Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Hivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?

Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.

Hamas walikuwa wanampinga
 
wangesema amekufa na nini ila hapo wametuacha njia panda tunaweza sema ni sababu ya vita kumbe ni mambo mengine.

pole kwa familia
 
wangesema amekufa na nini ila hapo wametuacha njia panda tunaweza sema ni sababu ya vita kumbe ni mambo mengine.

pole kwa familia

Wanatumika lugha ya kidiplomasia. Ila ukweli ni kwamba alikuwa mateka. Na mwili wake ulipatikana hapo hospitalini Shifa na majeshi ya Israel.
 
Hivi serikali ililaani ishu ya hamas kuwateka hao ndugu zetu?
Msimamo wa serikali ya Tanzania ni kuwepo kwa taifa huru la palestina. Kwahiyo umepata jibu hapo kuwa serikali inuaunga mkono harakati za wapalestina kujipatia uhuru kutoka kwa israeli.
 
Kusema tuu amefariki bila kutoa maelezo ya amefariki vipi haitoshi.

Tuliambiwa wamechukuliwa mateka Sasa mbona hamjatueleza kifo chake kimesababishwa na nini?

Semeni oparesheni ya Kisengerema ya Israel imemuua Kijana Wetu.

Choice Variable;

Mkuu inasikitisha....Lakini operesheni ya Kisengerema si kufuatia Operesheni ya Hamas....nayo unaiitaje Mkuu?
 
Wanatumika lugha ya kidiplomasia. Ila ukweli ni kwamba alikuwa mateka. Na mwili wake ulipatikana hapo hospitalini Shifa na majeshi ya Israel.
Hivi Israel ilishindwa kuokoa Mateka mikononi mwa Hamas ?🤔
 
Poleni wafiwa.

Hizi ajira za vimemo ni balaa "USHIRIANO " ni kitu gani?
 
Msimamo wa serikali ya Tanzania ni kuwepo kwa taifa huru la palestina. Kwahiyo umepata jibu hapo kuwa serikali inuaunga mkono harakati za wapalestina kujipatia uhuru kutoka kwa israeli.

Israel haiwezi kuwapa uhuru maana zile ni koloni za Uingereza na baadae Misri na Jordan. Na wao walimwachia hayo maeneo baada ya kushinda vita.
 
Msimamo wa serikali ya Tanzania ni kuwepo kwa taifa huru la palestina. Kwahiyo umepata jibu hapo kuwa serikali inuaunga mkono harakati za wapalestina kujipatia uhuru kutoka kwa israeli.
Sir Robert Hebu tupe nyama ya Kihistoria...Lini Palestine ilitawala na Israel......Una tarehe.....mwaka...?
 
Endelea kujivunia hali yakp ya ushetani.

Haya magaidi yamekiri kuwa mateka amefia mikononi mwao:

Most recently, Hamas said, one of the captives was moved to a facility’s intensive care unit and when he recovered, he was moved back to “his place of detention”.

But the captive died due to a series of panic attacks as a result of repeated Israeli bombardment nearby, the Qassam Brigades said. “We will release documents proving this,” the group said.

Source: AlJazeera.
Huyu Bibi faiza nishamuona Ni kiumbe hatari Sana kwa nchi yetu na taifa letu
Yuko tayari Raia wa nchi yake Afe kwa ajili raia wa nchi nyingine
Ni wale raia washenzi kabisa kwenye taifa lolote
 
Sawa lakini siyo kuua watoto na kinamama.

Kama Hamas wanatumika watoto na wanawake Kama Kinga , unafanyaje?. Inabidi uwalipue wote. Maana Hamas walikuwa wanajaza watoto kwe ye majengo waliyoweka Silaha ili Israel asilipue. Ila Israel akawa analipua hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom