Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIO VITU FEKI MZEE NI VITU OG KABISA HAO JAMAA KILICHOWAUA SIO UFAKE WAKINYWAJI ILA NI ALCOHOL OVERDOSEBora umpe mtihani kwamba hawezi kufanya kitu fulani afanye umpe hiyo hela au ashindwe kuliko kuchezea vitu vya hatari kama hivyo.
Hii nchi kila kitu fake unaweza kukuta hiyo burudani ni vya wale Wachagha wa Manzese ukauwa mtoto wa mtu ukabaki na lawama.
no sungura at all. I only drink mbegeSi ulisema Visungura huna baya navyo.
umenisusa sana bintiiiiiiiiUnywaji wa pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako😢
Mbege ndio Nzela ( Banana)?no sungura at all. I only drink mbege
sometimes wine and just little
Mashindano ya kijinga na kipuuzi sana. Classmate wangu moja pia majuzi mwezi April kijijini ametoka shamba kapitia kilabuni kakuta mabishano juu ya nani anaweza kumaliza k-Vant kubwa anunuliwe? Akajitokeza, na njaa yake na ulafi wake akaifakamia within 2minutes kaimaliza na aft10minutes akatapika damu mambonge mabonge ( kwa observation yangu isiyo ya kidaktari ni Maini yamekatikakatika) na akawa no more in20 minutes. Na hadidhi yake ikaishia apo.Mtu mmoja amefariki dunia, huku wengine wanne wakinusurika kifo wakati wakishindana kunywa pombe kali aina ya 'Smart Gin', baada ya kuahidiwa kupewa mkate, sukari na Sh50,000 kwa atakayeshinda.
Tukio hilo limetokea Juni 8, 2023 katika kata ya Sanya Juu, wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, baada ya watu hao kuahidiwa na mtu anayedaiwa kuwa mfanyabiashara wilayani humo, ambaye sasa ametoroka.
Inadaiwa kuwa mtu huyo aliwaahidi kuwapa zawadi hizo na mpaka mmoja anafariki walikuwa wameshakunywa chupa tano kati ya tisa zilizokuwa zikishindaniwa.
Hata hivyo, baada ya kumaliza kunywa chupa tano hali zao zilianza kuwa mbaya na wengine kupoteza fahamu ambapo baadaye waliokolewa kwa kukimbizwa katika Hospitali ya Wilaya ya Siha kupata msaada wa dharura.
Mkuu wa wilaya ya Siha, Christopher Timbuka alimtaja aliyepoteza maisha kuwa ni Benson Mshiri, mkazi wa Kijiji cha Merad na kwamba waliolazwa hali zao zinaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu na muda wowote wataruhusiwa kwenda majumbani.
Mwananchi
Sure Man afya mgogoro za wanywajiShida hapo ilikuwa chakula,smat Gin ukila vizuri unapiga hata chupa kumi bila shida
Babu jichanganye udanje..Kweli wachaga wa Moshi Pombe hamziwezi yaana smart gin Tano tu mnakufa?
Tatizo ni lishe smart gin Tano ni chache sanaaBabu jichanganye udanje..
Smart ndogo 200ml
Tano mana yake lita moja...
Ebu test maji ya kawaida lita moja ile gudugudu uone kwanza afu ndio uje kwny pombe kali...
Chache ka unapiga kistarehe ile ado ado ila ka unapiga chapu kwa haraka lazma upate "alcohol overdose" kifo nje nje...Tatizo ni lishe smart gin Tano ni chache sanaa
ss ww walimu wanashida gani mana wanakula mshahara kila mwez hata kama hautoshi mana hata ww kipato chako hakitosh ndo mana kila siku unaenda kazin hulali ndani acha kuwakejel walimuUmasikin ni mbaya sana mungu atusaidie, unadhalilika na kukumbwa na magonjwa nyemelezi Kwa kukosa lishe bora mwisho unakuwa mwehu kama walimu
Kwa mujibu wa nani ni OG hizo pombe?SIO VITU FEKI MZEE NI VITU OG KABISA HAO JAMAA KILICHOWAUA SIO UFAKE WAKINYWAJI ILA NI ALCOHOL OVERDOSE