"MMU Misses you Sooo Much"

GOD IS VERY BUSY.....can i help you??..
Sure............ can you tell Him to listen to ordinary citizen please!!
We dont understand why CCM is still in power and He is up there enjoying himself while we the ordinary citizen Tunataaika!!
 

Majukumu jamani ,tuombeane.Lakn nitakuwa ninachungulia
 
Majukumu jamani ,tuombeane.Lakn nitakuwa ninachungulia


Nimefurahi saana kukuona bana.... Pole saana na majukumu na Asante kwa heshima kwa wana MMU Kuyaweka pembeni na kutuondoa wasi wasi.... ZD I hope pamoja na kusema umebanwa all is well and good... Karibu saana Dear... (kuna members waliku Miss - watafurahi saana kukuona)
 
Am coming back home Adii!



hahahaha..... Naona it is a perfect ded hasa ukizingatia hapa MMU we miss you.... Karibu JG.. Nimefurahi saana kukuona.... Walau wewe huwa waonekana thou kwa manati.... but bana iwe walau mara nyingi... Regards with love kwa Malaika.
 
Last edited by a moderator:
Thanks AD...just been a bit tied up lately!!



Lizzy tumekumiss Dear... hasa ukizingatia ni mchangiaji mzuri saana... yawezekana kuliko hata woote katika list nilotaja wee huwa umetuzoesha kuwepo mara nyingi saana. Na members sasa tulishaanza kua na wasi wasi (inabidi ukawatulize pale lounge room a.k.a Chit Chat maana kuna watu wamkosa Amani kabisa). Nimefurahi kukuona.... Welcome Back...
 
kweli sis yaani kuhusu lizzy mimi niliona ninyamaze tu ila leo amenifanya nione siku katika mwanga bora-welcome lizzy
 
Thank you again dearest!!Ntajitahidi niwe nachungulia chungulia now and then mpaka ntakapopata fursa ya kurudi mzima mzima!!!

kweli sis yaani kuhusu lizzy mimi niliona ninyamaze tu ila leo amenifanya nione siku katika mwanga bora-welcome lizzy

Hahhahaha...Bebii asante kwa kunifurahisha...kicheko changu cha kwanza siku ya leo kimetoka kwako!!
 
Thank you again dearest!!Ntajitahidi niwe nachungulia chungulia now and then mpaka ntakapopata fursa ya kurudi mzima mzima!!!



Good!! Fanya hivo tafadhali... tunakusubiri kwa hamu dear...
 
hahahaha..... Naona it is a perfect ded hasa ukizingatia hapa MMU we miss you.... Karibu JG.. Nimefurahi saana kukuona.... Walau wewe huwa waonekana thou kwa manati.... but bana iwe walau mara nyingi... Regards with love kwa Malaika.

Hahaha pamoja wangu!
Yaani bwana mwenzio nilitekwa nyara na Funza Dume kule kwenye jukwaa lake la JEHANAMU hahahaha...!
But baada ya maombi makali sana ya watu wa MUNGU, nimekuwa huru sasa na nimerudi NYUMBANI!!
Siondoki tena!
 
Hahaha pamoja wangu!
Yaani bwana mwenzio nilitekwa nyara na Funza Dume kule kwenye jukwaa lake la JEHANAMU hahahaha...!
But baada ya maombi makali sana ya watu wa MUNGU, nimekuwa huru sasa na nimerudi NYUMBANI!!
Siondoki tena!



Dah!! Yaani you have cracked ME Up!! lol.... Naona kidogo tukupoteze eeeh?? WELCOME back bana.. tunashukuru Maombi yamefanya kazi.
 
Nimegundua.......

Ngoja na mie niingie mitini mpaka nianzishiwe sredi ndo niibuke tena.

Ntakuwa natumia ile ID nyingine.

Kwaherini kwa sasa wandugu.
 
Nimegundua.......

Ngoja na mie niingie mitini mpaka nianzishiwe sredi ndo niibuke tena.

Ntakuwa natumia ile ID nyingine.

Kwaherini kwa sasa wandugu.


Utakua huru kupokea simu nitakayo kua napiga kila every 30 mins?? Kama ni hivo ruhusa kupotea....lol... (kumbuka sheria za zile alter IDs huwa hazigusi MMU labda kama una register ya 13)
 
Good!! Fanya hivo tafadhali... tunakusubiri kwa hamu dear...
Will do....

Nimegundua.......

Ngoja na mie niingie mitini mpaka nianzishiwe sredi ndo niibuke tena.

Ntakuwa natumia ile ID nyingine.

Kwaherini kwa sasa wandugu.
We babu hakumiss mtu mpaka siku utakapoacha kufagilia infii...untill then keep on dreaming!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…