Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Limetetemeka kweli kweli na kufunguka yote, sijawahi kuelewa mawazo ya hawa watu na haya maugaidi ya kwenye dini yao....................


This is the moment the gunmen suspected of carrying out an attack on a concert hall in Moscow are arrested by Russian authorities.

Videos shared online show three different men, who Moscow claims were responsible for the attack at the Crocus City Hall on Friday, allegedly being detained by a group of soldiers.

One of the suspects is seen shaking on his knees, with his hands bound behind his back, apparently confessing to carrying out the massacre, which left more than 140 people dead.
He was reportedly filmed while being held in the Bryansk region after he was found hiding in a tree while trying to flee to Ukraine, which has vehemently denied any role in the bloodbath.

The Islamic State group claimed responsibility for the massacre, which they have said came 'within the context of a raging war between the Islamic State and countries fighting Islam'.

One of the men suspected of carrying out an attack on a Moscow concert hall is seen shaking on his knees, with his hands bound behind his back

+15
View gallery
One of the men suspected of carrying out an attack on a Moscow concert hall is seen shaking on his knees, with his hands bound behind his back
Another man, who was reportedly arrested for the attack, was pictured with his hands tied behind his back while sitting on a blue bench

+15
View gallery
A video shows one of the suspects apparently confessing as he is kneeling with his hands bound behind his back.
He is quizzed: 'Exactly what was offered?', to which he replies: 'To do these things for money'.

The interrogation continues: 'Which things? What exactly?'. He replies: 'These things, to kill.'

A soldier then asks: 'To kill who?'. He responds: 'They sent the location [on the Telegram messenger].'

The man goes on to say that he was told to walk into the venue and kill anyone, no matter who they were.

He said he had flown from Turkey on March 4 and had received instructions from unknown people via Telegram to carry out the attack in exchange for money.

He claimed he had followed a presumably Muslim 'preacher' on Telegram. He gave his name as Fariduni Shamsidin.

He said: 'I listened to lessons, studied on Telegram. The preacher's assistant suggested killing people, and promised me a million rubles.'

He claimed not to know the name of the preacher of his assistant who had ordered the killings.

The man was initially shown lying on his stomach with his hands bound behind his back, his chin resting on the boot of a figure in camouflage uniform

+15
View gallery
The man was initially shown lying on his stomach with his hands bound behind his back, his chin resting on the boot of a figure in camouflage uniform

Another man, who was reportedly arrested for the attack, was pictured with his hands tied behind his back while sitting on a blue bench
Hapa duniani wewe unaweza ukawa mjinga wa mwisho, ukienda hata page za sky news hao wazungu wenyewe hawaamini huo uongo wa marekani na wenzake kuhusu sijui isis ila wewe mtu mweusi hutakibkutumia akili yako unaamini kila unacholetewa , kiufupi huna akili
 
Mwanzilishi wa ugaidi huu ni USA Trump kasema muanzilishi wa ISIS ni obama.ugaidi has nothing to do with islamic religion you fool.

Nyie mnaosema ugaidi huu ni wa kiislamu muanzilishi wa ISIS ni Obama( souce Trump).anayesema kuwa muanzilishi wa ugaidi ni waislamu ni mjinga.

Wajinga watakataa kuwa Marekani sio muanzilishi wa ISIS.muanzilishi wa ISIS ni Obama.

Muanzilishi wa ISIS ni obama.It has nothing to do with islamic religion.
In 2004 Abu Musab al-Zarqawi
 
Hawa wanafiki wayahudi weusi ukiwauliza katika nyumba zao nani kauwawa au hata kutemewa na muislam hawana jibu
Ila ni ushabiki wa kijinga sana
Utakuta anadaiwa na muislam
Kuna watu wamefundishwa chuki na wazazi wao na hata kanisani tangu wadogo kuwa sisi ni maadui wao
Ila hawajawahi kupigwa achilia mbali kuuwawa
Sasa wanaona propaganda za magharibi wanazifuata
Utaleta fujo za kidini Tanzania? Au unaongea ujinga humu?. Serikali hipi itakuchekea na ushaambiwa haina dini?. Unatolea mfano Tanzania? Kutemewa mate?. Mnakumbuka mlipoanza kuvunja mabucha ya nguruwe ilikuwaje. Alafu unajifanya hapa nani katemewa hata mate?. Kwahiyo na mlivyokua mnavunja mabucha ya nguruwe miaka Ile mlitumwa na marekani na wayahudi. Hata Kama una fuvu bovu ficha upumbavu
 
Umemtetea Mwislamu mwenzio na kumsingizia Myahudi???

