingilie kati..huu ni uhuni, wakague account za shule na itozwe penalti huu narudia tena ni uhuni uliopita kiasi

Tusiime ina uwezo wa kulipa mishahara kwa muda wa miezi 4 bila shida

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala hakuhitaji hata kuhamisha yeye alitakiwa asiguse walimu angehangaika na non core function staff ambao sio walimu aongee nao the way forward politely .Lakini walimu no no no.

Walimu hawakutakiwa waguswe kabisa alitakiwa at any time awe na akiba hata ya miezi sita ya kuendelea kulipa walimu hata Kama shule itafungwa kwa corona au kwa kukosa wanafunzi ili alinde walimu wazuri wasije ondoka .Hana retention policy endelevu kwa teachers itamgharimu Sana

Ameshajenga jina anataka kubomoa .Kurudisha jina sio kazi rahisi .Ku build brand sio easy task kubomoa one day inatosha.Aachane kusumbua walimu brand builders waliomjengea tusiime Brand

Serikali huwa na akiba ya dharura ,mkulima pia ana akiba ya kiangazi ya chakula taasisi kubwa Kama Tusiime haina akiba ya kiangazi ? Very bad and hopeless financial management .Aajiri wataalamu aache ubahiri
Hujawahi kufanya biashara wewe.naona unaropoka tuu.hapa Kwanza alitakiwa kupunguza wafanyakazi.unalinganisha shule binafsi naa serikali una akili wewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo cha msingi serikali itoe fao la kujitoa kwa waajiriwa secta bnafsi wote waliotemeshwa mzigo,ila kwa serikali za kiafrica msitegemee serikali kutoa luzuku kwa sclecta bnafsi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hii corona itasaidia watu kutia hakiri sasa,hasa wajiriwa,muwe watu wa kujiongeza siyo kutegenea mwajiri tuuu,mwajiri ana malengo yake, vyuo mlienda ili viwasaidie,most of employees wanatumia pesa vibaya ukilinganisha na wafanyabiashara,mtu akipata salary kutumbua 70 siku moja bar na washikaji kawaida,ika kwa mjasiliamali ni sumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiii taasisi ina shida ilimtelekeza best yangu Silunka sina hamu nayo.
 
Ukivaa uhusika wa mmiliki utakuwa upande wa mmiliki,, Ukivaa uhusika wa walimu utakuwa upande wa mwalimu.

Ila ukweli ni hela hakuna,, so hata wakitaka kulipwa bado itakuwa ni deni.

BUT, Ni muda wa walimu kuchunga ndimi zao sana, Coz wakizembea wanaweza chezea Kazi na Mshahara
Kazi isiyoweza kukusaidia kipindi kama hiki cha majanga ni sawa na kutokua na kazi,hivi mkulima wa bustani ana amani kuliko mtumishi wa sekta binafsi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anatakiwa kulipa watu mishahara..Labda afuate taratibu za kisheria za retrenchment ambazo ni shirikishi.
Kwa tution una haki ndio maana wanafunzi wanalipa mara nyingi kitopic au ki mwezi.
Sasa shule nyingi tena kubwa kama hizo wazazi hulazimishwa lipa ada ya nusu mwaka au mwaka mzima kabisa.Wachache sana wanalipa robo mwaka.

Kumbuka sa hivi hakuna hata mwanafunzi shuleni hivyo hakuna utumiaji wa chakula umeme au maji kam wanafunzi wanapokuwepo. Hivyo angalau wangewambia walimu wanawalipa nusu au robo mshahara hadi mwezi June ambako ndo mwisho wa nusu mwaka.

Anyway kuajiriwa ni sehemu naona yakijinga sana na kuishi bila akiba ni mbaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unauhakika PAYE na other taxes zinapelekwa kikamilifu?
Hiyo taasisi inachezea sana PAYE. Ukija idadi ya wanafunzi ndo kabisa inapunguzwa ili kupunguza mapato ya kodi.
Ni madudu kibao.
Poleni
Kwani uwa haikaguliwi ? Na maofisa elimu na tra ?
 
