Aaa..wapi yule alikuwa anakiongelea kifo mpaka tulikuwa tunamshangaa, huenda alikuwa anatembea na Santuri ya Remmy Ongala ya KIFO kwenye Suti.Kwani kutokuongelea ndio kutokufa? Kuna watu hawaongelei kufa sababu wanaogopa kifo. Na wakati huo wakijua hawana maajabu yoyote watakayoacha wakifa leo.
Kwa wewe unaeogopa kifo unaweza kushangaa.Aaa..wapi yule alikuwa anakiongelea kifo mpaka tulikuwa tunamshangaa, huenda alikuwa anatembea na Santuri ya Remmy Ongala ya KIFO kwenye Suti.
Mwanzo tulikuwa tunamshangaa ila Membe aliposema jamaa ni Chizi tukamuelewa.Kwa wewe unaeogopa kifo unaweza kushangaa.
Kama ulimuelewa membe basi we ni chizi pia. Maana chizi humuelewa chizi mwenzie. Kwa hiyo chizi membe alimuelewa chizi magu, na chizi imhotep akamuelewa chizi membe.Mwanzo tulikuwa tumshangaa ila Membe aliposema jamaa ni Chizi tukamuelewa.
Membe Chizi!🤔 hebu jitafakari.Kama ulimuelewa membe basi we ni chizi pia. Maana chizi humuelewa chizi mwenzie. Kwa hiyo chizi membe alimuelewa chizi magu, na chizi imhotep akamuelewa chizi membe.
Ni Ma~JokeriIla CCM bhana
Waziri anasema serikali walivinunua.. swali walienda kuvinunua kwa nani kama mmiliki haijulikani?Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.
Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.
Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?
Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa
View attachment 2008952
@kipara kipyaKaondoka kaviacha. Hata wale alowamiminia risasi na kuwapangia mazishi yao hata kabla hawajafa kaondoka kawa acha. Sasa hivi ni mwendo wa kuchezea vitasa vya hatarii kuzimu.
Idugunde Magonjwa Mtambuka
Ili na mi niwe chizi mwenzenu?Membe Chizi![emoji848] hebu jitafakari.
SAA hizi wanasema wameagiza vichwa vingine, ukute ni vile "vilivyookotwa" ndio vinazungushwa hapo hapo....Ni Ma~Jokeri
Kama kuna umuhimu wa kutumika huko utaviona tu. Ni mikakati tu kama huyu wa sasa pia atakuwa nayo au atakuwa anawazia safari ya Januari ya USA kwa ajili ya uzinduzi wa filam yake ya royal tour.Sasa viko wapi mali ya kuota siya kuiba
Siku gani tena mkuu ujue kuwa siku hazigandiHiii Nchi kwa sasa tumekosa kiranja mwenye sauti kuuu. Vichwa vya Treni vimenunuliwa toka kwa muuuzaji hewa Sterling Mbalawa. Bwawa la Nyerere tunaaambiwa hakuna Crane ya kubebea mzigo wa tani 26 hivyo halitajazwa maji ili Umeme uendelee kuwa shida Sterling Makamba. Wanyama kuwindwa ruksa .. Sterling Ndumbaro. Watumishi vyeti feki ruksa kurejea na kulipwa Sterling Mchengerwa. Mbolea iuzwe mfuko elf 95 badala ya elfu 50 Sterling Prof. Mkenda. Mgao wa Umeme uendeleee kwasababu wakati wa JPM mashine zilichoka sana kwa kuwashwa muda wooote Makamba tena. Mafuta kupanda Bei licha ya tozo kuondolewa Mpigaji wa Bumbuli. Watumishi Hewa warudi na wapo kwa wingi sasa, Mkwe wetu steringi.
Shule za Serikali kubagazwa kwenye usahihishaji wa Mitihani ili zionekane si kitu Prof Ndchako.
Mawe ya utafiti wa Madini na Makinikia ruksa kupelekwa Popote duniani Biteko the Don. Nappe, Membe, Ndugai nk wanaendelea kutia vionjo ili mziki uendelee kunoga.
Yaaaani ni hasira zimetujaaaaaa tunasubiri upenyo muone hasira zetu Watanzania.
Rostam Aziz Mungu anakuona na Kiwanda chako cha Morogoro. Jiwe upumzike Mwamba uliwanyooosha sana hawa Vibwengo lkn ipo siku.
Hiii Nchi kwa sasa tumekosa kiranja mwenye sauti kuuu. Vichwa vya Treni vimenunuliwa toka kwa muuuzaji hewa Sterling Mbalawa. Bwawa la Nyerere tunaaambiwa hakuna Crane ya kubebea mzigo wa tani 26 hivyo halitajazwa maji ili Umeme uendelee kuwa shida Sterling Makamba. Wanyama kuwindwa ruksa .. Sterling Ndumbaro. Watumishi vyeti feki ruksa kurejea na kulipwa Sterling Mchengerwa. Mbolea iuzwe mfuko elf 95 badala ya elfu 50 Sterling Prof. Mkenda. Mgao wa Umeme uendeleee kwasababu wakati wa JPM mashine zilichoka sana kwa kuwashwa muda wooote Makamba tena. Mafuta kupanda Bei licha ya tozo kuondolewa Mpigaji wa Bumbuli. Watumishi Hewa warudi na wapo kwa wingi sasa, Mkwe wetu steringi.
Shule za Serikali kubagazwa kwenye usahihishaji wa Mitihani ili zionekane si kitu Prof Ndchako.
Mawe ya utafiti wa Madini na Makinikia ruksa kupelekwa Popote duniani Biteko the Don. Nappe, Membe, Ndugai nk wanaendelea kutia vionjo ili mziki uendelee kunoga.
Yaaaani ni hasira zimetujaaaaaa tunasubiri upenyo muone hasira zetu Watanzania.
Rostam Aziz Mungu anakuona na Kiwanda chako cha Morogoro. Jiwe upumzike Mwamba uliwanyooosha sana hawa Vibwengo lkn ipo siku.
Alikuwa mpumbavu sana.
Acha akalipe unafiki wake huko slokuwa sheitwani kabisa
Aisee..naona mnyukano wa kulinda legacy (Sukumas) na waponda legacy (Chagas) unaendeleaKwa uongo yule jamaa alikua Ni toptop