Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

Kuna watu hapa TZ na Afrika hushukuru sana wakisikia Mzungu akitukana mataifa yao. Na, Ukiona hivyo, ni ishara na watu ambao evolution haikuwasaidia. Baadhi ni viongozi! Hapa kwetu niliona CHADEMA wakielekea umoja wa EU kushtaki serikali.
Toooo low!
Unavyotaka washangilie na kumsifia mkandamizaji wa haki zao? Wawe wanagugumia kimyakimya ili 'mzungu asisikie na 'kututukana'? Wasitoe siri ya kuonewa kwao katika nchi yao ili wasimchafue 'Rais' wao? KAMA kweli hayo yatoka moyoni mwako, basi tuna tatizo kubwa katika nchi hii. Kwani hiyo ndio style ilokuwa ikitumiwa na makaburu SA. Amen.
 
Kuna watu hapa TZ na Afrika hushukuru sana wakisikia Mzungu akitukana mataifa yao. Na, Ukiona hivyo, ni ishara na watu ambao evolution haikuwasaidia. Baadhi ni viongozi! Hapa kwetu niliona CHADEMA wakielekea umoja wa EU kushtaki serikali.
Toooo low!
Na Kuna watu hapa Tanzania na Afrika wanaofurahi Sana na kukenua wakiona madikteta wakiua watu hovyo kwa kisingizio cha maendeleo uchwara!!!
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Ukichukua maandishi ya hiku JF ukilinganisha na makala za the Economist ni uandishi upi wenye staha zaidi?
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Unaandika kama mtu ambaye hajitambui ndiyo maana unahitajika kusoma sheria ili upate ABC za sheria itakusaidia kuwa na mtazamo chanya dhidi ya sheria na wanasheria.
 
Kigoma barabara ya kasulu inajengwa, lile tope la kufamtu litakuwa historia, kunampango wa kujenga reli kutoka Uvinza mpaka Burundi. Kwa sasa bandari ya Kasanga inapanuliwa na napia kuna mpango wa kuongoza meli nyingine mpya ziwa Tanganyika..




Hata saa mbovu itasema wakati sahihi mara mbili kwa siku. Haiwezekani mtu apinge kila wakati labda mwenyewe awe mbovu luliko saa mbovu.
Tusaidie difination ya maendeleo plz
 
Unajua kuna jambo linanitatiza:Kama Jiwe anatendea mema taifa lake kwanini ni mwoga sana wa critics? Nimekuwa nikimfuatilia Trump harakati zake. Siku zote hujibu hoja kwa hoja dhidi ya critics wake. Na mara nyingi amekuwa akiwashinda. Sasa huyu wa kwetu anaziba watu midomo aongee yeye tu. Sasa kama anajiamini hayo anayoyafanya ni kwa ajili ya watanzania basi awaache na watanzania nao watoe maoni yao!

Watu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
 
Watu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
Yeye anachotakiwa kufanya ni kura kuamua na si vinginevyo. Ukiona mtu anapenda sana kusifiwa inabidi umchunguze vizuri kama hizo sifa zinaendana na hayo.
""Any man who must say 'I am the King' is no true king," says Tywin. (And in Joffrey's world, being King means that "everyone is mine to torment.")
Game Of Thrones
 
Sijaelewa vyema alikamatwa,29-july ,kosa la uchochezi ni 31-july kwa hiyo alikamatwa kabla ya kutenda kosa
 
Watu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
Wanyamazishwe =wauwawe?
Waende sehemu nyingine=wafukuzwe nchini?

Ndio akili za awamu ya tano kuwa ukimpinga JPM basi ni kifo au kufukuzwa nchini!!!
Huu ni uendawazimu kabisaaa!
 
Wrong or criticize some people and they will spend the rest of their lives seeking revenge.....
 
Unajua kuna jambo linanitatiza:Kama Jiwe anatendea mema taifa lake kwanini ni mwoga sana wa critics? Nimekuwa nikimfuatilia Trump harakati zake. Siku zote hujibu hoja kwa hoja dhidi ya critics wake. Na mara nyingi amekuwa akiwashinda. Sasa huyu wa kwetu anaziba watu midomo aongee yeye tu. Sasa kama anajiamini hayo anayoyafanya ni kwa ajili ya watanzania basi awaache na watanzania nao watoe maoni yao!
Jiwe ni mshamba.. bhaasi. Lakini anaelewa ambavyo tulimgaragaza kwenye sanduku la kura, anajuwa vema kabisa. Anafahamu pia tutamgaragaza tena akigombea 2020. Woga wake ni dhahiri, hasa akikumbuka kuwa hana wherewithal upstairs ya kujenga hoja.. ndo maana jamaa anachukia watu wote wenye akili zaidi yake. Yeye anaona bora afanye kazi na mang'ombe kina musiba na bashite kwa sababu hawajiwezi.. wako tayari kumlamba pnmbu ili mradi mkono wao uende kinywani
 
Watu wanaenda kinyume na utawala wowote lazima wanyamazishwe au waende sehemu nyengine.Hata Mungu aliona ni vyema kumtimua shetani na malaika zake !! Acheni kutumika kwa manufaa ya matumbo yenu hapo mtaishi kwa amani
Ushamba kazini na ukosefu wa weledi wa kujibu hoja kwa hoja
 
Unajua kuna jambo linanitatiza:Kama Jiwe anatendea mema taifa lake kwanini ni mwoga sana wa critics? Nimekuwa nikimfuatilia Trump harakati zake. Siku zote hujibu hoja kwa hoja dhidi ya critics wake. Na mara nyingi amekuwa akiwashinda. Sasa huyu wa kwetu anaziba watu midomo aongee yeye tu. Sasa kama anajiamini hayo anayoyafanya ni kwa ajili ya watanzania basi awaache na watanzania nao watoe maoni yao!
Inawezekana uwezo wa kujibu hoja hana...
 
Uandishi gani anaoufanya Musiba na hajawai kuojiwa na police ata kwa dk 5 au kwakuwa anawazalilisha wenye mitazamo tofauti na nyinyi??!!!
Uandishi gani wakuweka dhihaka na dharau kwa Rais!!
Ashukuru sana ni Tanzania
 
Back
Top Bottom