Hyo mmiliki Ana akili ya kitapeli...yeye si mfanye biashara ya elimu kwanini askubali biashara ina Faida na hasara..Tajiri mkubwa anashindwa kujua haki ya waajiliwa wake ambao wengi ni hawana kitu...hapo lazma awajibike eidha auze mali apate cha kuwalipa watumishi..haiwezekani awaze Faida tu na ada kubwa wanazowapga watu ..4m ada kw kichwa haingii I akilini kushindwa kuwapa watu pesa zao..uza mali kupisha kipindi cha mpito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hyo mmiliki Ana akili ya kitapeli...yeye si mfanye biashara ya elimu kwanini askubali biashara ina Faida na hasara..Tajiri mkubwa anashindwa kujua haki ya waajiliwa wake ambao wengi ni hawana kitu...hapo lazma awajibike eidha auze mali apate cha kuwalipa watumishi..haiwezekani awaze Faida tu na ada kubwa wanazowapga watu ..4m ada kw kichwa haingii I akilini kushindwa kuwapa watu pesa zao..uza mali kupisha kipindi cha mpito

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko marekani zaidi ya waafanyakazi million 16,wamepoteza ajira.Serikali ndio imeamua kuwapa benefits.Sasa Kwa tajiri WA kibongo ndio akulipe Tu mshahara huku hajui janga litaisha lini?Wakae wamuombe boSs wao mkopo wa kujikimu wa mwezi mpaka shule zitakapofunguliwa.Nawajuaji Corona ikiisha nao vibarua vyao vitaota nyasi,unafikiri Kwa nini walinzi na wapishi kashamalizana nao,ni Kwa sababu MTU anaangalia alikotoka na anakokwenda.
 
Hali sio nzuri, ni vyema ukitoa hekima kutumika kwa mwajiri lakini pia walimu ni vizuri wapime uhalisia. Tulipoambiwa madhara ya corona si ugonjwa tu hatukuelewa lakini impact ndio kwanza zinaanza.

Kwenye hili wamiliki watapita kwenye magumu mengi, baada ya mgogoro na waalimu ipo kazi pia upande wa wazazi kulipa ada shule zitapoanza. Serikali iangazie hili kwa haraka na hekima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[Tusiime ajiongeze taasisi yake Ni household name pesa zote anazopata anapeleka wapi huwa anakula zote? Aajiri investment manager au financial controller ammsaidiae jinsi ya kuwekeza au atafute investment consultant s mbona wahaya wenzie wako kibao tu wamsaidie.
Walimu ndio capital yake kubwa asicheze nao.Mtaji wake sio pesa ,mijengo au migari ya shule Ni walimu

Napinga kwa nguvu zote kitendo Cha yeye kugusa walimu.Mtaji mkuu wa shule Ni walimu.Hata tuition nyingi mfano mwenge dar watoto wengi huenda kwenye vibanda umiza vya hovyo lakini vyenye vijana walimu wa kutisha wenye uwezo wake kufa mtu kwenye kufundisha masomo ya sayansi

Tusiime be careful with teachers hao Ni producers wa hela za tusiime sio consumers

Haiwezekani taasisi kubwa Kama Tusiime iyumbe na ipate economic shock muda mufupi hivi .

Ada akilipwa akishatoa matumizi huwa anazipeleka wapi? Zote anazifanya dividend yake au?
We jamaa unaongea vitu irrelevant kabisa sidhani ata kama umewahi kufanya biashara yoyote. Yani uko too much theoretically
Kama unaamini kinacho ipandisha shule ni walimu tu peke yao basi Pole sana
 
Hyo mmiliki Ana akili ya kitapeli...yeye si mfanye biashara ya elimu kwanini askubali biashara ina Faida na hasara..Tajiri mkubwa anashindwa kujua haki ya waajiliwa wake ambao wengi ni hawana kitu...hapo lazma awajibike eidha auze mali apate cha kuwalipa watumishi..haiwezekani awaze Faida tu na ada kubwa wanazowapga watu ..4m ada kw kichwa haingii I akilini kushindwa kuwapa watu pesa zao..uza mali kupisha kipindi cha mpito

