Mmoja wa wachezaji hawa wa Yanga SC ndiyo atavaa hirizi ya timu leo

Mmoja wa wachezaji hawa wa Yanga SC ndiyo atavaa hirizi ya timu leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Farid Musa

2. Bakari Mwamnyeto

3. Feisal Salum Fei Toto

Hivyo nawaomba wachezaji wa Simba SC kama ikiwezekana wafukizwe sana moshi wa .... au wapakae mafuta ya nguruwe.

Na kwa wale wa benchi la ufundi (siyo wachezaji) nawaomba muda mwingi wawe wameshika au wameweka ndimu au malimao karibu nao.

Yanga SC wameshakamatwa kila kona na leo, wanafungwa na wakijitahidi mno basi ni sare/ suluhu tu.
 
1. Farid Musa

2. Bakari Mwamnyeto

3. Feisal Salum Fei Toto

Hivyo nawaomba Wachezaji wa Simba SC kama ikiwezekana Wafukizwe sana Moshi wa Bangi au wapakae Mafuta ya Nguruwe.

Na kwa wale wa Benchi la Ufundi ( siyo Wachezaji ) nawaomba muda mwingi wawe wameshika au wameweka Ndimu au Malimao karibu nao.

Yanga SC wameshakamatwa kila Kona na leo Wanafungwa na wakijitahidi mno basi si Sare / Suluhu tu.
Wa makolo ni nani atavaa hirizi kuachana na Mgunda...???
 
Bby tulia tukupakate 😋😋😅
 
1. Farid Musa

2. Bakari Mwamnyeto

3. Feisal Salum Fei Toto

Hivyo nawaomba wachezaji wa Simba SC kama ikiwezekana wafukizwe sana moshi wa .... au wapakae mafuta ya nguruwe.

Na kwa wale wa benchi la ufundi (siyo wachezaji) nawaomba muda mwingi wawe wameshika au wameweka ndimu au malimao karibu nao.

Yanga SC wameshakamatwa kila kona na leo, wanafungwa na wakijitahidi mno basi ni sare/ suluhu tu.
patachimbika,
 
1. Farid Musa

2. Bakari Mwamnyeto

3. Feisal Salum Fei Toto

Hivyo nawaomba wachezaji wa Simba SC kama ikiwezekana wafukizwe sana moshi wa .... au wapakae mafuta ya nguruwe.

Na kwa wale wa benchi la ufundi (siyo wachezaji) nawaomba muda mwingi wawe wameshika au wameweka ndimu au malimao karibu nao.

Yanga SC wameshakamatwa kila kona na leo, wanafungwa na wakijitahidi mno basi ni sare/ suluhu tu.
imekuwa hirizi tena?kuke kufungwa yanga kumeishua wapi?
 
1. Farid Musa

2. Bakari Mwamnyeto

3. Feisal Salum Fei Toto

Hivyo nawaomba wachezaji wa Simba SC kama ikiwezekana wafukizwe sana moshi wa .... au wapakae mafuta ya nguruwe.

Na kwa wale wa benchi la ufundi (siyo wachezaji) nawaomba muda mwingi wawe wameshika au wameweka ndimu au malimao karibu nao.

Yanga SC wameshakamatwa kila kona na leo, wanafungwa na wakijitahidi mno basi ni sare/ suluhu tu.
Aliyewatoboa hukumtaja hapo.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom