Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Israel iichukue gaza yote na kuangamiza magaidi pamoja na vizazi vyao vyote.
 
Serikali iliitambuq hiyo Palestine, kwa nini hawakutumia diplomasia kuwaokoa hao vijana ?

Yaani mtu mpaka amefariki ndo waseme
 
Kusema tuu amefariki bila kutoa maelezo ya amefariki vipi haitoshi.

Tuliambiwa wamechukuliwa mateka Sasa mbona hamjatueleza kifo chake kimesababishwa na nini?

Semeni oparesheni ya Kisengerema ya Israel imemuua Kijana Wetu.
Alitekwa kwani yeye pia ni raia wa Israel? Kwanini Hamas waliua wananchi wasiyo na hatia mnamo October 7?
 
Wakati wa ambush hukagui vitambulisho.Mazungumzo yangefanyika wangeachiliwa ila Kwa kuwa mashetani wa Kizayuni wanataka Damu ndio yameua kijana Wetu.

Nyerere aliyalaani haya na South Africa imefukiza Balozi wao kule.
Kwa Nini Kwanza Wateke? Hamas matoto ya Lile Joka na Nabii wake wa Uongo
 
Itakuwa shambulizi la Octb 7 Chief, Jamaa waliua kila aliyekutwa mbele yao.
Hapana, taarifa ya Israel ya kwanza ndio ilisema ni miongoni mwa mateka.

Leo hawajasema amefariki wapi na most likely ni kwenye mapigano na Hamas wanakosema wanawatafuta mateka
 
Acha chuki za kipumbavu
 
Bongo Hatujui Vita,
Mungu atusaidie
tungejua kwa jinsi walivyomfanya mtanzania mwenzetu fasta tungepeleka kikosi cha jeshi kuwafurusha hamas waikimbie gaza. Tungepigana upande wa israel kuwanyoosha magaidi
 
Alitekwa kwani yeye pia ni raia wa Israel? Kwanini Hamas waliua wananchi wasiyo na hatia mnamo October 7?
Hamas ililenga kuua Wayahudi kukipiza Kisasi kama walikuwepo na wageni kwenye sherehe ni bahati mbaya Yao.

Ambush Huwa haikagui ID ,mambo ya maelezo ni mbele ya safari.Ndio maana nasema kama sio papara za Israel Kijana Wetu angepona maana Mpango ni kuachia wageni kasoro wayahudi na west hao hapana.
 
Wakati wa ambush hukagui vitambulisho.Mazungumzo yangefanyika wangeachiliwa ila Kwa kuwa mashetani wa Kizayuni wanataka Damu ndio yameua kijana Wetu.

Nyerere aliyalaani haya na South Africa imefukiza Balozi wao kule.
Sikujua kama wewe jamaa ni mjinga wa kiwango hicho!
Kwa hiyo Hamasi kuwateka watu ikiwemo hao Watanzania wenzetu ni sawa kwako sio??
 
Duuuuh yaaani ujinga afanya hamas 7/10/2023 lawama apewe israel?
we mvaa kobaz ume rogwa nini?
Kwanza Mimi sio Muislamu usiwe mpumbavu.

South iliyofukuza Balozi wa Israel wanavaa kobazi?

Mwisho aliyeua kijana ni Hamas? Huyu alikuwa mateka ameuwawa na Mazayuni.
 
Sikujua kama wewe jamaa ni mjinga wa kiwango hicho!
Kwa hiyo Hamasi kuwateka watu ikiwemo hao Watanzania wenzetu ni sawa kwako sio??
Mpumbavu ni wewe hapo na waliokuza.

Nimekuuliza ambush Huwa wanakuja ID,umeshanijibu? Utajua huyu ni Mtanzania au Mmarekani?
 
Kwa vyovyote vile huyu atakua kauwawa na magaidi ya IDF kwa airstrikes nilivyofuatilia hii vita Hamas wanapigana kistaarabu sana. Jamani kama kuna muislamu humu aniambie taratibu za kusilimu . Takbiiiiriiiii
we olewa tu na shekhe kimsboy au shekhe green rajab au Ritz basi utakua ume slim uki ona wote una wamudu basi wanaweza kua waume zako automatic tayari na ww utakua ni miongoni mwa wavaa baibui
 
Lini Hamas wakasema wataachia Raia wa nchi nyingine?
Kwa nini hawakuachiwa mwezi sasa?
Yaani kutetea hawa washenzi kisa dini? yaani umekua brainwashed na izo dini kiasi hiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…