Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Kwanza Mimi sio Muislamu usiwe mpumbavu.

South iliyofukuza Balozi wa Israel wanavaa kobazi?

Mwisho aliyeua kijana ni Hamas? Huyu alikuwa mateka ameuwawa na Mazayuni.
tulia ww gaidi uwe au usiwe mm ilo haliniusu ila tambua tu walio fanya ujinga october 7 wote wata waishwa peponi kabla ya siku zao
 
View attachment 2816841
22 yrs old, My deepest sympathies to you and your family, kijana kabisa anaetegemewa na famiia na Taifa kwa ujumla. Clemence Felix Mtenga RIP my little brother.
Yalanike magaidi ya Hamas. Mungu wa haki na upendo, tunaomba damu ya kijana wetu asiye na hatia yoyote ikapande laana juu ya Hamas na wazao wao na washirika wao.

Wazazi na jamaa wote wa kijana Clemence, Mungu wetu akawajalieni moyo wa ujasiri kuupokea msiba huo uliosababishwa na hawa ibilisi Hamas. Lakini jueni kuwa Mungu atawalipieni uovu huu uliotendwa kwa kijana wetu Clemencr.

Tunaomba Roho ya Clemence ipate pumziko jema la milele. Kristo wetu aliyapata mauti kabla yetu, lakini akayashinda mauti, na kwa sababu ya ushindi wa Kristo, japo ni wenye huzuni, lakini tuna tumaini katika yeye.
 
tulia ww gaidi uwe au usiwe mm ilo haliniusu ila tambua tu walio fanya ujinga october 7 wote wata waishwa peponi kabla ya siku zao
Hao waoktoba 7 ndio wameua Kijana Wetu? Unachotetea ni kipi hasa? Wenye mtoto watakukata Shingo.
 
Hawa magaidi wa Hamas washenzi sana.

R.I.P Clemence

God Bless [emoji1134]
Shetani yupo na anaendelea kutenda kazi kupitia makundi kama Hamas. Lakini ole wake amtegemeaye, kwa sababu mwisho wake ni kupoteza uhai wa mwili na roho.
 
ikumbukwe kuwa Palestina ya ukanda wa Magharibi na ukanda wa Gaza zote zipo chini ya Palestine Authority .
Sio kweli...

PA inadhibiti sehemu ya west bank (yapo baadhi ya maeneo yanakaliwa na Israel).

Hamas inadhibiti Gaza.
 
Miongoni mwa mateka nchini Israel amekufa

Habari zaidi zinakuja

Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa masikitiko na huzuni imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, Kijana Mtanzania ambaye ni miongoni mwa Watanzania wawili ambao pamoja na raia wa Mataifa mengine walikuwa hawajulikani walipo tangu yaliyopotokea mapigano October 07, 2023 nchini Israel na katika maeneo ya Wapalestina hususani Gaza.

Taarifa iliyotolewa na Wizara haijasema chanzo cha kifo chake na Mji ambao amefia lakini imesema Clemence alikuwa ni miongoni mwa Vijana wa Kitanzania wapatao 260 waliokwenda nchini Israel kushiriki mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo chini ya Mpango wa Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na Israel.

Tayari Wizara imechukua hatua stahiki ikiwemo kuijulisha Familia na inaendelea kuwasiliana na Serikali ya Israel kuhakikisha kwamba taratibu za kurejesha mwili wa marehemu nchini kwa ajili ya mazishi zinakamilika kwa wakati.

Wizara imesema inaendelea kufuatilia taarifa za Mtanzania mwingine Joshua Mollel ambaye bado hajulikani alipo tangu yalipotokea mashambulizi hayo “Wizara inatoa pole kwa Familia, Ndugu, Jamaa na Marafiki pamoja na Watanzania kwa ujumla kwa msiba huu” #MillardAyoUPDATES
Hii ya kutekwa na Hamas, inaleta utata. Vipi atekwe na Hamas serikali ipate habari za kupatikana kwake Israel?


Hapa tusicheze na maneno, unaotakiwa noi ukweli.

Labda ni mapoyoyo tu wasioelewa :hannibal directives" za mazayuni.

Wasioelewa ni nini hicho, hiyo maana yake mazayuni wapo tayari kuuwa ndugu zao hata 100 wakishikwa na mpalestina mmoja mradi wasikae mateka.

Hiyo ni amri ya kila mwanajeshi wa mazayuni, annambiwa ajiuwe kuliko kushikwa na wapalestina, na wakishoikwa wenzao basi wawauwe lakini wasikubali washikwe.

Hayo yalitumika siku waliyovaliwamiwa, ushahidi huu hapa:


View: https://youtu.be/d0gECjlpXF8?si=8ztt32LXl981F6pO
 
tulia ww kuku mtasakwa wote mlio fanya huo jinga wa 7/10 na nyote mtamalizwa kwenye huu uso wa dunia
We fala nini,Kwa hiyo kusakwa ndio huku mnakoua mateka.na watu Wetu?
20231117_214831.jpg
 
Huyo mtu mweusi kauliwa na wayahudi wenyewe toka siku ya kwanza, huyo walimfikiria Mpalestina wakamuuwa kwa makusudi kabisa au kwa mbinu yao ya "Hannibal directives".
 
Back
Top Bottom