Poleni saanaa ndugu waalimu na wafanyakazi wa shule za private kwa ujumla
Cha msingi ni kuwa wavumilivu na kutafuta njia mbadala ya kuishi katika hili janga litapita na ajira zenu zitaendelea kama kawaida.
Kuwen makin sana kuepusha migogoro isiyo ya lazima kwa janga la mpito.
Sio tusiime tùuu ni shule nyingi saana za private zinapitia the same situations.
Mimi binafsi tangu janga la korona sijawalipa watumishi wangu wa katushen center kangu.
Tawalipa nini wakati wanafunzi hawaji kulipa ??
Tusiime pia ada wanalpa in phases. Three month phases. Sasa mwezi wanne alitegemea akuaanye ada ili awalipe. Ndio hivyo tena kovid imetukatili
Sent using
Jamii Forums mobile app