Mna kheri wenye mama mkwe mzee

Mna kheri wenye mama mkwe mzee

Kwanza hata kumtizama machoni mkwe(mume wa binti yako) sio adabu ije kuwa kumpigia simu na kuongea nae habari za kumisiana na kuomba matumizi!! Dah dah dah daaaaaaaaah!!!

Mashemeji wa kike pia hao ndo sitaki mazoea kabisa na mume wangu hata mkono natamani wasimshike,, mi sipendagi hata kukatiza mbele ya maboyfriend zao tu au kukaa nae eti napiga story nk hiyo ni kuepusha mazoea na kuanza kumvutia akutongoze then whaaaat!!! Maana wengine tuna vimvuto flani hivi vya kuvutia watu,, sio physically,

Mkwe wa kiume sio mtu wa kumuwekea mazoea kiasi hicho,,heshima yake ni ya kipekee hafanani kabisa na mkwe wa kike(mkamwana)
 
Dada yangu (mdogo kwangu) ndio mwelekeo wake huo, halafu watoto wake wote wa kike, nawaonea huruma mno watakaokuja kuwaoa hawa uncle zangu. Kazi yake ni umbeya na kuvuruga wifi zake kwa waume zao.
Ni kivuruge at high-level 🤣
 
Kwanza hata kumtizama machoni mkwe(mume wa binti yako) sio adabu ije kuwa kumpigia simu na kuongea nae habari za kumisiana na kuomba matumizi!! Dah dah dah daaaaaaaaah!!!

Mashemeji wa kike pia hao ndo sitaki mazoea kabisa na mume wangu hata mkono natamani wasimshike,, mi sipendagi hata kukatiza mbele ya maboyfriend zao tu au kukaa nae eti napiga story nk hiyo ni kuepusha mazoea na kuanza kumvutia akutongoze then whaaaat!!! Maana wengine tuna vimvuto flani hivi vya kuvutia watu,, sio physically,

Mkwe wa kiume sio mtu wa kumuwekea mazoea kiasi hicho,,heshima yake ni ya kipekee hafanani kabisa na mkwe wa kike(mkamwana)
Umenena love,yaan kumwangalia usoni tu ni kosa kubwa.....unamtumbulia macho Ili utake nn
 
Umenena love,yaan kumwangalia usoni tu ni kosa kubwa.....unamtumbulia macho Ili utake nn
Unakuta mmaza anamtizama mkwewe usoni hivi akirembua vzr kumzidi binti yake na mkwe akadindisha inakuwaje au maza awe chombo kuzidi bintiye!!! Si ndo laana zenyewe hizo jamani,, sisi kwetu mkwe haruhusiwi kuonana na mama mkwe wake uso kwa uso labda kwa dharula maalum msiba, harusi ama ugonjwa, na mkamwana na babamkwe ni hivyo hivyo pia
 
Mama mkwe wa kyela mbeya hao[emoji1787]utasikia sawa anahela ila sura Hana[emoji1787][emoji119] mtazame yeye sasa,[emoji15]sura fanta miguu coca [emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hakika mna kheri.Ma mkwe vijana imekuwa shida Sana,zamani walishindikana Kwa mdomo but now wameshindikana Kwa vyote...game wanataka wale na watoto wao...masimango na kuchagulia waume au wake watoto wao(huyu simtaki,huyu Hana Hela,huyu mfupi Sana mbegu mbaya🙄),na kuachanisha ndoa ndo wamekuwa mstari wa mbele(huwa nashangaa Sana unakuta ma mkwe yupo free kuwasiliana na mume wa mwanae kama anawasiliana na watu wengine TU,kinyakyusa ni mwiko....una shida mwambie mtoto wako yeye atamwambie mumewe) siyo unapiga simu Moja Kwa moja Tena bila aibu unatanguliza na kaunafki juu"Eti mwanangu🤔 Sina chochote ndani vitu vimeisha😳" Aisee jamani...yaan alee mke na mke wa baba mkwe wake.Hapana Kwa kweli.Una shida na pesa mwombe mwanao then mwanao atajua atatoa wapi,anamwomba mumewe au mkewe ndo akupe hilo halikuhusu!

Hongera Sana wenye wakwe vikongwe hawanaga muda huu,wanashukuru wanachopata muda huo,toka Kwa nani sijui ilimradi wamekula na kuvusha Siku😘
Ndaga fijo..
 
Imagine unamuoa paula na mkweo ndio kajala...dah Vanny boy na tembo wana kazi mnooo
Kajala hafai hata kutajwa kwenye jamii huyo ni mfu kimaadili.

Mbegu hiyo haipaswi kuoteshwa hata pembeni ya shamba.

Ninampongeza sana Majani na nina mpa pole kubwa Harmonize.

Ole wake atetereke kipesa ....ni suala la muda tu.
 
Nipo huku europe miaka 10 sasa sijaona masuala ya wakwe kuingilia familia za watoto wao.
Inategemea mkuu.
2010 nilikuwa Denmark 2yrs kuna mamamkwe alimkataa katukatu binti flani kuolewa na kijana wake kisa wazazi wa binti baba ni green grocer na mama ni mwalimu.
Kilichotokea kijana alijiamulia afunge ndoa bila sherehe na mimi nikawa mpambe wake yaani tulikuwa wanne na padre wa 5 tu.

Yule mkwe alikuwa kisirani sana na hawakuelewanaga na mkwewe hadi tulipoachana kwani nilifikia kwao.
Lakini baba mkwe hakuwa na noma na mkwewe kabisa.
 
Inategemea mkuu.
2010 nilikuwa Denmark 2yrs kuna mamamkwe alimkataa katukatu binti flani kuolewa na kijana wake kisa wazazi wa binti baba ni green grocer na mama ni mwalimu.
Kilichotokea kijana alijiamulia afunge ndoa bila sherehe na mimi nikawa mpambe wake yaani tulikuwa wanne na padre wa 5 tu.

Yule mkwe alikuwa kisirani sana na hawakuelewanaga na mkwewe hadidi tulipoachana kwani nilifikia kwao.
Duh, Vip bado wapo wote hadi leo?
 
Unakuta mmaza anamtizama mkwewe usoni hivi akirembua vzr kumzidi binti yake na mkwe akadindisha inakuwaje au maza awe chombo kuzidi bintiye!!! Si ndo laana zenyewe hizo jamani,, sisi kwetu mkwe haruhusiwi kuonana na mama mkwe wake uso kwa uso labda kwa dharula maalum msiba, harusi ama ugonjwa, na mkamwana na babamkwe ni hivyo hivyo pia
Sema na wanaume tumezidi kuwa ma mbwa koko, utakubalije ukaribu na mama wa mpenzi wako?
 
Back
Top Bottom