Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Una ushahidi wa wao kutekwa na Hamas ?Hamas waluwateka ili iweje ? Wangewaacha mitaani waendelee na maishs yao
Kwa nini waliwateka tusaidie wewe kujibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una ushahidi wa wao kutekwa na Hamas ?Hamas waluwateka ili iweje ? Wangewaacha mitaani waendelee na maishs yao
Kwa nini waliwateka tusaidie wewe kujibu
Unao ushahidi ?Alikuwa mateka, kafa kwenye mikono ya Hamas
wangesema amekufa na nini ila hapo wametuacha njia panda tunaweza sema ni sababu ya vita kumbe ni mambo mengine.
pole kwa familia
Wewe upo Gaza ?Huyo katekwa na Hamas na kafia hapo Hospitalini Al Shifa
Mateka gani ?Haya magaidi yamekiri kuwa mateka amefia mikononi mwao:
Most recently, Hamas said, one of the captives was moved to a facility’s intensive care unit and when he recovered, he was moved back to “his place of detention”.
But the captive died due to a series of panic attacks as a result of repeated Israeli bombardment nearby, the Qassam Brigades said. “We will release documents proving this,” the group said.
Source: AlJazeera.
Na wapumbavu zaidi wanaisapoti HamasHalafu kuna wajinga wanashangilia yanayoendelea huko!
RIP
Hamas wameteka Watanzania ?Nini kilifanya Hammas Wateke Watu wasio Wayahudi?
Hammas wanaugomvi gani na Watanzania mpaka Wateke Raia wetu?
Amanyongwa na magaidi wa HamasKusema tuu amefariki bila kutoa maelezo ya amefariki vipi haitoshi.
Tuliambiwa wamechukuliwa mateka Sasa mbona hamjatueleza kifo chake kimesababishwa na nini?
Semeni oparesheni ya Kisengerema ya Israel imemuua Kijana Wetu.
Punguza ujuaji kijana, USA pamoja na ubora wa makachero wake lkn naye ni mhanga wa kupitiwa raia wake na HamasHivi serikali yetu haitoi security alert kwa wananchi wa Tanzania hasa inapotokea migogoro kama hii ya kivita, kuzuia wananchi wasiende kwenye nchi zenye machafuko ambapo kuna terrorist attack, kidnapping na vita? hili suala inabidi tuliangalie kwa umakini.
Too late, ila umewaza mbali sanaHivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?
Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.
Hicho kitu wakristo walifanyia mababu zako kabla hata wewe hujafikiriwa kuzaliwa ubaya ni kuwa waislam wapumbavu bado wanaendeleza ushenzi.Hiyo ni Afghanistan ilikuwa juzi.
Na huyo ni m-missionary wa kikristo
Hamas wameteka Watanzania ?
God bless israel wakati ndio waliomuuaHawa magaidi wa Hamas washenzi sana.
R.I.P Clemence
God Bless [emoji1134]
Hawa ndio ndg zako wa damu.Wapi Hamas walipotangaza kuua mateka au umesikia wapi Israel.ikisema Hamas wameua mateka?
Huyo Mungu wa upendo wa Ibrahim na Yakobo kwa upumbavu wake si ndio hivyo vitabu mnavyoita vyake viliagiza hao wayahudi wachinje kila kiumbe wasiache hai huo upendo wake ulikuwa wapi ?Kuna wakati unajiuliza kuhusu uislam hupati jibu. Kuna waislam wengi Duniani walio wema, walio wakarimu na hekima. Lakini kwa nini makundi karibia yote ya kigaidi hujitambulisha na uislam.
Wanaua watu, kwa kutaja jina la Allah. Sasa huyo Allah sijui ndiye wanayemtolea hizo damu za watu au wanaupaka matope uislam.
Ndiyo maana kuna wakati unafikia kufikiria kuwa huenda huyo anayeitwa Allah kwa Waislam, wala siyo Mungu anayetajwa na dini nyingine, yaani siyo Mungu wa Ibrahim, Yakobo na Isaka, ambaye aliyekuja kufunuliwa zaidi na Masiha Yesu Kristo, yaani Mungu wa upendo, Mungu wa huruma na Mungu wa msamaha.
Inakuwaje mtu anamwua binadamu mwenzake kwa kumkata shingo huku anasema Allah akbar, Allah akbar; huyo Allah ni nani?
Israel imesababishaje?wakati alitekwa na Hamas jitahidi kuepuka unafikiIsrael ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Nimekuuliza Hamas waliteka Watanzania sijakuuliza maswala ya October 7 kama unaweza jibu swali jibu sitaki longolongoHilo sio swali.
Labda Uulize kwa niñi walitekwa?
Je walikuwa wanajeshi wa IDF huko Israel hiyo October 7
Alitekwa na hamas ! Amepatikana akiwa kafa jibu ni iliyemteka ndio kauwa. Kama angepatikana hai tungesema hamas wameachilia mateka Mmoja mtanzaniaWapi Hamas walipotangaza kuua mateka au umesikia wapi Israel.ikisema Hamas wameua mateka?
Hamas hawafai. Unatekaje mtu sio Myahudi?.