Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

Mabwege wengi huku Africa wanawazaga namna hii ndio maana watawala wanawatumia wawezavyo
Kwa uandishi ule uliochapishwa kwenye makala kadhaa za gazeti hilo la kigeni ambazo, nilipata kuzisoma na baadhi kuzipuuza, sidhani kama anapaswa kulilia watu au Dola imhurumie.... Janga hili kalitengeneza mwenyewe kama kweli ndiye aliyeandika au kushiriki kwa namna yoyote ile.[emoji34][emoji34]
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Imeshathibitishwa kuwa aliandika au ni tuhuma tu? Kwanini hawalishitaki gazeti? Kwanini walianza na uraia wake?
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Kwa hiyo wewe umekwishakuwa mahakama na kutoa hukumu?

Huoni ubaya wowote kwa polisi kukiuka taratibu zinazotakiwa kufuatwa katika kulinda haki za washukiwa?
 
Kwenye utawala huu haki za kibinadamu na sheria zinaheshimiwa pale tu ambapo yule anaemuunga mkono kwa kila jambo anapokuwa ndiye mtuhumiwa wa kufanya kosa.

Akituhumiwa mtu wa mtazamo tofauti na wake, kila mtu aliyeupande wake anakuwa kambale kwa kutaka aonekane kuwa yeye ndiye anayempigania zaidi kuliko wenzake wote.

Musiba anakuwa kambale, polisi nao wanajigeuza makambale, bungeni nako kwa Ndugai, Ndugai naye anajigeuza kambale hawasikii la mtu, hawafuati utaratibu, hawatii sheria, mambo ni vuruvuru ili bwana mkubwa awaone.
 
Kipi kimeifanya serikari kuwa gumzo la kimataifa kati ya nakala za Economists au kushikwa kwa mwandishi.

Ata watu waliokuwa hawajui economists imeandika nini kuhusu Tanzania sasa ndio watatafuta hizo nakala kuzisoma na kushikwa kwa mwandishi wao ndio evidence za hoja zenyewe.

Ni kutengeneza matatizo yasiyo na lazima na kuharibu brand Tanzania kama sehemu ya amani na utulivu.

People ought to think before they act
 
Msaliti msaliti, muache awe ndumila kuwili ili ajue kwa nini watanzania wapo tayari kufa wakimtetea Dkt Magufuli ili atuletee maendeleo, hatutaki wajinga wajinga wanaotaka kushusha ari mioyo ya watanzania wanaosema hapa kazi tu! Akome na akomeshwe huyo msaliti.
Uko kufa peke yako,mimi sipo tayari kufa kwa ajili ya huyo uchwara!
 
Kipi kimeifanya serikari kuwa gumzo la kimataifa kati ya nakala za Economists au kushikwa kwa mwandishi.

Ata watu waliokuwa hawajui economists imeandika nini kuhusu Tanzania sasa ndio watatafuta hizo nakala kuzisoma na kushikwa kwa mwandishi wao ndio evidence za hoja zenyewe.

Ni kutengeneza matatizo yasiyo na lazima na kuharibu brand Tanzania kama sehemu ya amani na utulivu.

People ought to think before they act
Akili hiyo waiapate wapi?
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
D4EEFC7D-5A5B-4BD5-9C35-F0C39136F7F8.jpeg
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Muangalieni Mpiga Makofi huyu! Aandike kwa kujificha ficha kwani suala la Erick Kabendera kuandikia The Economist ilikuwa siri?!
 
Kuna watu hapa TZ na Afrika hushukuru sana wakisikia Mzungu akitukana mataifa yao. Na, Ukiona hivyo, ni ishara na watu ambao evolution haikuwasaidia. Baadhi ni viongozi! Hapa kwetu niliona CHADEMA wakielekea umoja wa EU kushtaki serikali.
Toooo low!
Na wewe unaeipigia makofi kila aina ya udhalimu unaofanywa na serikali unataka kusema evolution imekusaidia?!
Hivi mtu mwenye akili timamu anaweza kushabikia upumbavu kama huu eti kwa sababu tu ni Muunga Mkono Juhudi?! Tuwakumbushe tu kwamba, Nape na Kinana walikuwa Key Players kuhakikisha watu wanaunga mkono juhudi lakini leo wamegeuka kuwa main target ya utawala wa kidhalimu! So, it's a matter of time, hata nyie wapiga makofi ipo tu siku yenu! Hakuna utawala wa kidhalimu uliowahi kudumu daima!
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Kwani imethibitishwa ni yeye aliyeandika au umeambiwa ni tuhuma tu hadi hapo mahakama itakapomtia hatiani?
 
Sikutakiwa kuelewa. Nimeandika maoni yangu kuhusiana na kukamatwa kwake.
Sasa kwann unaruhusu hisia zako zikutoe katika maoni ya udadisi nauchunguzi alousema hata kukufanya kushindwa kuona kweli??

Unajua Hatutaendelea ikiwa tutajifanya hatuoni .


Sikatai kazi nzuri anayoifanya mkuu, anafanya kazi bora hata kama ni kazi bora kupitia kuwabana wananchi wake. LAKINI SANA linapokuja suala la kukiuka misingi ya ubinadamu , watu wanatekwa, wanauliwa ovyo, kesi za kuonewa n.k kwa kisingizio cha kujenga nchi ilo nikosa kubwa na dhambi kubwa.