Je, Myahudi amewahi kukupiga hata kofi hapo kwako?
Asijitetee kuwa hapa hawajatemea mate watu. Hawafanyi sababu serikali Haina dini na ukileta unapewa tu nzima na Upumbavu wako. Kumbuka walipovunja mabucha ya nguruwe anajisafisha na nini?. Hao serikali iegemee tu kwao kinaumana kesho tu. Muulize wakati wanavunja mabucha ya nguruwe walitumwa na USA na wayahudi?
 
Na mnaziamini hizi habari na hizo picha ??? Warusi watakuwa wapumbavu sana kuziwacha hizi habari open lakini ndio wengine mnakula kila mnachotupiwa mdomoni
Wamezichia na hiyo mibwege inakiri, inaimba tu kama mitahira. Urusi siyo Marekani. Putin alishasema yeye jukumu lake ni kuwawaisha tu Jehanamu kwenda pata mabikra 60.
 
ukwel wa kuwatunza misikitini ? ukwel wa kuwasaidia kupata wapiganaji misikitini ? ukwel wa kuwatetea pindi serikali zikiwashika ?

WAISLAM WOTE NI MAGAIDI NA HIZO NDO NJIA ZA KUJIFICHA NYUMA YA USA
Hilo ni kosa kuingiza uislam wote
Mambo yanayoendelea duniani tunayajua na kuyasikia
Sikubaliani na haya kwani kuna vijana wanakuwa brainwashed na kupelekwa kuuwa na hao ambao wanaojifanya waislam
Yanatokea Ulaya watoto wakichukuliwq na kwenda kufia hata Somalia kwa kujilipua
Sasa hao wanaowatuma wana uislam gani hapo
Chuki mbaya sana Kama ukishajiaminisha au kuaminishwq kanisani kuwa waislam ni wabaya rejea waziri wenu wa ardhi zamani
 
Mnataka kulisha watu uchafu
• Kwa hicho kipande tu, nilicho quote hapo, Tayari una udini ndani yake..

• Sisi waafrika tutabaki kuwa wapumbavu milele na milele, kama tutaendelea kusikiliza dini za waarabu na Wazungu.
 
Inawezekana ni kweli USA kaiunda ISS.
lkn anawatumia waislamu kutokana na uwezo wao mdogo waliowengi wa kuchanganua mambo.
Mafundisho ya uislamu km haupo vizuri kichwani na ukimpata mwalimu mwenye ajenda chafu ni rahisi sana kukuingiza kwenye ugaidi
Ni watu wa mihemko sana
Una hakika gani kama wote anaowatumia ni waislamu ??
 
boko haram , alshabab , Is central africa , Adf , Janjaweed , Seleka , IS north africa wote hawa mnawatunza misikitin na hakuna kiongoz wenu amewai wakana hadharani

sisi yule muhuni wa kuitwa Kony karibu kila kanisa limewai mkana hadharani

Ulitaka tuje kanisani kwako tuwakane ?+ hebu niambie kanisa lako ni lipi nitakuja kuwakana
 
mnawatunza misikitini , mnawatetea kwa mauaji yao , mnawasaidia kupata wapiganaji huko misikitini , wakishikwa mna andamana

HALAF LEO MNASEMA WANASAIDIWA NA WAYAUDI NA WAMAREKANI

MSIDHANI SISI WAJINGA KABISA
Hata sisi tunaoamini kuuwa ni dhambi hatuwezi kutetea hao wauwaji
Siku moja ukweli utatokea hata kama sio leo
Hizi mbinu zitajulikana hata watu wajitoe ufahamu

Hao waliokamatwa tuone kama watawataja waliowatuma zaidi ya kusema waliongea kwa simu
Unakubalije mission kwa simu na unaahidiwa hela
Unaona kuna kifo mbele?
Walio nyuma ya vurugu hizi wanajulikana ili kuharibu image yetu lakini hawafanikiwi
 
Wamezichia na hiyo mibwege inakiri, inaimba tu kama mitahira. Urusi siyo Marekani. Putin alishasema yeye jukumu lake ni kuwawaisha tu Jehanamu kwenda pata mabikra 60.

Mrusi ameanza kuichapa Ukraina kila kona anawawaisha huko unakokupigania waende
 
Back
Top Bottom