Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Si alikuwa anajijua kuwa ana Betrii,we umemsikia Samia akiongelea kufakufa.

Kutokuonge habari za kifo sio kizuizi cha kufa!!! Mwambieni mama Samia achunge afya yake, siku hizi anaonekan amekuwa OBESE!!!! Obesity is a risk factor!
 
Mkuu sisi kama wananchi wa kawaida sana kwenye jamii ya watanzania tuliambiwa kuwa vile vichwa havinaagizwa na serikali.

Kama havijaagizwa na serikali nani mhusika ? Hakujitokeza mtu na maana yake ni kuwa viliokotwa.
Hakuna karatasi zinazovitambulisha? Vilishushwa vipi Dar na siyo kupelekwa Hong Kong, au India, au Japan? n.k. Kama si vya Gwajima, mtu asituchezee akili na kitu cha upumbavu namna hii.
 
Hakuna karatasi zinazovitambulisha? Vilishushwa vipi Dar na siyo kupelekwa Hong Kong, au India, au Japan? n.k. Kama si vya Gwajima, mtu asituchezee akili na kitu cha upumbavu namna hii.
Hilo swali nadhani aliulizwa sana mh Mbarawa kipindi kile cha kuokota hivyo vichwa.
 
Hakuna karatasi zinazovitambulisha? Vilishushwa vipi Dar na siyo kupelekwa Hong Kong, au India, au Japan? n.k. Kama si vya Gwajima, mtu asituchezee akili na kitu cha upumbavu namna hii.
Gwajima huyo ni yupi maana kuna kina Gwajima wengi sana
 
Nilisema Askofu Gwajima aliyetangaza kwamba amepata fedha taslimu za kununulia treni nzima. Kuna Askofu Gwajima mmoja tu.
Bado nauliza ni nani aliingiza vile vichwa vya treni nchini?
 
Sijawahi kuona marehemu anatukanwa kama huyu
Tatizo la baba alikuwa mpenda fix na sifa ...
Lkn baya zaidi Ni kupenda kutoa roho za wenzake..angekuwa mpk Leo yupo nadhani akina Saa 8 wangekuwa wengi
 
Kutokuonge habari za kifo sio kizuizi cha kufa!!! Mwambieni mama Samia achunge afya yake, siku hizi anaonekan amekuwa OBESE!!!! Obesity is a risk factor!
Wenyeji wengi wa Pwani wako hivyo kwa ajili ya Wali na Mboga za Nazi.
 
Bado nauliza ni nani aliingiza vile vichwa vya treni nchini?
Nakumbuka kuna wakati TRC walipeleka vichwa vya treni India kwa matengenezo makubwa ( engine overhaul) uenda ndiyo vilikuwa vinarudishwa wakawa wamesahau kuwa ni mali yao.Ilikuwaje vije ndiyo mkataba wa manunuzi ukamilishwe.
 
Magufuli alikuwa shetani kwenye mwili wa binadamu. Karudi jehanamu na ndiko anastahili kuwa
 
Nakumbuka kuna wakati TRC walipeleka vichwa vya treni India kwa matengenezo makubwa ( engine overhaul) uenda ndiyo vilikuwa vinarudishwa wakawa wamesahau kuwa ni mali yao.Ilikuwaje vije ndiyo mkataba wa manunuzi ukamilishwe.
Jiwe alikuwa ni zaidi ya mjanja
 
Vile vichwa Kwenye kikao kimoja liyekuwa Mkueugenzi WA Bandari Kakoko alitamba kuwa ameketa vichwa vya trend kwaajili ya kusafuriaha mizigo kumpeleka Bandari Kavi RUVU. Aliye MLETA siakaropoka kuwa kuna vichwa having mwenyewe. Nijuavyo Mie walipewa Reli ya kati
 
Asante sana mkuu kwa taarifa rasmi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…