Mmoja Afariki, Wanne Walazwa Wakishindana Kunywa Pombe Moshi

SIO VITU FEKI MZEE NI VITU OG KABISA HAO JAMAA KILICHOWAUA SIO UFAKE WAKINYWAJI ILA NI ALCOHOL OVERDOSE
 
Hao jamaa kilichowaua sio Kwamba wamekunywa pombe feki ila kitaalamu kilichomuua uyo jamaa ni ALCOHOL OVERDOSE ndio MAANA wanasemaga KUNYWA POMBE KUPITA KIASI NI HATARI KWA AFYA YAKO ATA BIA UKINYWA NYINGI ZINAKUUA PIA KWAIYO.MSITAKE KUHARIBU BRAND YA WATU HAO JAMAA WAMEJI OVERDOSE
 
Mashindano ya kijinga na kipuuzi sana. Classmate wangu moja pia majuzi mwezi April kijijini ametoka shamba kapitia kilabuni kakuta mabishano juu ya nani anaweza kumaliza k-Vant kubwa anunuliwe? Akajitokeza, na njaa yake na ulafi wake akaifakamia within 2minutes kaimaliza na aft10minutes akatapika damu mambonge mabonge ( kwa observation yangu isiyo ya kidaktari ni Maini yamekatikakatika) na akawa no more in20 minutes. Na hadidhi yake ikaishia apo.
So, Friends, ladies and gentlemen pombe si chai, na haina mashindano. Hebu kunywa kiasi kistaarabu utainjoy sana. Haiuzwi kwa aliye chini ya Miaka18. Pole kwa wafiwa, pole sana kwa ambao pia wamepata madhara baada ya kufakamia Gin.
 
Umasikin ni mbaya sana mungu atusaidie, unadhalilika na kukumbwa na magonjwa nyemelezi Kwa kukosa lishe bora mwisho unakuwa mwehu kama walimu
ss ww walimu wanashida gani mana wanakula mshahara kila mwez hata kama hautoshi mana hata ww kipato chako hakitosh ndo mana kila siku unaenda kazin hulali ndani acha kuwakejel walimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…