Chaggas +Makunduchi Gang + Nungwi CoastAisee..naona mnyukano wa kulinda legacy (Sukumas) na waponda legacy (Chagas) unaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaggas +Makunduchi Gang + Nungwi CoastAisee..naona mnyukano wa kulinda legacy (Sukumas) na waponda legacy (Chagas) unaendelea
Inawezekana ndiyo maana Sanjay Duty yupo hapaKama kuna umuhimu wa kutumika huko utaviona tu. Ni mikakati tu kama huyu wa sasa pia atakuwa nayo au atakuwa anawazia safari ya Januari ya USA kwa ajili ya uzinduzi wa filam yake ya royal tour.
Ni Wapenda Demokrasia na wapenzi wa Udikteta uchwara.Aisee..naona mnyukano wa kulinda legacy (Sukumas) na waponda legacy (Chagas) unaendelea
Na amekutana na serikali tayai(PM)Inawezekana ndiyo maana Sanjay Duty yupo hapa
Nchi hii ilitumbukia mikononi mwa jitu jinga kuwahi kutokea. Eti shujaawa Afrika....Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.
Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.
Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?
Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa
View attachment 2008952
Chagas ndio walimtuma akadanganye?Aisee..naona mnyukano wa kulinda legacy (Sukumas) na waponda legacy (Chagas) unaendelea
Kila mmoja anajitengenezea status yake ya kuzungumziwa, namna hiyo ndivyo alivyowaandaa watu waje wamzungumzieSijawahi kuona marehemu anatukanwa kama huyu
Unalipi jipya!@kipara kipya
Alikua mkuu wa Executive asiye na haya kuvuruga hili au line na kusigina Katiba- Jenerali UlimwenguSijawahi kuona marehemu anatukanwa kama huyu
Kaondoka kaviacha. Hata wale alowamiminia risasi na kuwapangia mazishi yao hata kabla hawajafa kaondoka kawa acha. Sasa hivi ni mwendo wa kuchezea vitasa vya hatarii kuzimu.
Idugunde Magonjwa Mtambuka
Hakuna ila lilidhania litaish milele eti kwasababu tu ya urais aliyotunukiwa na NEC
Alikuwa mpumbavu sana.
Mbona unatapika mapovu badala ya kuelewa kilicho andikwa?
Hizo cheap politics ndio maana Magufuli alikuwa ananyoosha watu.
Vichwa vya train mwenyewe alijulikana ‘Progressive Rail Locomotive’ PRL.
Serikali ikavinunua kwa ku sign mkataba 2018 mbele ya TV kati ya TRC na PRL na maelezo yakatolewa (na hizo video zipo YouTube).
Inawezekana sisi watanzania tuna short ‘memory span’ kushinda binadamu wengine ndio maana tumekuwa watu rahisi sana kulishwa uongo.
Mmiliki alikua megufuli ila alivyoboya akaja na comedy yake kutuona wajinga kumbe yeye mjinga...ingefika siku akasema kaokota ndege airportKuuliza wala siyo ujinga wana JF.
Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.
Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?
Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa
View attachment 2008952