Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!
Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.