We kwenye vita Kila kitu kinaweza kitumika, hamasi watakua wamemtumia kama human shield ndo tabia zaoHamas ililenga kuua Wayahudi kukipiza Kisasi kama walikuwepo na wageni kwenye sherehe ni bahati mbaya Yao.
Ambush Huwa haikagui ID ,mambo ya maelezo ni mbele ya safari.Ndio maana nasema kama sio papara za Israel Kijana Wetu angepona maana Mpango ni kuachia wageni kasoro wayahudi na west hao hapana.
noma wengi ni wa suaWatoto wa SUA dah 🤔🤔🤔
Nani alianza kumchokoza mwenzake? Huyo Mtanzania huo ugomvi wa Israel vs Palestina unamhusu nini hadi wamshikilie hadi afe?Hamas walaaniwe kwa kuuwa kijana mdogo ila Israel ibalikiwe kwa kuuwa vichanga acha unafiki wa kifala.
Wewe upo dunia ya wapi,kijana alitekwa na magaidi ya hamas,laana isiyo na sababu haimpati mtu,walaani magaidi.Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Nani alimteka,tutawalaumu tu wazee wa mahandaki na maroketi magaidi aka hamasKauliwa na airstrike za wazayuni huyo usiwalaumu Hamas
Kama magaidi ya Israel yalivyouawaTandikeni hayo magaidi
Hamas hawatumii binadamu kama human Shield hizo ni porojo za jeshi la israeli.Watakua walimtumia kama human shield
Israel ilaaniwe na wawe na maisha ya kutanga Tanga hivyo hivyoWewe upo dunia ya wapi,kijana alitekwa na magaidi ya hamas,laana isiyo na sababu haimpati mtu,walaani magaidi.
Israel hakujua kwamba hao ni mateka inahitaji mazungumzo waachiliwe Kwa kubadilishana wafungwa?We kwenye vita Kila kitu kinaweza kitumika, hamasi watakua wamemtumia kama human shield ndo tabia zao
Wewe ni mpalestina?Imewauma ya mtanzania, lakini ya waislamu kuuawa haiwaumi, wamama, watoto/njiti wanauawa ila roho zenu hazishtuki, kwahiyo mtanzania ana thamani kuliko ndugu zetu wapalestina sio!!! Mnakera sana
Najaribu kusoma sielewi ulichoandika, hivi october 7 nani aliyerusha jiwe kwa mwenzie? Sie tunahusikaje na ugomvi wao hadi watuulie mwanatu?
Wameenda sana Copenhagen, Israel na wengine Germannoma wengi ni wa sua
Sijaelewa hii sentensi wajameni...ni Israel amefanya hivyo au ipoje...mnatuchanganya wafiwa namna hii..Israel ilaaniwe Kwa kusababisha Kijana Wetu kupoteza maisha.
Ndugu zenu Waislamu wa wapi?Mwanetu wewe na nani!! Hivi wanavyouawa ndugu zetu waislamu haiwaumi sio! Ila ya mtanzania mmoja imewauma sio!! Walaumuni hao hao taifa teule
Sahihi kabisaInawezekana pia ameuawa kwa vile hakuwa muislam....na ndiyo maana wanao support Hamas humu hawaguswi na kifo chake
Aliye anza kumchokoza mwenzake ni yule aliye kuja kwenye ardhi za watu akaziteka na kuwageuza wenye ardhi kuwa sawa na watumwa.Nani alianza kumchokoza mwenzake? Huyo Mtanzania huo ugomvi wa Israel vs Palestina unamhusu nini hadi wamshikilie hadi afe?
Una uchungu wa Wapalestina kuliko hata mtanzania mwenzako. Shame on you.