Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Habari zimetoka Ghaza au Israel?

Huyo kauliwa na wajomba zake "Mungu" wenu.

Kazi ya wajomba wa Mungu haina makosa.
Endelea kujivunia hali yakp ya ushetani.

Haya magaidi yamekiri kuwa mateka amefia mikononi mwao:

Most recently, Hamas said, one of the captives was moved to a facility’s intensive care unit and when he recovered, he was moved back to “his place of detention”.

But the captive died due to a series of panic attacks as a result of repeated Israeli bombardment nearby, the Qassam Brigades said. “We will release documents proving this,” the group said.

Source: AlJazeera.
 
Hamas ni Majini si watu wale.... Ni wanyama na zaidi ya wanyama. Wamemuua kijana wetu aliyeenda kupata Elimu ya kilimo.
Shetani tunaishi naye siku zote. Uhalisia wa shetani unaonekana kupitia makundi ya kishetani kama Hamas.
 
🚨:News Alert

▪️Mtanzania Bw.Clemence Felix Mtenga Afariki Nchini ISRAEL

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya NjE kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa Watanzania wawili ambao pamoja na raia wa Mataifa mengine walikuwa hawajulikani walipo tangu yaliyopotokea mapigano October 07, 2023 nchini Israel na katika maeneo ya Wapalestina hususani Gaza.

Screenshot_20231117-220348.jpg


Ila wizara haijasema kijana wetu msomi
 
Ila wizara haijasema kijana wetu msomi amefariki , Kwa kuuwawa,Ku umwa na ongonjwa,

Yan wizara ya mambo ya tz imeficha
 
Wakati wa ambush Huwa Kuna kukagua vitambulisho? Hawa raia wa Mataifa walikuwa wanajitenga hawachangamani na raia wa Israel?

Mbona walisema waache mapigano Ili waachie mateka Israel ikakataa?

Kwa hiyo kuwaua mateka ndio kuwakomboa?
Akili huna.
Huyo kauwawa na hamas kwani ndio walimshikilia mateka.
Ukiangalia jina lake ni Felix yaani ni mkristo.
Itakuwa wamefanya km walivyofanya Kenya Westgate ukishindwa kutamka aya za quran unauwawa.
Hii dini ni ya shetani halipingiki hili
 
namna hii tukiwa wakali katika swala la amani ya nchi mnasema tunawaonea chadema
 
Hapa ilitakiwa balozi wa Palestine aondoke haraka .......maaana sisi hatuna shida na Palestine..........tumewasapoti tokea tunapata uhuru wetu 1961 lakini wameteka watu wetu na kuwaua bila hatia...........ningekuwa raisi asinge lala Leo tanzania kwa amani ......... ningempandisha hata sea taksi kurudi kwao shwaini wakubwa
 
Kusema tuu amefariki bila kutoa maelezo ya amefariki vipi haitoshi.

Tuliambiwa wamechukuliwa mateka Sasa mbona hamjatueleza kifo chake kimesababishwa na nini?

Semeni oparesheni ya Kisengerema ya Israel imemuua Kijana Wetu.

Huyo katekwa na Hamas na kafia hapo Hospitalini Al Shifa
 
Back
Top Bottom