Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Mmoja kati ya Watanzania waliokuwa hawajulikani walipo Nchini Israel, yabainika amefariki Dunia

Israeli imekiri kuwa iliwashambulia raia wake siku hiyo ya tarehe 7 kwenye tamasha la music so is likely kama mtanzania mwenzetu mwili umepatikana ndani ya mipaka ya eneo la Israel ambako tamasha lilifanyika basi ni wazi kuwa atakua ameuwawa na majeshi ya israeli.
 
nilikuwa natamani mtoto wa shehe ponda au wa faiza foxy ndo angekuwa huyoo clemence mtenga ili wajue hao hamas wanaowatetea ni watu wa aina gani.

hao waarabu wanavyochukia rangi nyeusi sijui kwanini hawa wavaa kobaz wa Tanzania hawaelewi.
 
Ubarozi wa palestina uondolewe, ni magaidi hawa wanachukua vijana kuwapeleka kwenye mafunzo ya kigaidi,yamemkuta wanatwambia mwanafunzi, tokalini watanzania wakaenda kusomea palestina?
 
hadi mwili wake umepatikana,
uchunguzi utabainisha kilichosababisha kifo chake, mathalani ni mateso ya watekaji, kipigo cha watekaji, njaa na kiu kwenye maficho ya watekaji, maradhi na magonjwa ya kawaida au mlipuko katka maficho ya watekaji, hali ya hewa, sumu au ni katika purukushani na mistakes za uvamizi wa waokoa mateka dhidi ya watekaji n.k

Uchunguzi wa mwili utasaidia kwa kiasi kuondoa sintofahamu ya kifo cha muungwana huyu..

Rest In Peace Clemence
Wahusika wakuu wa kifo chake ni Hamas.
 
na kuna psychopaths walikua wanafurahia na kuwaita Hamas mashuja

hii inaumiza sana blood of our blood RIP
Ni upuuzi mtupu. Hamas hawana ushujaa ni terrorist wa hovyo. Sema tu hili swala limekaa kidini zaidi. Watu wa dini fulani wanashabikia Hamas na watu wa dini nyingine wanashabikia Israel
 
Kifo Cha huyu dogo ndio kimefanya ni feel maumivu wanayopata Wapalestina Kwa kunyanyaswa na kuuwawa ndugu zao na Israel.

Nimeelewa kwamba haitakuja kutokea amani hapo Kwa sababu Nguvu ya Kisasa inakuja unatamani Bora ufe kuliko kumuona mtesi wako.
Kwa imani yako ya dini lazima u feel maumivu ya wapalestina kuuwawa lakini Hamas walipovamia Israel na kuuwa waisrael uliona ni sawa. Hizi dini tulizoletewa waafrika na wakoloni na kukaririshwa zinasumbua sana.
 
View attachment 2816841
22 yrs old, My deepest sympathies to you and your family, kijana kabisa anaetegemewa na famiia na Taifa kwa ujumla. Clemence Felix Mtenga RIP my little brother.
inafikirisha sana, ulitaka afe wa miaka mingapi?
Musrael wa miaka 85 yule mze na mke wake wamefariki dunia imesimama, ni settler na mkulima mkubwa, wewe kila anayefariki unasema anategemewa na familia wakati yeye ndio tegemezi analipiwa ada ana anakula nyumbani, acha kukariri maisha.
 
Ni upuuzi mtupu. Hamas hawana ushujaa ni terrorist wa hovyo. Sema tu hili swala limekaa kidini zaidi. Watu wa dini fulani wanashabikia Hamas na watu wa dini nyingine wanashabikia Israel
Wayahudi na WAislamu, Tanzania kuna wayahudi?
Umezunguka sana, kama ni posa kwa mwanamke huwezi mpata, sema Waarabu wa Tanzania wanawasapoti HAMAS, na wakristu wanasapoti ISRAEL na si wayahudi kama kichwa chako kinavyokutuma.
 
Hivi wakati Yaser Arafat akiwa Kiongozi wa Palestine,Hamas walikuwa wanamuunga mkono au hapana?

Nauliza hivi Kwa sababu Nina hakika Serikali yetu ingepitia Iran ambako tuna mahusiano mazuri wao Iran wangewatafuta Washirika wao Hammas wangeqaachia Vijana Wetu.
MAGAIDI wanaachiaga mtu au mikono yao inanuka damu?
Waliolipua ubalozi wa marekani hapa DAr , Nairobi na Kampala wao wao ndio wawachie vijana wenu? Wanupendo gani na nyie?
Sisi hatuna uhusiano na Palestina mpaka Tuzungiuke kwa Iran?
Hiki kizazi sijui ni kile cha 2007-8 walipitishwa form four wote, hata waliofeli maana hata historia ya kawaida hawajui.
 
Mazingira ya kifo chake yanaonesha alikuwa hajatekwa bali wenda aliuawa siku ya uvamizi wa hamas sema mwili wake ulikuwa haujatambuliwa.
WAcha kuongeza maneno kwenye taarifa ya ovyo tuliyosomewa:
Acheni kukumbatia MAGAIDI YA KIISLAMU-HAMAS, muite mbwa kwa jina lake.
 
Back
Top Bottom