Mna macho lakini hamuoni, Rais Samia Suluhu ameweka rekodi nyingine

Mna macho lakini hamuoni, Rais Samia Suluhu ameweka rekodi nyingine

Getrude Mollel

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2022
Posts
270
Reaction score
362
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
 
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
Wamejaa chuki na husda kwa hiyo hawawezi kuona 😂😂
 
..anatakiwa aongeze wakati uchaguzi unakaribia.

..uchaguzi ukishapita anakirudisha tena chini.

..sasa alivyopandisha mwaka huu by 2025 watu watakuwa wameshazooea viwango hivyo, hawatsmshukuru ktk sanduku la kura

..halafu kazi inaendelea.
 
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
Anafahamu pia kwamba nchi ni ya wafanya kazi na wakulima?

Kwa wakulima ni nini kafanya?
 
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
ACHA
KWA hiyo unaona 33% ni sawa KWA MTUMISHI alietumika KWA miaka 60!?na mbunge ambae natumikia miaka 5 apewe 100%!!?
Lini mtaficha ........ WENU!!?
Sawa
 
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
Hata takwimu zako hazimaanishi unachosema[emoji16]Tulia mambo haya hayakuhusu
 
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
Kabla hatujakufuata huko sinza, tujulishe kabisa Mzigo upo sio tusumbuane mpaka sinza kumbe flat screen...[emoji1787][emoji1787]
 
ACHA
KWA hiyo unaona 33% ni sawa KWA MTUMISHI alietumika KWA miaka 60!?na mbunge ambae natumikia miaka 5 apewe 100%!!?
Lini mtaficha ........ WENU!!?
Sawa
Yaani kana kwamba mstaafu hawezi kupanga matumizi ya pesa zake, eti 33% kwanini? Halafu eti tupongeze
 
ACHA
KWA hiyo unaona 33% ni sawa KWA MTUMISHI alietumika KWA miaka 60!?na mbunge ambae natumikia miaka 5 apewe 100%!!?
Lini mtaficha ........ WENU!!?
Sawa
Shida yako ni nini hasa? sijakuelewa yani? tunatoa pongezi viwango kuongezwa. au unataka 100% kwa watumishi pia? heheh una matatizo wewe, hebu nioneshe Dunia hii sehemu gani inafanya hivy.
 
Shida yako ni nini hasa? sijakuelewa yani? tunatoa pongezi viwango kuongezwa. au unataka 100% kwa watumishi pia? heheh una matatizo wewe, hebu nioneshe Dunia hii sehemu gani inafanya hivy.
Kwani 75% ya zama zileee wamekopeshana sasa mifuko ipo ICU, mstaafu analipia, imagine umestaafu na serikali ina 67% ya pesa yako, life yenyewe hii
 
Biashara matangazo na namba ya simu umeweka kabisa😂🤣
 
😁😁😁
Uk.jpg
 
Bila shaka mmeona viwango vipya vya mafao kwa wastaafu ambavyo vimetangazwa hivi majuzi. Ikumbukwe kwamba, Rais Samia anasiku 433 madarakani na amefanya mambo makubwa sana kana kwamba amekaa madarakani miaka 5 au 10. Ngoja niwape na hii leo..

Picha linaanza kwamba, Kikokotoo kipya cha mafano ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii sasa kitakuwa 33% ukiachana na 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Kubwa zaidi, kwa wale wanaolipwa kupitia PSPF na LAPF ambao ni asimilia 19 ya wanachama wote, viwango vya malipo yao vimetoka 50% hadi 67%. Sasa kuna zuzu atakuja hapa kusema kwamba tunasifu na kuabudu.. Kweli? Kwa mambo mazuri kama haya ambayo Rais Samia anafanya, naache kutoa sifa kedekede.

Hata kama mtasema kwamba hastahili sifa kwakuwa anatekeleza wajibu wake, lakini mbona hao waliopita hawakutekeleza wajibu huo?

Kubwa zaidi tena, Serikali imetangaza kikokotoo kipya cha mafao ya mkupuo kwa wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii ambapo kwa sasa kitakuwa 33% kutoka 25% kiwango ambacho kilikataliwa mwaka 2018.

Haya njooni mnipige niko hapa Dar kwa sasa Sinza Madukani nyumba 12 namba yangu ya simu ni 0788123569
Ufike pahala upiga mbwa muuache.., maana waswahili hawakukosea kusema njaa mbaya.
 
Back
Top Bottom