Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Mmiliki wa vichwa vya treni pale bandarini alipatikana?

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
122,494
Reaction score
96,074
Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.

Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.

Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?

Hii Bongo hii wacha kabisaaa

Screenshot_20211113-123441.jpg
 
Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.

Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.

Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?

Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa

View attachment 2008952
Ila CCM bhana
 
Si alikuwa anajua kuwa ana Betrii,we umemsikia Samia akiongelea kufakufa.
Kwani kutokuongelea ndio kutokufa? Kuna watu hawaongelei kufa sababu wanaogopa kifo. Na wakati huo wakijua hawana maajabu yoyote watakayoacha wakifa leo.
 
Kuuliza wala siyo ujinga wana JF.

Imenibidi kuwauliza nyie labda kuna mtu ana kumbukumbu ya wapi vilienda vile vichwa vya treni vilivyo okotwa pale bandarini.

Maana tuliambiwa havikuwa na mwenyewe na je hivi leo vipo wapi au alipatikana mwenyewe akavichukua?

Hiii Bongo hii wacha kabisaaaa

View attachment 2008952
Na vile vigari vilivyofanywa kuwa ambulensi navyo vilikuwa vya nani?
 
Back
Top Bottom