Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika,inabidi atambulike Kuwa ana misimamo yake🤜Mwanaume asipojielewa hayo mambo atakutana nayo Sana.
Hapo ndipo mfumo dume hufanya kazi Kwa ufanisi zaidi.
Mwanaume mwenye Mfumo dume Ndoa haiwezi mshinda, na hawezi pelekeshwa na panya yeyote yule
Hii ndiyo nzuri at leastAiseee, 🤣 wanataka kuliwa 🤣🤣
Tutawakuta sasa?!Msubiri wazeeke ndipo muoe watoto wao,
Ukianza kuwala tu dharau zinaanza kwa ndugu yao wanajiona Kama vile nao umewaoa.To yeye kama To yeye nasema ivi,hao wakuleni tu🙄
Baada ya kufanya nn hicho Hadi kikuhitaji upumzika?Napumzika kidogo😶
Kama analipa akijilengesha nampuliza tuAiseee, [emoji1787] wanataka kuliwa [emoji1787][emoji1787]
Umeona ee,sasa vijana wenzio wanakula kweli😳kama siyo laana hiyoLakini hata sisi vijana, ukiona mama mkwe analeta mazoea ambayo yatakuweka katika wakati mgumu, ni bora kuanza kumuepuka kiujanja bila yeye kugundua. Make sure you keep your marriage strong