Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Mmoja wa magaidi kutokea Uturuki aeleza jinsi walifuata mahubiri ya Fariduni Shamsidin kwenda kuua Warusi

Elimu elimu elimu hilo la kwanza, kisha inakuja kuishinda nafsi.
Gaidi wa kiislam lazima ahusike kwenye hayo mawili,
1. Aidha awe hana elimu nzuri anakuwa brainwashed, anapewa aya za kupigana na hadithi pasina maelezo ya kina, nae kwa kuwa dini anaichukulia kwa mihemko, anaumuka kama katiwa hamira.

2. Kuishinda nafsi, yaani anakuwa na elimu anajua hiki ni kibaya ama ni haramu, lakini kwakuwa anahitaji kitu fulani hajali, anachotenda.
Hii sio kwa magaidi tu hata sisi waislamu wa kawaida, zinaa mbaya myu anajua lakini anafanya, anapiga ulabu akijua haifai, mtu mshirikina, sheikh anapiga ramli hali ya kuwa anajua ni haram, mtu haendi msikitini hali anajua umuhimu wa ibada ya swala, mtu anadhulumu yatima akijua ni moja ya madhambi makubwa, mtu ni mnafiki akijua uzito wa unafiki, mtu msengenyaji na anajua ubaya wake. n.k

Niliwahi kumsikiliza saana sheikh rogo nikakiri mwenyewe kama nisingekuwa na elimu kidogo, akili y utambuzi kuchambua hiki sawa hiki si sawa basi nilikiri huyu aboud rogo anaweza mbadili mtu akili vizuri tu na akafanya jambo la hovyo kabisa.
tuanzishe team wakataa dini hapa. maana zinawatawala akili mpaka chizi anaweza kuongoza watu kwenye elimu za dini bila watu kujua
 
tuanzishe team wakataa dini hapa. maana zinawatawala akili mpaka chizi anaweza kuongoza watu kwenye elimu za dini bila watu kujua
Mimi si mkataa dini, ni muislam kabisaaa, kuandika hayo haimaanishi napinga la hasha ila nilichoandika ndicho ninachokijua na mtu aitwae gaidi wa kiislam, hayo mawili hawezi kosa.
 
Tumia ubongo acha kua mpumbavu tupe ushahidi wa haya uliyoyaandika.Acha kufikirishwa na chuki zako kwa Binadamu anayeheshimika na Binadamu zaidi ya billion moja kote dunian.
NI KWANINI NYIE WAKRISTU MUNAMCHUKIA MTUKUFU MTUME MUHAMMAD(Rehma na Amani ziwe juu yake na kizazi chake kitoharifu) kwa kiwangi hiki????
Mbona sisi Waislam hatumchukii Yesu(amani iwe juu yake) wala hatuthubutu kumtukana kama nyie mnaojifanya wafuasi wake munavyomtukana na kumvunjia heshima Mtukufu Mtume(amani iwe juu yake na kizazi chake kitoharifu)???
Halafu munajiita Wasomi mumesoma?Kusoma ndiyo kutukana tena watu watukufu?
Eeh Mwenyezi Mungu wajaalie Wakristu wote ufahamu na elimu ili waitambue Haqi.

Wacha kua mpumbavu, huyo mohammeda alifanya matukio ya kigaidi gaidi na ndio maana mumemuiga mnavaa hizo dera/kanzu na kulipukia watu mabomu, ni ujinga sana maana mwafrika unafuata upumbavu wa muarabu aliyeandika haya maupuzi huko jangwani....
Kasome "Siege of Banu Qurayza" uone jinsi huyo mtume alichinja wayahudi.
Na alivyokua bila aibu anadinya katoto ka miaka 9
 
Haya wewe mwenye akili mpya asokua chakavu unajua nn zaidi ya kula kila unacholishwa.Tunawajua Wakristu hawawapendi Waislam na sio tu kwamba hawawapendi wana chuki haswaaa na Waislam.Sijui kwaninin!!!Halafu kila anachoambiwa na Padri,Mchungaji au Muinjilist wake kwake ni sheria.Hao ndio wenye akili mpya zisizo chakavu.Kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Brother Nani ametaja waislamu? Mimi nimetaja kuhusu marekani, mbona unaingia vitu vipo nje na comment yangu?
Sometimes soma vizuri Kwanza kabla ya kukosoa
 
Haya wewe mwenye akili mpya asokua chakavu unajua nn zaidi ya kula kila unacholishwa.Tunawajua Wakristu hawawapendi Waislam na sio tu kwamba hawawapendi wana chuki haswaaa na Waislam.Sijui kwaninin!!!Halafu kila anachoambiwa na Padri,Mchungaji au Muinjilist wake kwake ni sheria.Hao ndio wenye akili mpya zisizo chakavu.Kweli watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Hawa wanafiki wayahudi weusi ukiwauliza katika nyumba zao nani kauwawa au hata kutemewa na muislam hawana jibu
Ila ni ushabiki wa kijinga sana
Utakuta anadaiwa na muislam
Kuna watu wamefundishwa chuki na wazazi wao na hata kanisani tangu wadogo kuwa sisi ni maadui wao
Ila hawajawahi kupigwa achilia mbali kuuwawa
Sasa wanaona propaganda za magharibi wanazifuata
Wewe kama hujui kitu kaa kimya.
Hawa hapa chini waislamu wa Tanzania wenye chuki kali kwa Ukristo, je wametumwa na magharibi?!

View: https://youtube.com/shorts/Gh34U30vi5Q?si=p-0LC62Hl3GbqkRF
 
Back
Top Bottom