Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

We jamaa hebu sema wale walishambulia mall lenu huko mliwakamata mpaka leo?
Siku ukijua vikundi hivi vinadhaminiwa na wayahudi na Wamarekani ndio utajua hujui
Dunia hii mpaka leo bado unashabikia ujinga na udini
Hapo hakuna dini bali ni mipango yao tu
Wewe kuna muislamu kakupiga hata Kofi hapo jirani au mnasaidiana
Unajifanya una chuki sana na waislamu lakini deep down unajua ni mbinu za wayahudi tu hizo
Wake up boy
 
We jamaa hebu sema wale walishambulia mall lenu huko mliwakamata mpaka leo?
Siku ukijua vikundi hivi vinadhaminiwa na wayahudi na Wamarekani ndio utajua hujui
Dunia hii mpaka leo bado unashabikia ujinga na udini
Hapo hakuna dini bali ni mipango yao tu
Wewe kuna muislamu kakupiga hata Kofi hapo jirani au mnasaidiana
Unajifanya una chuki sana na waislamu lakini deep down unajua ni mbinu za wayahudi tu hizo
Wake up boy
makao ya sovient yalikuwa wapi?
 
Wanajua ukweli ila ni chuki tu za kidini
Huyu jamaa ni mbaguzi wa dini sana sijui walimfanya kitu mbaya


Itakuwa kafanyiwa kitu mbaya maana kila jambo yeye ni Uislamu lakini nina wasiwasi ni lile tapeli la kimataifa la kule New york Maxi Shimba lililokamatwa pamoja na wa nigeria kwa kuwauzia vizee nyumba hewa .

kafilisika kaona njia ya kupatia pesa ni kuutukana uislamu na kujifanya mchungaji huku akipata vijisenti vya wazungu vizee
 
Limetetemeka kweli kweli na kufunguka yote, sijawahi kuelewa mawazo ya hawa watu na haya maugaidi ya kwenye dini yao....................


This is the moment the gunmen suspected of carrying out an attack on a concert hall in Moscow are arrested by Russian authorities.

Videos shared online show three different men, who Moscow claims were responsible for the attack at the Crocus City Hall on Friday, allegedly being detained by a group of soldiers.

One of the suspects is seen shaking on his knees, with his hands bound behind his back, apparently confessing to carrying out the massacre, which left more than 140 people dead.
He was reportedly filmed while being held in the Bryansk region after he was found hiding in a tree while trying to flee to Ukraine, which has vehemently denied any role in the bloodbath.

The Islamic State group claimed responsibility for the massacre, which they have said came 'within the context of a raging war between the Islamic State and countries fighting Islam'.

One of the men suspected of carrying out an attack on a Moscow concert hall is seen shaking on his knees, with his hands bound behind his back

+15
View gallery
One of the men suspected of carrying out an attack on a Moscow concert hall is seen shaking on his knees, with his hands bound behind his back
Another man, who was reportedly arrested for the attack, was pictured with his hands tied behind his back while sitting on a blue bench

+15
View gallery
A video shows one of the suspects apparently confessing as he is kneeling with his hands bound behind his back.
He is quizzed: 'Exactly what was offered?', to which he replies: 'To do these things for money'.

The interrogation continues: 'Which things? What exactly?'. He replies: 'These things, to kill.'

A soldier then asks: 'To kill who?'. He responds: 'They sent the location [on the Telegram messenger].'

The man goes on to say that he was told to walk into the venue and kill anyone, no matter who they were.

He said he had flown from Turkey on March 4 and had received instructions from unknown people via Telegram to carry out the attack in exchange for money.

He claimed he had followed a presumably Muslim 'preacher' on Telegram. He gave his name as Fariduni Shamsidin.

He said: 'I listened to lessons, studied on Telegram. The preacher's assistant suggested killing people, and promised me a million rubles.'

He claimed not to know the name of the preacher of his assistant who had ordered the killings.

