Fumadilu Kalimanzila
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,770
- 5,423
Kwani ambao sio ccm ndio wanafurahia kutukanwa?Mambo ya fei toto hayo hao Bodaboda watakuwa ccm hao
Kwani ambao sio ccm ndio wanafurahia kutukanwa?
Masikini akiambiwa ukweli anaona anatukanwa badala yakujitafakari foolish to highest level!!Kwani ambao sio ccm ndio wanafurahia kutukanwa?
Kama ni foolish tukutane kwenye uchaguzi 2025 hapo foolish atajulikana ni yupiMasikini akiambiwa ukweli anaona anatukanwa badala yakujitafakari foolish to highest level!!
Ukutane na nani?Kama ni foolish tukutane kwenye uchaguzi 2025 hapo foolish atajulikana ni yupi
Na wewe mgombea foolishUkutane na nani?
Sina muda mchafu na mauchaguzi yenu majinga mmejaa tele masikini wa akili na mali,Mimi ninachokisimamia ni ukweli kwamba masikini mkiambiwa ukweli mnachukia badala ya kujipa muda wa kufikiri na mbaya zaidi mliaminishwa umasikini ni sifa nyie wapumbafu mkalibeba kama lilivyo!!Na wewe mgombea foolish
Wewe ndio Mjinga,na utaongozwa na hao waliochaguliwa na wajinga na utasanda.Sina muda mchafu na mauchaguzi yenu majinga mmejaa tele masikini wa akili na mali,Mimi ninachokisimamia ni ukweli kwamba masikini mkiambiwa ukweli mnachukia badala ya kujipa muda wa kufikiri na mbaya zaidi mliaminishwa umasikini ni sifa nyie wapumbafu mkalibeba kama lilivyo!!
Ndiyo maana nikasema wewe ni foolish to highest level ntasanda kwa lipi mie sihusiani hata chembe na siasa zenu za mitaroni huko hata ungeongoza wewe na upumbafu wako kulingana na shughuri zangu sipati athari yeyote kiazi weweWewe ndio Mjinga,na utaongozwa na hao waliochaguliwa na wajinga na utasanda.
Eti huhusiani unless hauko Tanzania.Ndiyo maana nikasema wewe ni foolish to highest level ntasanda kwa lipi mie sihusiani hata chembe na siasa zenu za mitaroni huko hata ungeongoza wewe na upumbafu wako kulingana na shughuri zangu sipati athari yeyote kiazi wewe
Tatizo mnazaliwa vichakani akili mnaziacha huko huko,sisi tuliozaliwa hospitari tunalifahamui hilo.Eti huhusiani unless hauko Tanzania.
Una akili ndogo tena za kijinga.
Shida umezaliwa kutokea njia ya Kwa mpalange ndio maana akili zako ni maviTatizo mnazaliwa vichakani akili mnaziacha huko huko,sisi tuliozaliwa hospitari tunalifahamui hilo.
Lema ni lopo lopo sana, afungwe mdomoUkimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.
Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.
Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie
Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.
Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.