Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Kama kuna umuhimu wa kutumika huko utaviona tu. Ni mikakati tu kama huyu wa sasa pia atakuwa nayo au atakuwa anawazia safari ya Januari ya USA kwa ajili ya uzinduzi wa filam yake ya royal tour.
Inawezekana ndiyo maana Sanjay Duty yupo hapa
 
Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.

Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.

Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?

Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa

View attachment 2008952
Nchi hii ilitumbukia mikononi mwa jitu jinga kuwahi kutokea. Eti shujaawa Afrika....
 



Hizo cheap politics ndio maana Magufuli alikuwa ananyoosha watu.

Vichwa vya train mwenyewe alijulikana ‘Progressive Rail Locomotive’ PRL.

Serikali ikavinunua kwa ku sign mkataba 2018 mbele ya TV kati ya TRC na PRL na maelezo yakatolewa (na hizo video zipo YouTube).

Inawezekana sisi watanzania tuna short ‘memory span’ kushinda binadamu wengine ndio maana tumekuwa watu rahisi sana kulishwa uongo.
 



Hizo cheap politics ndio maana Magufuli alikuwa ananyoosha watu.

Vichwa vya train mwenyewe alijulikana ‘Progressive Rail Locomotive’ PRL.

Serikali ikavinunua kwa ku sign mkataba 2018 mbele ya TV kati ya TRC na PRL na maelezo yakatolewa (na hizo video zipo YouTube).

Inawezekana sisi watanzania tuna short ‘memory span’ kushinda binadamu wengine ndio maana tumekuwa watu rahisi sana kulishwa uongo.
Mbona unatapika mapovu badala ya kuelewa kilicho andikwa?

Umesahau kuwa watanzania walitangaziwa mchana kweupe kuwa hivyo vichwa havikuwa na mwenyewe pale bandarini?
 
Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.

Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.

Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?

Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa

View attachment 2008952
Mmiliki alikua megufuli ila alivyoboya akaja na comedy yake kutuona wajinga kumbe yeye mjinga...ingefika siku akasema kaokota ndege airport
 
Back
Top Bottom