Mara nyingi Afrika Tunaoa Wanawake tuliowazidi saana Umri, wakati mwingine unamzidi mwenzio hata miaka 10. Sasa miaka 20 ya mwanzo MAMA (wife) atakua proud kutoka na Baba kila mahali na anapenda kila mtu ajue au aone jinsi gani amebahatika kuwa na Mwanaume shupavu (protective), handsome (mvuto wa kuwa mwanaume sio Uzuri wa sura) kwa kifupi how far she is proud of U, Kwa bahati mbaya sana huo mvuto na vyote ni only for first 20yrs
Utakapohit 50 yrs, mzee baba unaanza kuonekana ‘MZEEE..’ hauvutii saana machoni pake kama mwanzo, wakati huo yeye yupo less than 50 (40s) ambapo mwanamke kwa umri huu ‘anakuwa veeery perfect’ (wakubwa mtanielewa hapa) karibia kila idara, kwahyo litapokuja swala la mitoko, presentation somewhr atahitaji aende au atokee na ‘A man [emoji1434]’ na “Mzee” ambaye ni wewe sasa[emoji28], kwhyo ni bora atoke na ki-tenager chake ambacho ndo kinabalehe balehe Kuliko wewe isije akashangaika huko kwmba mbona mume wake ni mzee sana kuliko yeye na mara nyingi atapenda kutoka na yule anaesemekana kufanana nae.
Katika Umri huo ndio watu hujutia Kwanini niliolewa na mtu mkubwa zaidi au kwann nilioa kabinti kadogo vile ingawa mara nyingi wanaume hawajutii.
MY TAKE: Calm down maan (kwa sauti ya steve harvey[emoji28]) there’s no cheating nor disrespect its just a matter of comfortability before the audience for her, you just chill home take a glass of Whisky enjoy your Tv show/ movie au soma kitabu chako cha How to get rich at 50[emoji23]
Usitoke kisa kakuachia uhuru, wanaume hatushindani baki home na akirudi akukute na mpokee kwa furaha na Amani. Sisi tunatoka kila siku tunakunywa kila siku na mengine mengi tunafanya behind their back (Wanaume mnajua achana na hivi vitoto vya tafuta hela)
[emoji1635][emoji1420][emoji1635] Cheers Maan!!