MMU Leo tuongee watu wazima vijana wajifunze kutoka kwetu, maana jukwaa limejaa utoto mwingi.

MMU Leo tuongee watu wazima vijana wajifunze kutoka kwetu, maana jukwaa limejaa utoto mwingi.

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Naongea na wazee wenzangu Leo, let's say hakuna tatizo nyumbani mko powa.

Mama ameanza tabia za kulala na Watoto na hakuna ugomvi wowote.

Na sometimes una vidume vikubwa kuna wakati mama anaona hah Leo jumamosi kuna wedding somewhere natoka na first born wangu wa kiume baba atasubiri nyumbani au akale vyombo vyake somewhere au whatever.

Kwanza tuelewane hapa sizungumzii usaliti au uchepukaji nataka tujenge familia haya nimeyashuhudia nikiwa Mdogo kaka yetu mkubwa alikuwa anaenda out na mama yetu kwenye special occasion na Mzee wangu Mungu ampumzishe Kwa amani alikuwa hapendi mitoko niliambulia mtoko mmoja Sea cliff hotel siku wajapan wanakabidhi soko la ferry my mother alikuwa kwenye official delegation Mimi ndio nikawa Mr wake siku hiyo.

Hivyo wazee wenzangu Leo jumamosi ukiagwa na mkeo kuna party ya kazini anatoka na mtoto wako mkubwa wa kiume utapokeaje? Amekudharau? Au utafurahia funguria mbwa na wewe upate kuchelewa kurudi nyumbani?

N:b, hii ni thread ya Kujenga familia naomba vijana wetu wadogo ikiwapendeza mbaki kuwa wasomaji tu.
 
Tayari hii thread imekuvuka umri, tulia uone mama zako na baba zako watakachochangia.
Tatizo lenu vijana huwa hamtumii hili jukwaa vizuri, pale juu kuna thread vimejadiwa vingi na ukitaka kila kitu pita pale juu utanishukuru baadaye.
nasubiri kukushukuru baadae
 
Haya mkuu shusha pumba na Michele, kabla ya kuandika thread huwa tunaangalia vipi vimejadiliwa, na kila nikipita huku siku hizi naona utoto mwingi umetawala.

Sasa Leo nikaamuwa kuleta thread ya watu wazima wenzangu ili tukumbushane jukwaa la MMU lilikuwaje hapo kabla.
 
Mkuu mimi kama ikitokea akiniaga nitaona poa tu sababu kwanza kuna mlinzi upande wangu hivo nitakuwa sure kwamba hakuna baya litaendelea huko.

Pili nitapata muda wa kuendelea na ratiba zangu kwa uhuru nikijua hakuna wa kumuwahi kwani nayeye hayupo hivyo hakuna mawazo ya kuwahi nyumbani hasa kwa week end kama hii.
 
Haya mkuu shusha pumba na Michele, kabla ya kuandika thread huwa tunaangalia vipi vimejadiliwa, na kila nikipita huku siku hizi naona utoto mwingi umetawala.

Sasa Leo nikaamuwa kuleta thread ya watu wazima wenzangu ili tukumbushane jukwaa la MMU lilikuwaje hapo kabla.
Ukweli Jf ya zamani sio ya siku hizi, yaani zamani mtu alikuwa akiomba msaada wa tatizo la kitu fulani anapewa bila hiyana ila siku hizi watu wamekuwa wabinafsi penye ushauri wa maaana mara wanaleta maswala ya Tafta hera, au one man down,
Yaani imekuwa vurugu vurugu, haina tofauti na facebook
 
Imekaa poa Sana ,kumjengea confidence, kumkutanisha na watu mbalimbali , like Yule pale ni mwanangu anaitwa flani flani kutana na flani... KWA ufupi ni KWA nia ya kumfundisha how things Goes.


Zama zimebadilika.
 
Aiseeee kwa ujumla wake mambo ya mahusiano huwa hayanaga formula kabisa! Ndio maana ukikuta Wazazi (wakwe) wakitaka kuleta formula zao kwenye Ndoa yako ndio migogoro inaanza hapo.

Kuna family, yaani wako poa kabisa Baba apike au anyooshe nguo zake. Mimi kwangu sijui hata fridge inawashwajez nilinunua fridge, kazi ya kujaza ni ya MAMA sio Yangu, Mimi ni kutoa pesa za matumizi, sijui hata sufuria ziko ngapi etc kwahio haya mambo hayanaga formula, usijaribu kukopi na kupesti, haiko hivyo!
 
Aiseeee kwa ujumla wake mambo ya mahusiano huwa hayanaga formula kabisa! Ndio maana ukikuta Wazazi (wakwe) wakitaka kuleta formula zao kwenye Ndoa yako ndio migogoro inaanza hapo.

Kuna family, yaani wako poa kabisa Baba apike au anyooshe nguo zake. Mimi kwangu sijui hata fridge inawashwajez nilinunua fridge, kazi ya kujaza ni ya MAMA sio Yangu, Mimi ni kutoa pesa za matumizi, sijui hata sufuria ziko ngapi etc kwahio haya mambo hayanaga formula, usijaribu kukopi na kupesti, haiko hivyo!
naunga mkono hoja me najisemeaga dia cheza sambamba na mdundo🥴
 
Niendelee?
Ukioa au ukiolewa, jaribu sana kujenga nyumba (family) Yako vile unataka na sio vile umelelewa! Kwa mfano, Kuna family ambazo Baba anampiga Mama, MTU kama huyu akioa anaweza asimthamini mke wake or vice versa kwahio, mkioana mnatakiwa kufungua a new page ya maisha yenu as Adults, kamwe usikubali influence ya Marafiki, Social media, Wazazi au Viongozi wa dini. Ndoa nyingi sana zimekufa kutokana na hao viumbe
 
Kuna watu wanasema usimwamini Partner wako, this is bullshit, unawezaje kulala na MTU kitanda kimoja na Bado kuwe na SIRI zako? Once you entertain hizi nonsense mtajenga family mbaya sana! If you want to be trusted be honest.....sasa you don't play your part ila unataka mwanamke akunyenyekee. Aagh tuishie hapa nimeshaitwa,.....
 
Niendelee?
Ukioa au ukiolewa, jaribu sana kujenga nyumba (family) Yako vile unataka na sio vile umelelewa! Kwa mfano, Kuna family ambazo Baba anampiga Mama, MTU kama huyu akioa anaweza asimthamini mke wake or vice versa kwahio, mkioana mnatakiwa kufungua a new page ya maisha yenu as Adults, kamwe usikubali influence ya Marafiki, Social media, Wazazi au Viongozi wa dini. Ndoa nyingi sana zimekufa kutokana na hao viumbe
Mkuu nitarudi hapa baada ya Masaa kadhaa, nazima simu tuombeane, narudi nyumbani.
 
Back
Top Bottom