Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Baadhi ya Watanzania hawajitambui wao ni nani na hata utaifa wao hawaujui hata katika suala hili zito la mwenzetu kuuawa na magaidi ya HAMAS.

Sijui ni kuendekeza imani zaidi kuliko utu hadi baadhi wanaona haya kulaani kitendo hiki cha magaidi ya HAMAS

Uchunguzi wa athari za utumwa Afrika Mashariki, na sababu za kuona aibu kuitafakari historia ya utumwa pia kuikubali historia hiyo iliikumba jamii yetu.

Ule mtaala wa kusoma historia za dini zote uharakishwe kutumika mashuleni kuanzia shule za msingi. Hapa sizungumzii kufundishwa dini mashuleni bali kusoma kwa undani historia za dini mbalimbali ili kuondoa hali hii ya watu kuukataa utanzania wao na kujibainisha na ugeni kutokana na kuathiriwa bongo kwa kupokea imani bila kujua historia.



UDSM launches methodological school on slavery and post-slavery in East Africa​


Wed, 01.Nov.2023 12.08

By Zamda George, CMU

The University of Dar es Salaam College of Humanities, through its History Department, on October, 2023 launched its Methodological School on slavery and post-slavery, the first of its kind in Tanzania and East Africa.

Inaugurated by two renowned historians, Dr. Clélia Coret from the French Institute for Research in Africa (IFRA), Nairobi, Kenya, and Dr. Salvatory S. Nyanto, from UDSM History Department the school is designed to tackle the less-explored history of slavery and its impact on modern East African societies.

According to Dr. Nyanto, the Methodological School would run a series of lectures and workshops from October 26 to November 6, with a weekend short break.
The school commenced with a presentation delivered by Dr. Clélia Coret, a historian specialized in slavery and post-slavery on the Kenyan coast, who stressed on the significance of the Methodological School, especially its in examining slavery within the global context and compare its manifestations in various regions.

She highlighted the importance of addressing research themes that have recently gained momentum, such as social stigmatization inherited from slavery, gender perspectives, and museography of slavery.

“The aim is to encourage new research by facilitating theoretical and methodological transfers with a view to acquiring new theoretical and practical knowledge”, she said.

Dr. Coret pointed out that while many parts of the world had made significant progress in understanding the legacies of slavery, East Africa remains relatively understudied. Despite pioneering research in the region by scholars like John Iliffe, Frederick Cooper, Jonathon Glassman, and Marcia Wright, “the post-slavery period is only now beginning to receive attention”.

She said that the European SLAFNET project under Prof. Marie-Pierre Ballarin and the ERC-project, "The Aftermath of Slavery in East Africa," directed by Prof. Felicitas Becker, have played crucial roles in supporting this research dynamism and facilitating collaboration between African and European researchers.

“Today, this research needs to be reinjected locally in East Africa and translated into training courses for African students”, she emphasized.
41 applications
Dr. Coret also pointed out that the Methodological School received 41 applications for participation, with 29 applicants (15 male and 14 female participants) selected for this year's program. These attendees come from various backgrounds, with. They represent Tanzania (17 attendees), Kenya (8), Uganda (2), and West Africa (2).

“Their academic disciplines vary, with 19 students specializing in history, 5 in archaeology, 2 in religious studies, 1 in Kiswahili studies, 1 in tourism, and 1 in psychology. The selection process aimed to create a diverse and interdisciplinary group of participants”, she said.

Challenges of studying slavery
Meanwhile, Dr. Salvatory Nyanto noted the challenges of studying slavery and post-slavery in East Africa. He acknowledged that the legacy of slavery was still regarded as a matter of shame and that ex-slaves' disappearance as a social category required lifelong efforts.

He also highlighted how slavery still affected societal perceptions of the enslaved in mainland East Africa, where they are often seen as weak, strangers, and second-class citizens.

Dr. Nyanto discussed the various sources available for studying slavery and post-slavery, including family stories, missionary records, and government archives. “These sources offer valuable insights into the experiences of former slaves and their lives after slavery, helping us understand their place in society, gender dynamics, and marginalization”.

He stressed that the Dar es Salaam Methodological School aimed to reinvigorate the study of slavery and post-slavery in modern African history by focusing on sources and methods. It also sought to address the practical and ethical challenges of researching and discussing this painful aspect of history.

“The school brings together students and academics from institutions in East and Central Africa to explore the sources, methods, and challenges of researching slavery in the twenty-first century”, he said.

The launch of the Methodological School at the University of Dar es Salaam marks a significant step toward shedding light on the often-neglected history of slavery and its enduring impact on East African societies. It is a testament to the university's commitment to promoting research and education on important historical issues. The school is expected to have a profound and lasting impact on the study of slavery and post-slavery in the region.
Source : University of Dar es Salaam-
 
Kwanini alitekwa , kwanini hawakumuachia baada ya kumuona anatoka nchi rafiki. Au hawaijui bongo . Sisi tunajipendekeza kwao.
Mbona kwenye taarifa hakuna sehemu walipo sema kuwa alikuwa ame tekwa?
 
Halafu kuna wajinga wanashangilia yanayoendelea huko!
RIP
Kuna mengi sana ya kujifunza kutokana na mgogoro huu; lakini inawezekana hatutajifunza lolote kama taifa.
Kwa mfano, vita isiyo chagua nani aadhibiwe, na nani asiwemo. Kama wewe ni mahututi hospitalini huna lolote ulijualo kuhusu yanayo endelea huko nje, usidhani unao unafuu wowote wa kuwepo hapo hospitalini.

