Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Muanzilishi wa ugaidi ni yule muhammed wenu maana ametoa maelekezo muue watu wasio wa hiyo dini yenu.

Math 15:4

For God said, 'Honor your father and mother' and 'Anyone who curses his father or mother must be put to death.'



MATH 10;34
1711249212737.gif
 
Wewe unawajua wafuasi wote wa ISIS?Alafu wewe na Trump nani najua siri za dunia hii?alafu tumia akili yaani waislamu waanzishe kitu ambacho kitachafua dini yao?alafu ugaidi haujawathiri wakristo tu hata waislamu wenyewe.tumia akili.

Wewe unayewajua kwenye dini yenu tuambie maana hayo mazombi yenu yanazingua sana....
 
Mwanzilishi wa ugaidi huu ni USA Trump kasema muanzilishi wa ISIS ni obama.ugaidi has nothing to do with islamic religion you fool.
Sasa kama makundi niyammarekani kwanin tusione kuna makundi yenye mlengo wadini zingine mbali nauislam akafungue makundi yakigaidi ambayo yanatumia biblia au torati kuua ila tunaona makundi yote yanatumia quran, sharia, nasunnah tena nashahada kabisa
 
Mwanzilishi wa ugaidi huu ni USA Trump kasema muanzilishi wa ISIS ni obama.ugaidi has nothing to do with islamic religion you fool.
Rubbish..
Halafu ikawaje Iran ikawa ndo mlezi na mfadhili wa hao magaidi wa iSIS?

Na ni kwa nini magaidi wote wa hilo kundi la kigaidi ni waislamu pekee na siyo dini zingine?
 
Inawezekana ni kweli USA kaiunda ISS.
lkn anawatumia waislamu kutokana na uwezo wao mdogo waliowengi wa kuchanganua mambo.
Mafundisho ya uislamu km haupo vizuri kichwani na ukimpata mwalimu mwenye ajenda chafu ni rahisi sana kukuingiza kwenye ugaidi
Ni watu wa mihemko sana
Usisikilize hawa mazwazwa humu. Waanzilishi na wafadhili wa makundi yote ya kigaidi pamoja na wapiganaji ndani ya hayo makundi wote ni wafuasi wa mudi tupu. Na sera yao ni ile ile, kuua watu wasio na hatia ili kutetea allah
 
We jamaa hebu sema wale walishambulia mall lenu huko mliwakamata mpaka leo?
Siku ukijua vikundi hivi vinadhaminiwa na wayahudi na Wamarekani ndio utajua hujui
Dunia hii mpaka leo bado unashabikia ujinga na udini
Hapo hakuna dini bali ni mipango yao tu
Wewe kuna muislamu kakupiga hata Kofi hapo jirani au mnasaidiana
Unajifanya una chuki sana na waislamu lakini deep down unajua ni mbinu za wayahudi tu hizo
Wake up boy
mnawatunza misikitini , mnawatetea kwa mauaji yao , mnawasaidia kupata wapiganaji huko misikitini , wakishikwa mna andamana

HALAF LEO MNASEMA WANASAIDIWA NA WAYAUDI NA WAMAREKANI

MSIDHANI SISI WAJINGA KABISA
 
Wanajua ukweli ila ni chuki tu za kidini
Huyu jamaa ni mbaguzi wa dini sana sijui walimfanya kitu mbaya
ukwel wa kuwatunza misikitini ? ukwel wa kuwasaidia kupata wapiganaji misikitini ? ukwel wa kuwatetea pindi serikali zikiwashika ?

WAISLAM WOTE NI MAGAIDI NA HIZO NDO NJIA ZA KUJIFICHA NYUMA YA USA
 
Itakuwa kafanyiwa kitu mbaya maana kila jambo yeye ni Uislamu lakini nina wasiwasi ni lile tapeli la kimataifa la kule New york Maxi Shimba lililokamatwa pamoja na wa nigeria kwa kuwauzia vizee nyumba hewa .

kafilisika kaona njia ya kupatia pesa ni kuutukana uislamu na kujifanya mchungaji huku akipata vijisenti vya wazungu vizee
boko haram , alshabab , Is central africa , Adf , Janjaweed , Seleka , IS north africa wote hawa mnawatunza misikitin na hakuna kiongoz wenu amewai wakana hadharani

sisi yule muhuni wa kuitwa Kony karibu kila kanisa limewai mkana hadharani
 
Muanzilishi wa ugaidi ni yule muhammed wenu maana ametoa maelekezo muue watu wasio wa hiyo dini yenu.
Tumia akili waislamu hawawezi kuanzisha kitu kitakachoharibu sifa ya dini yao.kila mtu mwenye akili anajua muanzilishi wa hivi vikundi ni CIA na Mossad chini ya kina Obama.
 
Wewe unayewajua kwenye dini yenu tuambie maana hayo mazombi yenu yanazingua sana....
Magaidi waliokamatwa ni waukraine ambao wengi wao ni wakristo.wewe huna Akili na unachuki ya kishamba ndo maana unaongeza vitu ambavyo havieleweki.
 
Sasa kama makundi niyammarekani kwanin tusione kuna makundi yenye mlengo wadini zingine mbali nauislam akafungue makundi yakigaidi ambayo yanatumia biblia au torati kuua ila tunaona makundi yote yanatumia quran, sharia, nasunnah tena nashahada kabisa
Yapo mengi tu kina koni,hao wa DRC nao ni waislamu? ukweli ni kwamba hayo makundi yameanzishwa na Marekani ili kuleta insecurities ili watawale vizuri na kuchukua resources.
 
Rubbish..
Halafu ikawaje Iran ikawa ndo mlezi na mfadhili wa hao magaidi wa iSIS?

Na ni kwa nini magaidi wote wa hilo kundi la kigaidi ni waislamu pekee na siyo dini zingine?
Weka evidence acha kuropoka.Mimi nimekupa evidence kwamba Trump kasema na video zipo namna ambavyo Marekani kaanzisha hayo makundi.
 
Back
Top Bottom