Mna Nini Ndani ya Kitabu cha Sheikh Ponda?

Mna Nini Ndani ya Kitabu cha Sheikh Ponda?

Ni siku nyingi Sijaona picha zako mpya. Kipindi cha hizo picha wale mamluki waliokutuma kwa sasa wameona hali ni mbaya wao pia wamefilisika kama kina dossa aziz na wenzao baada ya agakhan kukata ufadhili na kupigwa pin na serikali enzi hizo wakajikuta hawana tena vyanzo vya mapato hivyo kwasasa huna dollar za kutembea hovyo kupiga picha kwene majiji ya wanaume wenzio. Tuzo za JamiiForums zimetolewa kwa wengi. Kufika Tehran, German, USA kwa fedha za ufadhili wa magenge ya uhaini na uhalifu wewe sio wa kwanza kufika. Hivyo sibabaiki na mamluki wa kishia.
Ujamaa...
Siku zote nimesafiri kwa gharama za wanaonialika baadhi ni hao hapo chini:

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Hao hapo chini walinialika 2011:

University of Iowa, Iowa City, USA.
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA.
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

Nimealikwa Iran na Wizara ya Nchi za Nje kuhudhuria Hawli ya Imam Khomeni 2007.

Nimealikwa Saudi Arabia Hijja na Mfalme wa Saudia 2014.

Nilialikwa Turkey kwenye Bookfair na Kilimanjaro Dialogue Institute 2015.


Bado nasafiri kwa mialiko ukipenda naweza kukuwekea picha zangu za hivi karibuni safari ya mwisho ni mwaka jana 2022.

juK2Sarz-oa-rzKTM0Ppj8H6FMR1f96BuQ61X-liapXxjkOFqOc8h8scCWup8K5ihYsDQ4ibPkhHZdURH8vDErKewFN-6s0ZyEM3MyvKYpRpKHUatb_lUOcwVc8U4lJQXt8w11FobAfMx4SSa1kvrFkE2ef9_sclAprQfC89wWjEJ6nfHfiN5sPs7znRVXiGjLpB-Ok3aLojYkF6DBINjUf-LTtIYOLVo4ceyia9UHDfw2dQQsHRLqF3u5jCLzA3jkBmrkXCM8KqB1eULA3uiaDtphiOABXElAZOjHypB3o-FkYX7KZ542DPKgdij6medxYSZEKU0j8DDzZxxl2-FCCdDX2W-1fe3aZ3JIif3p6dBMq0_ZbS3NJHaARhUyIl8kZf_8loopaGY4IkTIeXk99tby1cED3JGTwzfFNxSxsi_lCd7TfVZORxw9U70kap5dSH-OQbmi5bdG6x3M61HQRjw7Xa47EmGZOdplKJ8k8-1U4S4770iPR3bYOoPL6z6vgltp4kfBnQsWefvddMsGqMMhSG16joOUQe13hgCv1pWUvdpr8wb4CYFuaWIbwXrZ-cVFWSrQn9c45TQpzKw8z95pF5ZS6SRPUb7KgA7utd1aveK5bSvpjVBeHL6WlKkgDRD35b2BgbX43N5aOjdahJtgfE427t5nwIIKDOOi6-qBpIe1Fqzl6RAe0RiVhGqgE4FHeVCc1rv5C-O9ma4K43n2pvgm5JPgIEJBMkc6TdqTOxUh4CHmyNGg4vbAf4zTsgHVfs1IFwkMLw97RX92I4HmX4NFP7BCqW3QPhZ3vl7pHTpZrq4js5oysz5D2MAGhXl1_Ce1LzFxTaEzcpF7ad4lP0szenuxTd3KqnboDa0_v63ERuV6mFSu145M8ut09Hnc3KPLKYkzjVpzLlcYWfGj9FXxzSzJ8xlowBjNSWbRgJMWjjSAlRJzwIGDjlx35szAIaEw7SNQxjGKI=w867-h650-s-no

Istanbul Book Fair 2015​
 
Mjamaa...
Hapana tatizo ikiwa wewe unaona kitabu hakikuwa na taarifa za kutisha.

Kitabu pdf iko mtandaoni miaka mingi sasa na watu wengi wamekisoma.

