Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

We jamaa hebu sema wale walishambulia mall lenu huko mliwakamata mpaka leo?
Siku ukijua vikundi hivi vinadhaminiwa na wayahudi na Wamarekani ndio utajua hujui
Dunia hii mpaka leo bado unashabikia ujinga na udini
Hapo hakuna dini bali ni mipango yao tu
Wewe kuna muislamu kakupiga hata Kofi hapo jirani au mnasaidiana
Unajifanya una chuki sana na waislamu lakini deep down unajua ni mbinu za wayahudi tu hizo
Wake up boy
 
makao ya sovient yalikuwa wapi?
 
Wanajua ukweli ila ni chuki tu za kidini
Huyu jamaa ni mbaguzi wa dini sana sijui walimfanya kitu mbaya


Itakuwa kafanyiwa kitu mbaya maana kila jambo yeye ni Uislamu lakini nina wasiwasi ni lile tapeli la kimataifa la kule New york Maxi Shimba lililokamatwa pamoja na wa nigeria kwa kuwauzia vizee nyumba hewa .

kafilisika kaona njia ya kupatia pesa ni kuutukana uislamu na kujifanya mchungaji huku akipata vijisenti vya wazungu vizee
 
Mwanzilishi wa ugaidi huu ni USA Trump kasema muanzilishi wa ISIS ni obama.ugaidi has nothing to do with islamic religion you fool.
 
Watu wachunguze Imani zao wanazozo ziabudu. Mungu wa kweli hawezi kutaka kafara ya damu za wanadamu aliyewaumba kutoka kwa mashabiki zake wanajifanya kumpigania. Angalau miezi Yao hii , lazima wamwage damu za watu wasio na hatia
 
Watu wachunguze Imani zao wanazozo ziabudu. Mungu wa kweli hawezi kutaka kafara ya damu za wanadamu aliyewaumba kutoka kwa mashabiki zake wanajifanya kumpigania. Angalau miezi Yao hii , lazima wamwage damu za watu wasio na hatia
Muanzilishi wa ISIS ni obama.It has nothing to do with islamic religion.
 
Wajinga watakataa kuwa Marekani sio muanzilishi wa ISIS.muanzilishi wa ISIS ni Obama.
Kama mwarabu anakubali kuwa gaidi Kwa manufaa ya marekani basi hawa ndugu zako hawana Akili timamu.
Kama wanatumika kuichafua dini Yao Kwa manufaa ya marekani hapa ndipo tunapta jibu kuwa waarabu ni wajinga yaani Kwa kifupi marekani itakuwa Wana Akili nyingi Hadi anawaingiza chaka waislamu yaani Kwa kifupi umenipa jibu kuwa kuna UJINGA kwenye baadhi ya dini Fulani
 
Pesa wanatumia pesa kuwalaghai waislamu masikini ila hata magaidi wakristo wapo.
 
Hawa wanafiki wayahudi weusi ukiwauliza katika nyumba zao nani kauwawa au hata kutemewa na muislam hawana jibu
Ila ni ushabiki wa kijinga sana
Utakuta anadaiwa na muislam
Kuna watu wamefundishwa chuki na wazazi wao na hata kanisani tangu wadogo kuwa sisi ni maadui wao
Ila hawajawahi kupigwa achilia mbali kuuwawa
Sasa wanaona propaganda za magharibi wanazifuata
 
Kwa hiyo wafuasi wa ISS ni wakristu wenzake? Ambao wanapigana kuwauwa wakristu ili kuisimamisha Daesh? Hizo propaganda za kijinga kadanganyaneni wenyewe huko kwenye tarawea
Wewe unawajua wafuasi wote wa ISIS?Alafu wewe na Trump nani najua siri za dunia hii?alafu tumia akili yaani waislamu waanzishe kitu ambacho kitachafua dini yao?alafu ugaidi haujawathiri wakristo tu hata waislamu wenyewe.tumia akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…