We kwenye vita Kila kitu kinaweza kitumika, hamasi watakua wamemtumia kama human shield ndo tabia zaoHamas ililenga kuua Wayahudi kukipiza Kisasi kama walikuwepo na wageni kwenye sherehe ni bahati mbaya Yao.
Ambush Huwa haikagui ID ,mambo ya maelezo ni mbele ya safari.Ndio maana nasema kama sio papara za Israel Kijana Wetu angepona maana Mpango ni kuachia wageni kasoro wayahudi na west hao hapana.