Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Kwani kutokuongelea ndio kutokufa? Kuna watu hawaongelei kufa sababu wanaogopa kifo. Na wakati huo wakijua hawana maajabu yoyote watakayoacha wakifa leo.
Aaa..wapi yule alikuwa anakiongelea kifo mpaka tulikuwa tunamshangaa, huenda alikuwa anatembea na Santuri ya Remmy Ongala ya KIFO kwenye Suti.
 
Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.

Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.

Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?

Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa

View attachment 2008952
Waziri anasema serikali walivinunua.. swali walienda kuvinunua kwa nani kama mmiliki haijulikani?
 
Sasa viko wapi mali ya kuota siya kuiba
Kama kuna umuhimu wa kutumika huko utaviona tu. Ni mikakati tu kama huyu wa sasa pia atakuwa nayo au atakuwa anawazia safari ya Januari ya USA kwa ajili ya uzinduzi wa filam yake ya royal tour.
 
Hiii Nchi kwa sasa tumekosa kiranja mwenye sauti kuuu. Vichwa vya Treni vimenunuliwa toka kwa muuuzaji hewa Sterling Mbalawa. Bwawa la Nyerere tunaaambiwa hakuna Crane ya kubebea mzigo wa tani 26 hivyo halitajazwa maji ili Umeme uendelee kuwa shida Sterling Makamba. Wanyama kuwindwa ruksa .. Sterling Ndumbaro. Watumishi vyeti feki ruksa kurejea na kulipwa Sterling Mchengerwa. Mbolea iuzwe mfuko elf 95 badala ya elfu 50 Sterling Prof. Mkenda. Mgao wa Umeme uendeleee kwasababu wakati wa JPM mashine zilichoka sana kwa kuwashwa muda wooote Makamba tena. Mafuta kupanda Bei licha ya tozo kuondolewa Mpigaji wa Bumbuli. Watumishi Hewa warudi na wapo kwa wingi sasa, Mkwe wetu steringi.
Shule za Serikali kubagazwa kwenye usahihishaji wa Mitihani ili zionekane si kitu Prof Ndchako.
Mawe ya utafiti wa Madini na Makinikia ruksa kupelekwa Popote duniani Biteko the Don. Nappe, Membe, Ndugai nk wanaendelea kutia vionjo ili mziki uendelee kunoga.
Yaaaani ni hasira zimetujaaaaaa tunasubiri upenyo muone hasira zetu Watanzania.
Rostam Aziz Mungu anakuona na Kiwanda chako cha Morogoro. Jiwe upumzike Mwamba uliwanyooosha sana hawa Vibwengo lkn ipo siku.
Siku gani tena mkuu ujue kuwa siku hazigandi
 
Hiii Nchi kwa sasa tumekosa kiranja mwenye sauti kuuu. Vichwa vya Treni vimenunuliwa toka kwa muuuzaji hewa Sterling Mbalawa. Bwawa la Nyerere tunaaambiwa hakuna Crane ya kubebea mzigo wa tani 26 hivyo halitajazwa maji ili Umeme uendelee kuwa shida Sterling Makamba. Wanyama kuwindwa ruksa .. Sterling Ndumbaro. Watumishi vyeti feki ruksa kurejea na kulipwa Sterling Mchengerwa. Mbolea iuzwe mfuko elf 95 badala ya elfu 50 Sterling Prof. Mkenda. Mgao wa Umeme uendeleee kwasababu wakati wa JPM mashine zilichoka sana kwa kuwashwa muda wooote Makamba tena. Mafuta kupanda Bei licha ya tozo kuondolewa Mpigaji wa Bumbuli. Watumishi Hewa warudi na wapo kwa wingi sasa, Mkwe wetu steringi.
Shule za Serikali kubagazwa kwenye usahihishaji wa Mitihani ili zionekane si kitu Prof Ndchako.
Mawe ya utafiti wa Madini na Makinikia ruksa kupelekwa Popote duniani Biteko the Don. Nappe, Membe, Ndugai nk wanaendelea kutia vionjo ili mziki uendelee kunoga.
Yaaaani ni hasira zimetujaaaaaa tunasubiri upenyo muone hasira zetu Watanzania.
Rostam Aziz Mungu anakuona na Kiwanda chako cha Morogoro. Jiwe upumzike Mwamba uliwanyooosha sana hawa Vibwengo lkn ipo siku.
Alikuwa mpumbavu sana.
Acha akalipe unafiki wake huko slokuwa sheitwani kabisa
Kwa uongo yule jamaa alikua Ni toptop
Aisee..naona mnyukano wa kulinda legacy (Sukumas) na waponda legacy (Chagas) unaendelea
 
Back
Top Bottom