The man was initially shown lying on his stomach with his hands bound behind his back, his chin resting on the boot of a figure in camouflage uniform

+15
View gallery
The man was initially shown lying on his stomach with his hands bound behind his back, his chin resting on the boot of a figure in camouflage uniform

Another man, who was reportedly arrested for the attack, was pictured with his hands tied behind his back while sitting on a blue bench
Mwanzilishi wa ugaidi huu ni USA Trump kasema muanzilishi wa ISIS ni obama.ugaidi has nothing to do with islamic religion you fool.
 
Watu wachunguze Imani zao wanazozo ziabudu. Mungu wa kweli hawezi kutaka kafara ya damu za wanadamu aliyewaumba kutoka kwa mashabiki zake wanajifanya kumpigania. Angalau miezi Yao hii , lazima wamwage damu za watu wasio na hatia
 
Watu wachunguze Imani zao wanazozo ziabudu. Mungu wa kweli hawezi kutaka kafara ya damu za wanadamu aliyewaumba kutoka kwa mashabiki zake wanajifanya kumpigania. Angalau miezi Yao hii , lazima wamwage damu za watu wasio na hatia
Muanzilishi wa ISIS ni obama.It has nothing to do with islamic religion.
 
Wajinga watakataa kuwa Marekani sio muanzilishi wa ISIS.muanzilishi wa ISIS ni Obama.
Kama mwarabu anakubali kuwa gaidi Kwa manufaa ya marekani basi hawa ndugu zako hawana Akili timamu.
Kama wanatumika kuichafua dini Yao Kwa manufaa ya marekani hapa ndipo tunapta jibu kuwa waarabu ni wajinga yaani Kwa kifupi marekani itakuwa Wana Akili nyingi Hadi anawaingiza chaka waislamu yaani Kwa kifupi umenipa jibu kuwa kuna UJINGA kwenye baadhi ya dini Fulani
 
Kama mwarabu anakubali kuwa gaidi Kwa manufaa ya marekani basi hawa ndugu zako hawana Akili timamu.
Kama wanatumika kuichafua dini Yao Kwa manufaa ya marekani hapa ndipo tunapta jibu kuwa waarabu ni wajinga yaani Kwa kifupi marekani itakuwa Wana Akili nyingi Hadi anawaingiza chaka waislamu yaani Kwa kifupi umenipa jibu kuwa kuna UJINGA kwenye baadhi ya dini Fulani
Pesa wanatumia pesa kuwalaghai waislamu masikini ila hata magaidi wakristo wapo.
 
Itakuwa kafanyiwa kitu mbaya maana kila jambo yeye ni Uislamu lakini nina wasiwasi ni lile tapeli la kimataifa la kule New york Maxi Shimba lililokamatwa pamoja na wa nigeria kwa kuwauzia vizee nyumba hewa .

kafilisika kaona njia ya kupatia pesa ni kuutukana uislamu na kujifanya mchungaji huku akipata vijisenti vya wazungu vizee
Hawa wanafiki wayahudi weusi ukiwauliza katika nyumba zao nani kauwawa au hata kutemewa na muislam hawana jibu
Ila ni ushabiki wa kijinga sana
Utakuta anadaiwa na muislam
Kuna watu wamefundishwa chuki na wazazi wao na hata kanisani tangu wadogo kuwa sisi ni maadui wao
Ila hawajawahi kupigwa achilia mbali kuuwawa
Sasa wanaona propaganda za magharibi wanazifuata
 
Kwa hiyo wafuasi wa ISS ni wakristu wenzake? Ambao wanapigana kuwauwa wakristu ili kuisimamisha Daesh? Hizo propaganda za kijinga kadanganyaneni wenyewe huko kwenye tarawea
Wewe unawajua wafuasi wote wa ISIS?Alafu wewe na Trump nani najua siri za dunia hii?alafu tumia akili yaani waislamu waanzishe kitu ambacho kitachafua dini yao?alafu ugaidi haujawathiri wakristo tu hata waislamu wenyewe.tumia akili.
 
Back
Top Bottom