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee ...tuna safari ndefu sana! Kwahiyo auze mali zake sio? Wewe unaweza kuuza vyako kwaajili ya jirani yako tu mwenye njaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kile ambacho hakikutarajiwa na wengi Ni suala la wamiliki wa Shule za Binafsi ikiwemo Tusiime ambayo inamiliki Tusiime nursery, primary na secondary kukaidi kulipa mishahara ya watumishi wake wakiwemo walimu.

Mmiliki wa Tusiime aliitisha kikao na wafanyakazi mnamo tarehe 17/4 kwa nia ya kuwaeleza wafanyakazi wake wote Nia yake ya kupunguza wafanyakazi, kuvunja mikataba pamoja na kutolipa mishahara kwa mwezi April na kuendelea.

Watumishi walipinga vikali ajenda hiyo na akaamua kupendekza ajenda ya wafanyakazi 500 kuwa na wawakilishi 50 ambao watakaa kikao kingine ili kujadili na kuamua hatma ya stahiki za watumishi

Vikao vyote alihakikisha anakua na mwanasheria ambae atatetea maslahi yake na hakuwapa wafanyakazi nafasi ya kuwa na mwanasheria au kiongozi wa chama Cha wafanyakazi.

Katika kikao Cha pili aliwashawishi wafanyakazi wasiokua walimu kukubali na ajenda yake ya kutolipa mishahara na kuwataka kuchukua likizo Bila malipo, kwa kutumia ushawishi huo watumishi (auxiliary) ambao wengi ni wahaya wakaunga mkono na hivyo hatma ya wafanyakazi kuamuliwa kwa Kura.

Walimu wa sekondari hawakuridhia uamuzi huo na kuamua kukutana ili kupata mastakabali wao. Baada ya Taarifa hizo kumfikia Ndugu Albert (Mmiliki) aliomba polisi wa kutuliza ghasia kutoka kituo Cha Staki Shari ili kuwadhibiti walimu hao wasikusanyike ili kunadiliana kuhusu mustakabali wao katika eneo lilokubaliwa na kwa bahati nzuri walimu hawakukutana!

Baada ya hapo ameandaa fomu maalum ya likizo Bila malipo na kuwaita wafanyakazi kimya kimya ili wasaini huku akiwapa malipo ya tsh laki Moja na nusu(rushwa) ambao watakubali!

Ikumbukwe kwamba baada ya agizo la kufungwa Shule kwa siku 30 wafanyakazi walitakiwa kujaza fomu za likizo, je inawezekana kisheria ndani ya mwezi mmoja kuwe na likizo, halafu likizo Bila malipo?

Walimu Hawa wanalipa PAYE Kila mwezi, walimu Hawa wanatoa mchango kwa serikali katika utoaji elimu Kama sekta Binafsi.

Serikali na vyombo vyake vimwagize Mr Albert Katagira alipe mishahara ya mwezi April na May haraka! Na pia vikao vyote alivyofanya viamuliwe Ni batili kisheria!

Baada ya hapo aone Ni namna gani atahakikisha wafanyakazi wake wanaishi katika kipindi hiki Cha Covid

Serikali imfanyie ukaguzi katika mapato na matumizi yake kwani hi ni Tusiime holdings kwa maana hiyo Ni group of companies. Kabla uchafu wake mwingine haujaanikwa hadharani. T

Unaumwa wewe, huyo mmiliki wa hiyo shule atapata wapi pesa za kukulipeni mishahara wakati hakuna kinachoingia shuleni? Ungetuambia kuwa wazazi bado wanatakiwa na wanalipa ada ningekuelewa, au unategemea huyo "mhaya" akakope ili awalipe nyie mishahara?
Subiri kidogo tu, utasikia hata jiwe anawapa likizo za bila malipo waalimu wa shule za serikali.
 
Back
Top Bottom