Mmoja ya watu ambao wataiua CHADEMA ni Godbless Lema

Mmoja ya watu ambao wataiua CHADEMA ni Godbless Lema

Lema huwa hana akili ni overrated tu!
Namchukulia sawa na mcheza mpira tahaira asiyejua goli wa timu yake na apatapo mpira anapiga popote tu!
 
Miaka michache aliyokaa Ughaibuni kumempa 'cultural shock' hivyo kwa sasa yuko 'out of touch with reality' na siasa za Bongo..
 
Na wewe mgombea foolish
Sina muda mchafu na mauchaguzi yenu majinga mmejaa tele masikini wa akili na mali,Mimi ninachokisimamia ni ukweli kwamba masikini mkiambiwa ukweli mnachukia badala ya kujipa muda wa kufikiri na mbaya zaidi mliaminishwa umasikini ni sifa nyie wapumbafu mkalibeba kama lilivyo!!
 
Sina muda mchafu na mauchaguzi yenu majinga mmejaa tele masikini wa akili na mali,Mimi ninachokisimamia ni ukweli kwamba masikini mkiambiwa ukweli mnachukia badala ya kujipa muda wa kufikiri na mbaya zaidi mliaminishwa umasikini ni sifa nyie wapumbafu mkalibeba kama lilivyo!!
Wewe ndio Mjinga,na utaongozwa na hao waliochaguliwa na wajinga na utasanda.
 
Wewe ndio Mjinga,na utaongozwa na hao waliochaguliwa na wajinga na utasanda.
Ndiyo maana nikasema wewe ni foolish to highest level ntasanda kwa lipi mie sihusiani hata chembe na siasa zenu za mitaroni huko hata ungeongoza wewe na upumbafu wako kulingana na shughuri zangu sipati athari yeyote kiazi wewe
 
Ndiyo maana nikasema wewe ni foolish to highest level ntasanda kwa lipi mie sihusiani hata chembe na siasa zenu za mitaroni huko hata ungeongoza wewe na upumbafu wako kulingana na shughuri zangu sipati athari yeyote kiazi wewe
Eti huhusiani unless hauko Tanzania.
Una akili ndogo tena za kijinga.
 
Ukimsikiliza Lema haongei kwa bahati mbaya. Anachoongea na anachofanya sasa ni kufitinisha Wanachama na Chama Cha CHADEMA. Alianza na kusema waendesha Boda boda wamelaaniwa. Hivyo, hata kula zao hahitaji.

Sasa anasema wasajili line za simu wafukuzwe makwao maana hawana wanachofanya. Lakini hazungumzii wezi, mafisadi, majambazi, matapeli, malaya n.k hawa amewaacha tu wawe huru katika speech zake.

Alipewa mikakati alipotaka kurudi TZ kama ambavyo yeye mwenyewe alidokeza. Arudi ila aunge mkono juhudi ili naye ale mema ya nchi, kama wenzie

Mwaka 2025 chadema hawatakuwa na la kuzungumzia. CCM kwa sasa imemaliza kila jambo. Hakuna ufisadi, miradi inaenda poa. Wanasiasa hawatekwi. Wanafanya issues zao bila tatizo. Hivyo hakutakuwa na haja ha upinzani. Kila kitu kimeenda sawa kama ambavyo kilitakiwa.

Tunawazika Chadema. Maana hawana hoja tena. Hata suala la Katiba Mpya sasa naona anayekomaa ni Maria Sarungi tu. Wanachadema wameshasahau. Wamenyimwa hoja kwa sasa. Hata sera zao wanashindwa zitangaza. Tunakoenda hakutakuwa na hoja kabisa ya upinzani.
Lema ni lopo lopo sana, afungwe mdomo
 
Back
Top Bottom