Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

Aaaah! Mbona hujitambui kiasi hicho? Lini ulimtegemea Mzungu na akakusaidia? Unao mfano wowote wa hivi karibuni wewe, au yeyote aliyeshitaki kwao na kupata support? Europe has enough in bed not even to care what is coming from outside her borders. Be calm and avoid hysterical comments that are based on personal grievances. We are not in problems rather, you are in problems.
 
..hivi Mtanzania akimuandika vibaya Raisi Magufuli kwenye gazeti linalochapishwa nje ya Tanzania anakuwa amefanya uchochezi?

..naomba muongozo wa wanaJF wenye uelewa wa masuala ya sheria.

Cc Petro E. Mselewa , Pascal Mayalla

Wangekuwa hawana madhaifu, wangepuuzia. Kinachofanyika sasa ni kumnyamazisha kila anaye onekana kuwa na mawazo/mtazamo tofauti na wa kwao.

Kiukweli kosa lililofanyika 2015, hata Mungu anaweza asitusamehe.
 
Unaonekana una uelewa finyu kuhusu kazi ya wakili na pia kuhusu kesi zote zilizopo mahakamani.

Mwenye kujua kwamba huyu kweli alivunja sheria ni mahakama tena baada ya kusikiliza pande zote.

Wewe na akili yako yote unahukumu bila hata kutaka kumsikiliza mtuhumiwa,na unataka hata wakili afanye hivyo hivyo?
 
Sasa huku ndio mahakamani?kapambane mahakamani huku tutajaza server za JF bure.
 
Umesoma maelezo ya huyo mwanasheria wake anasema nini? Nincompoop!
 
Kaka umesema maneno yangu
Umeandika mawazo yangu
Sijajua nimuweke wapi Kabendera kwa uandishi ule.
Ni Janga
 
Kaka umesema maneno yangu
Umeandika mawazo yangu
Sijajua nimuweke wapi Kabendera kwa uandishi ule.
Ni Janga
Tatizo la wachangiaji JF na hasa wanasiasa ambao hapa wameficha majina yao, wanadhani rais akitukanwa basi wao wataonekana wanafaa kushika nafasi. Mtu kama huyu Kabendera ni limbukei ambaye akishangiliwa na wanaotaka nafasi hiyo, anashindwa kujizuia na kuanza kujirusha kuzidi kipimo. Ukweli ni kwamba, MAgufuli anapodhalilika, wao wanaiona TZ kama nchi isiyofaa.

Huyu lazima atiwe kibano kwa kushindwa kujitambua. Amekuwa mtumwa anayelinda watumwa wengine na kujiona yeye ana nafuu.
 
Tumeshakuwa Rwanda waandishi mchichungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…