Taarifa gani za kutisha zaidi ya uongo, uvumi, uchonganishi na fitna dhidi ya jamii za watanzania. Serikali iliona hakina umuhimu kwa maudhui yake, serikali ni pana sana kumanage mamilioni ya watanzania na uhusiano kimataifa sio swala dogo. Leo hii serikali ione kuna tishio gafla mtu mmoja au kikundi kione hakuna tishio. Serikali Ina mkono mpana sana na wengi wenu mmeshughulikiwa vya kutosha wengine walikaa miaka na miaka magereza wengine walifungwa kwa mambo yao ya kijinga na uchonganishi. kule zenji yaliyowakuta wale mamluki wa uamsho waliokuwa na vinywa vipana kwasasa adabu nidhamu na utii umewajaa na wengine wamerudi magomeni makwao. Mtandao wa mamluki ulisha vunjwa vunjwa kuanzia zanzibar, tanga, mwanza, arusha bila kusahau mkuranga, ikwiriri, rufiji na kibiti. Mliobakia ni sample ndogo kama mtego wa kuendelea kukamata masalia salia yatakayoendelea kujitokeza.
 
Naona mamluki mliumia sana baada ya kukosa shabaha yenu ya kugeuza chuo cha UDOM kuwa muslim university, mkagundulika njama zenu na baada ya hapo wahadhiri wote hao 11 wakapigwa pin. Mbona UDOM malalamiko yake yapo humu dhidi ya njama zenu za kuweka udini pale, kwa udini nyinyi tunawajua hata mamlaka mbalimbali za zerikali Zinalitambua hilo. Kwanza kwanini nafasi zote hizo muwe wa dini moja tu, nini kilikua kinaendelea pale mpaka nafasi zote mkawa nazo nyinyi?

Shabaha yenu ya 50/50 mmeipigania sana na hilo kamwe haliwezi tokea kwanza Dunia hii ni nchi gani Ina 50/50. Dini haiwezi wekwa kwene katiba hilo mlijue na halitokaa litokee sisi kushare mamlaka kwa minajili ya udini na ukabila kamwe haitakaa na haiwezi kutokea. Takwimu zako za 20/80 utalia nazo sana tu mpaka unaenda kabulini utaacha hivyo hivyo. Kule zenji ni pure 100/100 Muslim.
Umenikumbusha mwaka 2012 pale Uongozi wa UDOM walipoharibu uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi college ya Social Science pale UDOM
Walifyeka majina ya wagombea Urais wote ambao sio waislamu (mgombea aliyekua anaungwa mkono na wengi alikua anaitwa Zamba Nasser alikatwa makusudi lengo ikiwa ni Rais awe mwislamu. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo(fedha na mipango) Prof.S. Mlacha ndiye alikua anapigania sana hii issue
 
Ujamaa...
Siku zote nimesafiri kwa gharama za wanaonialika baadhi ni hao hapo chini:

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.


Bado nasafari kwa mialiko ukipenda naweza kukuwekea picha zangu za hivi karibuni safari ya mwisho ni mwaka jana 2022.

Naam, bado naendelea kukuchambua na kuna vitu kama ushahidi navipata kwene maandishi yako. Hivyo najifunza kitu hapa, mjadala ni mtamu sana watu zaidi ya 1k hapa wanakusoma kama fanani na michango ya hadhira inasomwa pia. awali hawakufika idadi hio.
 
Umenikumbusha mwaka 2012 pale Uongozi wa UDOM walipoharibu uchaguzi wa Serikali ya wanafunzi college ya Social Science pale UDOM
Walifyeka majina ya wagombea Urais wote ambao sio waislamu (mgombea aliyekua anaungwa mkono na wengi alikua anaitwa Zamba Nasser alikatwa makusudi lengo ikiwa ni Rais awe mwislamu. Naibu Makamu Mkuu wa Chuo(fedha na mipango) Prof.S. Mlacha ndiye alikua anapigania sana hii issue

Unamkumbuka yule madam kama dean of student aliyekuwa na tabia ya kukamata mabinti wa kikristo mtaani. Anakuja chuo na kuwafungulia mashtaka ya utomvu wa maadili mpaka baadhi yao wakafukuzwa. Alikuwa ni sumu sana akitaka mavazi yawe yale makanzu yao ya kike. Hawa watu ni sumu hakika tuishi nao kwa taadhari kubwa sana. Ushahidi ni mwingi kwa kilichokuwa kinaendelea UDOM dhidi ya hawa watu.
 
