Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kulikuwa na tatizo?To yeye,to yeye,to yeye🙄
Hapana Ila wapo wanaowala wakijilengeshaUnaweza ukala shemejio?
Mmmh!!? ujui inatakiwa upite kwenye majaribu ili kukomaa kiakili na kiiman? Ruhusu majaribu yaje ili ujione kama umekomaa au laMajaribu kimbia
Ila yapo ili kutujenga tambua hiloMajaribu yanaumiza na kuchoma kama moto😥
Weekend njema kabisa,Mungu ni mwema.Niko [emoji106], za weekend?
. Huwa nasahau kama nina shemeji wallah[emoji16]Mbona umewasahau na mashemeji wa kike
Watakuwa wamekufa[emoji16]Tutawakuta sasa?!
Wasiliruke kabisa,wao walitazame tu hiyo inatosha kabisa!!!Wasiliruke kabisa
Wapo vieleele wao wanapenda kuingilia had ndoa za dada zao. Huwa nasahau kama nina shemeji wallah[emoji16]
Ni kweli wapo wa hivyo,Wapo vieleele wao wanapenda kuingilia had ndoa za dada zao
Ni kweli huku mitaani kuna wamama wamezeeka lkn hawajikubali wanashare mabwana na mabint zao.Nadhani shida ni tabia na si umri..
Achana na mama mkwe, kuna kimbemne ukiwa na mama mzazi kiswaswadu aisee ni fedheha, mtaani vijana wanaruka kama kawa, stori zinazagaa, mama mtu mzima hovyo. Mama shankupe, chakubimbi.. Kutwa kudaiwa na wenzie vikoba, mama aisipitwe kila shughuli yumo, aisee ni fedheha saana.
Katika mambo huwa namshukuru mungu saana MUNGU basi ni kunipa mama yangu huyu, na katika vitu nampa heko marehemu dingi basi ni kumchagua huyu mwanamke na mwishowe akaja kuwa mama yangu mzazi.
Upumzike kwa amani huko ulipo mzee
Mimi alinambia Nina kitambi!Msubiri wazeeke ndipo muoe watoto wao,
Lkn si umeoa[emoji41]Bora wewe jamaa! Mimi mama mkwe alinambia sifai Sina Hela afu Nina kitambi! [emoji23]
Kitambi cha ulanzi[emoji23]Mimi alinambia Nina kitambi!