MMU Leo tuongee watu wazima vijana wajifunze kutoka kwetu, maana jukwaa limejaa utoto mwingi.

Mimi ninaona ni ufahari kwa mama kwenda na kijana wake anakuwa anajivunia uwepo wake na ana jinsia ya kiume kama wewe,ndani mpo wanaume 2au 3 ukiwepo na wewe baba yake . Kijana anakuwa anamuwakilisha baba, mwanaune ni mwanaume tu hata akiwa mdogo nafasi yake kuwa kama mlinzi kwa mzazi au dada anaiwakilisha vyema.
 
Ukweli halisi watu awapo seriously kabisa
 
Mzee mwenzangu Matola yaonyesha unamashaka... na mama atoke na kijana mkubwa...
Mswali mtoto wangu huyu au la???
Kamanda mpaka this time ukiwa na mashaka na mwanamke ni Kwa nini uishi naye?

Sina ugonjwa huo kwakweli, nilishapita uko muda tu.
 
Mara nyingi Afrika Tunaoa Wanawake tuliowazidi saana Umri, wakati mwingine unamzidi mwenzio hata miaka 10. Sasa miaka 20 ya mwanzo MAMA (wife) atakua proud kutoka na Baba kila mahali na anapenda kila mtu ajue au aone jinsi gani amebahatika kuwa na Mwanaume shupavu (protective), handsome (mvuto wa kuwa mwanaume sio Uzuri wa sura) kwa kifupi how far she is proud of U, Kwa bahati mbaya sana huo mvuto na vyote ni only for first 20yrs
Utakapohit 50 yrs, mzee baba unaanza kuonekana ‘MZEEE..’ hauvutii saana machoni pake kama mwanzo, wakati huo yeye yupo less than 50 (40s) ambapo mwanamke kwa umri huu ‘anakuwa veeery perfect’ (wakubwa mtanielewa hapa) karibia kila idara, kwahyo litapokuja swala la mitoko, presentation somewhr atahitaji aende au atokee na ‘A man [emoji1434]’ na “Mzee” ambaye ni wewe sasa[emoji28], kwhyo ni bora atoke na ki-tenager chake ambacho ndo kinabalehe balehe Kuliko wewe isije akashangaika huko kwmba mbona mume wake ni mzee sana kuliko yeye na mara nyingi atapenda kutoka na yule anaesemekana kufanana nae.
Katika Umri huo ndio watu hujutia Kwanini niliolewa na mtu mkubwa zaidi au kwann nilioa kabinti kadogo vile ingawa mara nyingi wanaume hawajutii.
MY TAKE: Calm down maan (kwa sauti ya steve harvey[emoji28]) there’s no cheating nor disrespect its just a matter of comfortability before the audience for her, you just chill home take a glass of Whisky enjoy your Tv show/ movie au soma kitabu chako cha How to get rich at 50[emoji23]
Usitoke kisa kakuachia uhuru, wanaume hatushindani baki home na akirudi akukute na mpokee kwa furaha na Amani. Sisi tunatoka kila siku tunakunywa kila siku na mengine mengi tunafanya behind their back (Wanaume mnajua achana na hivi vitoto vya tafuta hela)
[emoji1635][emoji1420][emoji1635] Cheers Maan!!
 
Mara nyingi huwa ni watu walio kwenye circle yenu. They know you na wewe unawajua.
Kwa hiyo, suala la kwamba utaonekana kituko sidhani kama Lina mashiko sana.
Some outings are just not as appealing to me. Harusi, kipaimara and the likes. Kwa hiyo aende tu hata peke yake.
Mwanamke akitaka kuchepuka huwezi kumzuia na akitaka usijue huwezi kujua. Usiwaze hilo, halitakusaidia kimaisha.
 
Big point kabisa
 
Sasa mama anatoka na first borne wako we unaona wivu wa nini? Wakati kijana anakuwakilisha vyema kabisa 😂😂😂 tena unajua kabisa usalama upo maana hawezi kwenda kukusaliti bila kamanda kuja kukumegea siri.

Mimi kama mzee nasema wao waende tu tena nikiwa jf ndo stakagi kero kabisa.
 
Cheers [emoji482][emoji482][emoji1635][emoji1635][emoji482][emoji1635] mzeee
Nmekuelewa sana
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yani upo kama mm kabisa
Yani waende tu alaf unatulia zako na jf
Ukisikia kitu unafungia tu fridge
 
Hakuna sehemu nimesema wivu, tunatowa semina elekezi how to understand woman.

Kwani akienda kitchen party mtaenda wote?

Kuna mfululizo wa thread humu unaonesha wazi vijana hawajaandaliwa wana kila aina ya malalamiko kuwakalamikia wanawake Mara Mke wangu hivi Mara Mke wangu vile, Sasa tusitowe vitip muhimu Mara moja moja?
 
Maadam amechagua kwenda kwenye shughuli na Mwanaye binafsi sioni kama kuna tatizo.

Nimenotice wamama hupenda kutoka na Vijana wao wa Kiume kwa ile dhana ya kujihakikishia Usalama, kuwaringishia wamama wenzao kuwa amekuza, na nyakati nyingine kwa malengo ya kuwa interact vijana wao na Jamii, kama amekaribia umri wa kuoa hiyo pia ni fursa wamama huitumia kumsoma kijana wake. Maana kwenye shughuli kunakuwa na aina mbali mbali za sample. So wamama huitumia kumsoma Kijana wake ana mwelekeo gani...

Kama Faza hausi hili Jambo nitalibariki kabisa. Sintakuwa na shida nalo.

Mapendo,
TANMO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…