Unamkumbuka yule madam kama dean of student aliyekuwa na tabia ya kukamata mabinti wa kikristo mtaani. Anakuja chuo na kuwafungulia mashtaka ya utomvu wa maadili mpaka baadhi yao wakafukuzwa. Alikuwa ni sumu sana akitaka mavazi yawe yale makanzu yao ya kike. Hawa watu ni sumu hakika tuishi nao kwa taadhari kubwa sana. Ushahidi ni mwingi kwa kilichokuwa kinaendelea UDOM dhidi ya hawa watu.
Bila shaka unamuongelea Madame Aziza ni Albino.
Kiukweli UDOM iliharibiwa sana kipindi kile kwa movement za kidini
 
Huyu shkh isa Ponda namkumbali sana, ni miongoni mwa viongozi wa waislamu wa chache wanao jitambua, na wako tayari kusema ukweli na kufia dini yao bila uoga sio mnafiki huyu shkh.

Waislamu wame tengwa sana katika mfumo yetu ya elimu na utawala kanisa imepewa kipao mbele kutuchagulia watawala kwa kupitia elimu ya shule zao kiujanjaujanja, na ni waislamu wachache wenye uwezo wa kugundua hili, wenzetu wengi weme fudishwa kuchukia waislamu hata bila sabb.
Umesema kweli nikiwa sekondar nilienda wizara ya elimu chumba cha mipango nilikua na ndugu wa ukoo ameajiriwa pale kwenye mazungumzo yao niliona pana agenda za siri,,,maneno yalijadili kuhusu nyerere fondesheni ilionesha ndani ya taasisi palikuwa na kitengo maalum cha kupiga vita uislam ila niliekti kama sikusikia ...
 
Unamkumbuka yule madam kama dean of student aliyekuwa na tabia ya kukamata mabinti wa kikristo mtaani. Anakuja chuo na kuwafungulia mashtaka ya utomvu wa maadili mpaka baadhi yao wakafukuzwa. Alikuwa ni sumu sana akitaka mavazi yawe yale makanzu yao ya kike. Hawa watu ni sumu hakika tuishi nao kwa taadhari kubwa sana. Ushahidi ni mwingi kwa kilichokuwa kinaendelea UDOM dhidi ya hawa watu.
Ujamaamf,
Sina taarifa hizo.
Ningependa sana kuzijua.
 
Januari 11, 2019, serikali ilifanya uhamisho mkubwa wa kushitukiza kwa wahadhiri na watumishi wandamizi katika Chuo Kikuu cha Serikali cha Dodoma-UDOM. Waliohamishwa walikuwa 11, lakini wote walikuwa Waislamu: Dk. Maryam Khamis (Director of Graduate Studies), Dk. Ibun Kombo (Political Science), Dk. Mwinyikombo Amir (Mwalimu wa Udaktari wa Binadamu), Dk. Yusuf Kambuga (College of Education), Dk. Masoud Masoud (Informatics) , Bw. Subira Sawasawa (Mkurugenzi Mkuu Rasilimali Watu), Bw. Mohamed Mwandege (Bursar/Mhasibu Mkuu), Bi. Aziza Gendo (Seniour Estate Oficer), Bw. Simba Omary (Senior Supplies Oficer), Bw. Wema Mbegu (Legal Oficer), Bw. Khamis Mkanachi (Mwalimu wa Idara ya Historia).

Barua zao za uhamisho hazikuonesha makosa katika utendaji wao wa kazi au uongozi. Pamoja na kutokuwa wakosaji, uhamisho wao uliambatana na udhalilishaji mkubwa, kunyimwa haki stahiki za uhamisho, kuhamishiwa katika nafasi za chini kinyume na hadhi zao.

Baada ya uhamisho huo, Serikali ilifanya uteuzi mwingine katika chuo hicho hicho cha Serikali. Katika uteuzi huo walioteuliwa walikuwa 11, wote Wakristo: Prof. Leonard James Mselle, Prof. Adam B. Swebe Mwakalobo, Prof. Julius William Nyahongo, Prof. Justin Ntalikwa, Prof. Frowing Paul Nyoni, Prof. Odass Bilame, Prof. Ainory Piter Gasese, Dkt. Victor George Mareale, Dkt. Alex Shayo, Dkt. Calvin Swai, Dkt. Augustine Mwakipesile.