Sijui kama watu zaidi ya 11,000, akiwemo watoto toka pande zote mbili walipoteza maisha yao ili Israel au waPalestina wapate kuishi kwa amani.
Tuendako, vita ni vita, haichagui nani awe mhanga.. Hii ndiyo sheria mpya. Hakuna kutofautisha kati ya 'terrorist', na askari ndani ya jeshi linaloitumikia nchi.
 
Wanatumika lugha ya kidiplomasia. Ila ukweli ni kwamba alikuwa mateka. Na mwili wake ulipatikana hapo hospitalini Shifa na majeshi ya Israel.
Ww jamaa una penda kukurupuka sana na kuongea mambo bila udhibitisho ,hebu leta chanzo cha habari kutoka kwenye serikali za Israel au Tz kinacho sema mwili wake ume patikana Al shifa.
 
Kwa hiyo huyo mtz 1 aliye kufa kwako ana thamani kubwa kuliko maelfu ya watu ambao wamesha kufa kwenye hiyo vita ?,acha unafiki.
Huyo mTanzania mmoja bila kusita nasema anayo thamani kubwa sana kwetu waTanzania.

Hii haina maana kwamba hatuthamini maisha ya watu wengine, hasa wanao onewa popote duniani.
 
Kuwa mzalendo kwa kuguswa na kukatishwa maisha ya kijana mwenzetu mtanzania na hawa magaidi wa HAMAS.
Ww unge kuwa mzalendo na una wapenda watz wenzako usinge kuwa unashinda humu unawatukana na kuwakashifu watz wenzako kisa wao ni waisilam kwa hiyo acha unafiki wa kifala.

Alafu kila maisha ya mwanadamu hapa duniani yana thamani.
 
Huyo mTanzania mmoja bila kusita nasema anayo thamani kubwa sana kwetu waTanzania.

Hii haina maana kwamba hatuthamini maisha ya watu wengine, hasa wanao onewa popote duniani.
Hoja hapa sio utaifa au uafirika hapa hoja ni maisha ya watu ,hii tabia ya kuona maisha ya jamii fulani yana thamani kuliko ya jamii nyingine ndo chanzo cha hii vita inayo endelea.
 
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa Watanzania wawili ambao pamoja na raia wa Mataifa mengine walikuwa hawajulikani walipo tangu yaliyopotokea mapigano October 07, 2023 nchini Israel na katika maeneo ya Wapalestina hususani Gaza.

Taarifa iliyotolewa na Wizara haijasema chanzo cha kifo chake na Mji ambao amefia lakini imesema Clemence alikuwa ni miongoni mwa Vijana wa Kitanzania wapatao 260 waliokwenda nchini Israel kushiriki mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo chini ya Mpango wa Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Israel.

Tayari Wizara imechukua hatua stahiki ikiwemo kuijulisha Familia na inaendelea kuwasiliana na Serikali ya Israel kuhakikisha kwamba taratibu za kurejesha mwili wa marehemu nchini kwa ajili ya mazishi zinakamilika kwa wakati.

Wizara imesema inaendelea kufuatilia taarifa za Mtanzania mwingine Joshua Mollel ambaye bado hajulikani alipo tangu yalipotokea mashambulizi hayo “Wizara inatoa pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Watanzania kwa ujumla kwa msiba huu

View attachment 2816839
Tulisema kipindi kile biashara haramu ya viungo vya binaadamu kwenye vita ni hatari sana
 
Chanzo cha vita hii ni HAMAS.

HAMAS Wangetulia na kutafuta suluhishi la matatizo yao kwa njia halali tusingempoteza kijana watu.

Ila kwa wenye Dini ya haki wanafurahia sana kumpoteza Mtanzania mwenzao ili Mwarabu asibughudhiwe.

Wako tayari wafe wao ili Mwarabu aishi maisha ya raha.

Wanafurahia sana kuwa watumwa wa Mwarabu.
 
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata

Sema ni magaidi HAMAS, wapo tayari kuua raia kama mwenzetu mtanzania, ili mradi tu watimize agenda yao ovu ya kigaidi .... msikilize msemaji wa kitengo cha siasa na uhusiano wa kimataifa wa kikundi cha kigaidi cha HAMAS ...

HAMAS' head of political and international Relations has told Skynews no civilians have been killed by HAMAS

View: https://m.youtube.com/watch?v=Egipqa0ZhUk
 
Mbona kwenye taarifa hakuna sehemu walipo sema kuwa alikuwa ame tekwa?
Kijana amepotea au hakujulikana alipokuwepo baada ya tukio la 07/10/23 la Hamad kuvamia Israel , hivyo anaweza kuwa aliuawa hiyo tarehe ya uvamizi WA Hamas au baada ya hiyo tarehe. Kama ni hiyo tarehe , ni wazi shambulizi la Hamas ni chanzo. Kama ni baada ya uvamizi itakuwa ni baada ya kutekwa na kushikiliwa na Hamas. Hivyo iwe kushoto au Julia muhusika ni Hamas.
Suluhisho la sasa Hamas au wafadhili wao wailipe fidia familia ya Muhanga na Kwa wale walio salimika nao walipwe Kwa karaga waliopata na kukatizwa masomo.
Na Balozi wa Palestrina atoe taarifa Kwa wa TZ juu ya mwenzetu aliye fariki
 
Back
Top Bottom