Yuko wapi Gadafi?? Ndio alileta maendeleo, lkn kosa dogo la kubagua kabila dogo nchin mwake,, liliwapa fursa mabeberu kumungusha..je ni vip kama angethamin ili kundi??

Asili ya mwanadamu nihiii, Hata kama utampa maitaji yote bure..lkn ukachezea Uhuru wake ,akayashudia mateso anayopata jiran wake... Kamwe hatokaa akuelewe, sanasana atakua anasubiri siku ifike ili umuelewe.


Tatizo tulilinao leo hii. Ni Kiongozi asosikia Mashauri .
Kiongozi kua na washauri ambao wameamua kumkubali na kumshauri kwa manufaa yao mwenyewe.

Nakupa mfano..Vita ya RC wetu dhidi ya madawa ya kulevya, imemuacha yeye mwenyewe leo hii kutokua nauhakika wa maisha yake ( jambo zuri kupambana ).. Lkn je, Unategemea mtu huyu asiendelee kumshawishi mkuu kubakia madarakani kwa njia yoyote ile ilimradi tu ajihakikishie usalama wake???.

Nandio maana unaona leo hii kila mtu kaamua kumtetea mwenzake, na kwa sababu hiyo Watu wataendelea kutekwa, kuuliwa n.k PASIPO KUPATA MAJIBU SAHIHI.
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Kwani Raisi ana staha kwa raia anaowatawala? Wako waliokufa kwa kusengenywa huku Raisi akikejeli na kusema anatumbua, mbele ya halaki ya watu..

Wako waliopigwa risasi, wako Waliokutwa wamenjinyonga nk..
 
TAARIFA KUHUSU KUKAMATWA, KUWEKWA MAHABUSU NA KUHOJIWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA UCHUNGUZI ERICK KABENDERA


Tarehe 29 Julai 2019, majira ya saa 11 jioni, watu wasiojulikana na waliovaa kiraia, walifika nyumbani kwa Erick Kabendera eneo la Mbweni Mpigi Dar, wakitaka kumkamata.

Hata hivyo, ushirikiano wa marafiki wa Erick na majirani waliofika katika eneo la tukio, ulilazimisha watu hao kujitambulisha kuwa ni askari Polisi.

Baada ya kujitambulisha, watu hao walifanikiwa kumchukua Erick na kwenda naye kusikojulikana, wakachukua simu yake na kuifunga kiasi kwamba hakuweza tena kuwasiliana tena na wenzake.

Kufikia leo, Erick Kabendera amefikisha siku tano akiwa mikononi mwa Polisi.

Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, Polisi inatakiwa kukaa na mtu kwa muda usiozidi saa 24 kabla ya kumfikisha mahakamani. Kama itataka kukaa na mtu kwa zaidi ya muda huo, inatakiwa kupata kibali cha Mahakama.

Katika jambo hili la Kabendera; taratibu zote hizi hazijafuatwa -kwamba Polisi imekaa naye kwa zaidi ya saa 24 na haijapata ruhusa ya Mahakama kufanya hivyo.

Katika siku yake ya kwanza kushikiliwa, Kabendera alihojiwa kwa zaidi ya saa nne na maofisa wa Idara ya Uhamiaji kuhusu Uraia wake.

Ni Idara hiyohiyo ya Uhamiaji iliwahi kusema huko nyuma kwamba suala la uraia wa Kabendera halina utata.

Agosti Mosi, 2019, Kabendera alichukuliwa na askari wa Kituo cha Polisi cha Kati kitengo cha Makosa ya Mtandaoni na kuhojiwa kwa zaidi ya saa tatu kwa tuhuma za uchochezi kwa mujibu wa Sheria ya Huduma za Habari kifungu cha 52 na 53.

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeamua kumshitaki Erick Kabendera kwa makosa ya uchochezi kwa madai kwamba mnamo Julai 31 mwaka huu, alichapisha habari katika jarida la The Economist yenye kichwa cha habari kisemacho “John Magufuli is bulldozing Tanzania’s Freedom”.

Erick amenyimwa dhamana na Jeshi la Polisi ingawa dhamana ni haki yake kikatiba.

Mchana huu, Jeshi la Polisi limetuma maofisa wake kwenda kufanya upekuzi nyumbani kwa Kabendera.

Kama Wakili wake, nalifuatilia jambo hili kwa karibu na nitakuwa nikitoa kwa Watanzania na Jamii ya Kimataifa kila itakapohitajika kufanya hivyo.


Imetolewa na

Jebra Kambole
Law Guards Advocates
2nd August 2019.

Kwa maelezo zaidi, tunaweza kuwasiliana kupitia

Phone: +255 717334032
Email: jebrakambole@gmail.com
Wakili gani anatumia gmail.com?
 
Pole zake.Kama kweli ni yeye, basi hakutenda sawa ktk uandishi wake. Tulisoma makarazakr lakini bila kujua nani anaandika.Aliandika kwa kujifichaficha, jamboa ambalo lilimpa uhuru wa kusema mawazo yake. Pamoja na haya ya wakili, sielewi kazi ya wanasheria ni nini? Je, ni kuwaokoa wenye makosa? Au kuwahakikishia hukumu wanayostahili. Naona mara nyingi mafaikioa yao namajivuno ni kuona muharifu akiachiwa!

Uandikaji wa mwandishi huyu, haukuwa na staha kwa rais, hata kama anaamini rais aliyepo ni bwege. Alistahili kuheshimu nafasi hiyo.
Jingalao
 
Back
Top Bottom