Nayanga Bojo
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 144
- 468
Takbir!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitekwa kwani yeye pia ni raia wa Israel? Kwanini Hamas waliua wananchi wasiyo na hatia mnamo October 7?Kusema tuu amefariki bila kutoa maelezo ya amefariki vipi haitoshi.
Tuliambiwa wamechukuliwa mateka Sasa mbona hamjatueleza kifo chake kimesababishwa na nini?
Semeni oparesheni ya Kisengerema ya Israel imemuua Kijana Wetu.
Kwa Nini Kwanza Wateke? Hamas matoto ya Lile Joka na Nabii wake wa UongoWakati wa ambush hukagui vitambulisho.Mazungumzo yangefanyika wangeachiliwa ila Kwa kuwa mashetani wa Kizayuni wanataka Damu ndio yameua kijana Wetu.
Nyerere aliyalaani haya na South Africa imefukiza Balozi wao kule.
Hapana, taarifa ya Israel ya kwanza ndio ilisema ni miongoni mwa mateka.Itakuwa shambulizi la Octb 7 Chief, Jamaa waliua kila aliyekutwa mbele yao.
KabisaM.H.S.R.I.E.P...
Alafu kuna watu wanawatetea hawa mbwa Hamas...
Dawa ni kuwafuta hawa mbwa na ndugu zao wote...
Balozi wa Palestine nchini Tanzania Mh. Hamdi Mansour Abuali alimwe barua mara moja na kutimuliwa kama persona non grata
Balozi wa Palestina badala ya kwenda wizara ya mambo ya nje kutafuta kuungwa mkono na Tanzania anaamua kuugawa umma wa waTanzania kwa kwenda msikitini kuomba kuungwa mkono na sehemu ya jamii inayounda Tanzania.
Video hapa chini ikionesha Mh. Balozi Hamdi Mansour Abuali akiwa anafanya shughuli zinazohatarisha usalama wq nchi kinyume na mikataba ya Vienna protocol kuhusu kazi za balozi
View: https://m.youtube.com/watch?v=auOKnvgArZ8&pp=ygUSQmFsb3ppIHdhIHBhbGVzaW5h
Waarabu wanawachukulia kwa tahadhari kubwa wapalestina, lakini sisi waswahili tuna fuata mkumbo
Huyu balozi aitwe wizara ya mambo ya nje kuonywa kuacha kukosoa sera za mahusiano kimataifa za Tanzania kutoingilia upande wowote, aache kutaka kuchochea maandamano.
Balozi huyu wa Palestina hajui mipaka yake ya kidiplomasia, muda mwingi anataka kutuamrisha kufanya mambo yasiyokwenda na sera za nchi yetu kimataifa za diplomasia ya kiuchumi, watalii waje wengi kupitia Tanzania Royal Tour, wawekezaji,
Anaweza kutimuliwa kutokana na mienendo yake isiyokuwa ya cheo cha balozi . Kule Chad balozi alitimuliwa kwa kufanya kazi sizizo za kibalozi.
Gov't of Chad orders Gordon Kricke to leave country within 48 hours for 'non-respect of diplomatic customs', ministry says.
Le Monde.fr
https://www.lemonde.fr › 2023/04/10
Chad expels German ambassador, blaming 'impolite attitude'
10 Apr 2023 — The German ambassador to Chad, declared persona non grata by the government for his "impolite attitude", was
tungejua kwa jinsi walivyomfanya mtanzania mwenzetu fasta tungepeleka kikosi cha jeshi kuwafurusha hamas waikimbie gaza. Tungepigana upande wa israel kuwanyoosha magaidiBongo Hatujui Vita,
Mungu atusaidie
Hamas ililenga kuua Wayahudi kukipiza Kisasi kama walikuwepo na wageni kwenye sherehe ni bahati mbaya Yao.Alitekwa kwani yeye pia ni raia wa Israel? Kwanini Hamas waliua wananchi wasiyo na hatia mnamo October 7?
Sikujua kama wewe jamaa ni mjinga wa kiwango hicho!Wakati wa ambush hukagui vitambulisho.Mazungumzo yangefanyika wangeachiliwa ila Kwa kuwa mashetani wa Kizayuni wanataka Damu ndio yameua kijana Wetu.
Nyerere aliyalaani haya na South Africa imefukiza Balozi wao kule.
Duuuuh yaaani ujinga afanya hamas 7/10/2023 lawama apewe israel?Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Kwanza Mimi sio Muislamu usiwe mpumbavu.Duuuuh yaaani ujinga afanya hamas 7/10/2023 lawama apewe israel?
we mvaa kobaz ume rogwa nini?
Sisi WAARABU leo hatuna comments labda tusubiri kutoka kwenu WAISRAEL wa Tanzania [emoji1787]WAARABU wa Tanzania karibuni, tunasubiri comments zenu.
Mpumbavu ni wewe hapo na waliokuza.Sikujua kama wewe jamaa ni mjinga wa kiwango hicho!
Kwa hiyo Hamasi kuwateka watu ikiwemo hao Watanzania wenzetu ni sawa kwako sio??
Kwenye ambush Huwa wanakagua ID kujua Uraia wa watu?Alitekwa kwani yeye pia ni raia wa Israel? Kwanini Hamas waliua wananchi wasiyo na hatia mnamo October 7?
we olewa tu na shekhe kimsboy au shekhe green rajab au Ritz basi utakua ume slim uki ona wote una wamudu basi wanaweza kua waume zako automatic tayari na ww utakua ni miongoni mwa wavaa baibuiKwa vyovyote vile huyu atakua kauwawa na magaidi ya IDF kwa airstrikes nilivyofuatilia hii vita Hamas wanapigana kistaarabu sana. Jamani kama kuna muislamu humu aniambie taratibu za kusilimu . Takbiiiiriiiii
Lini Hamas wakasema wataachia Raia wa nchi nyingine?Hamas ililenga kuua Wayahudi kukipiza Kisasi kama walikuwepo na wageni kwenye sherehe ni bahati mbaya Yao.
Ambush Huwa haikagui ID ,mambo ya maelezo ni mbele ya safari.Ndio maana nasema kama sio papara za Israel Kijana Wetu angepona maana Mpango ni kuachia wageni kasoro wayahudi na west hao hapana.
Hivi little brother ni proper English?View attachment 2816841
22 yrs old, My deepest sympathies to you and your family, kijana kabisa anaetegemewa na famiia na Taifa kwa ujumla. Clemence Felix Mtenga RIP my little brother.