Tetesi: Mmoja wa Watekaji wa Mfanyabiashara Deogratius Tarimo ni huyu hapa...

Tetesi: Mmoja wa Watekaji wa Mfanyabiashara Deogratius Tarimo ni huyu hapa...

Kama umewahi kuangalia movie ya "Sicario" ya 2015 basi utakubaliana na mimi kuwa hawa "wasiojulikana" ni kitengo cha serikali maarufu kama "hit man" ni watumishi WA serikali na wana check number kabisa, hawa watu wapo tangu utawala wa Nyerere (rejea kitabu cha L. S. Mwijage "The Dark Side of Nyerere's Legacy) enzi hizo waliteka na kupoteza ila kwa umakini Sana na walengwa walikuwa "maadui wa nchi" kweli

Baada ya nchi ya Tanzania kuwa ya kihuni na kila mfumo kuwa wa kihuni na hasa ajira za undugu na vimemo basi kitengo hiki pia wakaingizwa wahuni na mauaji na utekaji vikawa sio tena "kwa kulinda nchi" ikawa ni kupiga dili na kulinda wanasiasa wajinga!
p11539968_p_v8_aa.jpg
 
Kutoka mtandao wa X (Twitter)

1. Huyo jamaa tall mwenye aliyevaa raba na shati la mistari amepiga JKT Orjoro mwaka 2008 (Operation Kilimo kwanza)

Alifahamika pale jkt kwa jina la NYANG'AU na alikuwa kombania B (B Coy)

Mwaka 2009 akaajiriwa na jeshi la polisi na urefu wake ndio uliombeba.

Mwaka 2021 aliumizwa akiwa ametoka kwenye moja ya kazi kama hizi mkoni Kilimanjaro

Akaenda kutibiwa hospitali ya Midowel iliyoko Mpakani, maili moja, Kibaha.

Tetesi ni kwamba, alikuwa sehemu ya timu iliyoenda kuwakamata walinzi wa WeMbo mkoani Arusha kipindi kile.

Huyu anaunda timu ya watu watano ambaye mmoja wake (namfahamu lakini simtaji hapa kwa kuwa si sehemu ya swala hili) Initials za majina yake ni E. K

Yeye hukaa pale uwanja wa ndege JKNIA akijicamouflage kama muuza maua.

2. Mwenye Kapelo tayari amefahamika kama Evarist. Pdf lake la "Know Your Client" lipo njiani.

View attachment 3151082
View attachment 3151154

View attachment 3151177
Huyu kenge anaonekana bangi ni kama chakula tu kwake.
 
Kwaiyo kama watekaji wametoka kitego maanayake hamna kesi hapo.


Ishu za Bwana kheri kuibiwa mali yake zitaishia kwa Bwana kheri mwenyewe na yote yatakuwa kheri.
 
Jeshi la ovyo linafanya vitu vya ovyo ila Toka aingie Wambura naona mambo ya ovyo yamezidi ndani ya jeshi
 
Kama umewahi kuangalia movie ya "Scario" ya 2015 basi utakubaliana na mimi kuwa hawa "wasiojulikana" ni kitengo cha serikali maarufu kama "hit man" ni watumishi WA serikali na wana check number kabisa, hawa watu wapo tangu utawala wa Nyerere (rejea kitabu cha L. S. Mwijage "The Dark Side of Nyerere's Legacy) enzi hizo waliteka na kupoteza ila kwa umakini Sana na walengwa walikuwa "maadui wa nchi" kweli

Baada ya nchi ya Tanzania kuwa ya kihuni na kila mfumo kuwa kihuni na hasa ajira za undugu na vimemo basi kitengo hiki pia wakaigizwa wahuni na mauaji na utekaji vikawa sio tena "kwa kulinda nchi" ikawa ni kupiga dili na kulinda wanasiasa wajinga!
View attachment 3151207
Naomba nikusahihishe mkuu,ni “SICARIO”
 
inashangaza sana mtu kufanya shughuli km hizi hapa duniani yaani km navyowashangaa mashoga,dada powa kazi za ajabu ajabu,yaani kazi yako wewe kutumwa kuteka watu na kwenda kuwaua cha ajabu zaidi watu wanakubaini kwamba wewe ni fala mmoja tu mpk ulikotoka wanakujua
 
Ni nchi ya wapumbavu tu ndio inaweza kupeleka motion bungeni kuweka amnesty ya kundi halifahamiki kwa majina na idadi, wafanye uovu..ubakaji, wizi, utekaji na uuwaji halafu walindwe na sheria..maendeleo ya teknolojia yamerahisisha sana kubaini uovu wa aina nyingi unaofanyika hata kwa kificho, na hivyo km wapo watu au mtu wanahatarisha usalama wa nchi ni rahisi kuwabaini na sheria kuchukua mkondo wake na si kuruhusu sheria ya kulinda watu ndani ya serikali wafanye wanavyotaka bila kulazimika kufuata sheria..hata kuua na wasichukuliwe hatua! matukio ya utekaji kama haya ni matokeo ya sheria hiyo iliyopitishwa bungeni mwaka jana!
 
Back
Top Bottom