Kuhamisha wahadhiri 11, katika Chuo Kikuu si jambo dogo. Vilevile kuhamisha Wahadhiri 11, wa dini moja (Waislamu) katika Chuo Kikuu ukaingiza wahadhiri 11 wa dini moja (Wakristo), na hao Waislamu 11, baadhi yao ukawatoa kabisa katika mfumo wa elimu kwa kuwapeleka sekta nyingine na zisizo lingana na hadhi zao si jambo dogo. Wala si hatua ya kitaalamu ya kuboresha mfumo wa Elimu wa Taifa. Na wala si hatua ya kijinga bali ya werevu uliofurutu ada dhidi ya maslahi ya Taifa. Hatuwa hiyo ni salamu nzito kwa jamii yao na Taifa kwa ujumla. (Ndio maana katika maoni yetu ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tulipendekeza Katiba Mpya imtambuwa Mwenyezi Mungu na Dini liwe suala rasmi na la wazi katika uendeshaji wa nchi).

Uadilifu II

Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani Mwaka (2015), Rais alifanya uteuzi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala wa Mikoa, Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi mbalimbali. Uteuzi wake ulikuwa kama ifuatavyo:

Mawaziri na Manaibu: 30.

Waislamu 10, sawa na asilimia 33%.

Wakristo 20, sawa na asilimia 67%.

Makatibu Wakuu na Manaibu: 50.

Waislamu 10, sawa na asilimia 20%.

Wakristo 40, sawa na asilimia 80%.

Wakuu wa Mikoa na Wilaya: 166.

Waislamu 41, sawa na asilimia 25%.

Wakristo 125, sawa na asilimia 75%.

Makatibu Tawala wa Mikoa na Wilaya: 163.

Waislamu 24, sawa na asilimia 15%.

Wakristo 139, sawa na asilimia 85%.

Wakurugenzi mbalimbali: 249.

Waislamu 45, sawa na asilimia 18%.

Wakristo 204, sawa na asilimia 82%.

Manaibu Kamishna wa Polisi: 25.

Waislamu 5, sawa na asilimia 20%.

Wakristo 20, sawa na asilimia 80%.

Makamishna Wasaidizi Waandamizi wa Polisi: 33

Waislamu 7, sawa na asilimia 21%.

Wakristo 26, sawa na asilimia 79%.

Jumla Kuu ya Uteuzi:

Waislamu asilimia 20%.

Wakristo asilimia 80%.

Uteuzi huo umekuwa kama Sera kwa teuzi zinazoendelea ndani ya miaka yote mitano. Vilevile kama Mwongozo kwa wateule wenye mamlaka ya kuteuwa. Mwelekeo huo unakinzana na Katiba ya nchi ibara ya 13(4)(5), inayokataza ubaguzi wa aina zote. Kwa hakika Taifa halihitaji kiongozi wa nchi akiwa Muislamu basi ateuwe idadi kubwa ya Waislamu wenzake katika nafasi mbalimbali za uongozi wa nchi au akiwa Mkristo atumie uongozi wake kuteua idadi kubwa ya Wakristo wenzake katika uongozi nchini. Au akiwa Mzanaki ateuwe idadi kubwa ya Wazanaki wenzake katika nafasi mbalimbali za uongozi na mfano wa hayo.

Kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania, Rais ana mamlaka makubwa kuliko chombo chochote. Baraza la Mawaziri jukumu lake ni kumshauri tu na Katiba inampa uhuru wa kufuata au kutofuata ushauri wa chombo hicho au mtu yoyote. Mamlaka ya Rais pia yako juu kuliko ya Bunge. Rais anateuwa sehemu ya wabunge na ana mamlaka ya kulivunja Bunge. Rais pia anateuwa Majaji wa Mahakama na watendaji wengine wa kitaifa. Kwa kifupi Rais wa Tanzania ndiye muhandisi mkuu na mwenye kutengeneza shakhsia (Personality) ya Taifa.

Katika jukumu hilo la kutengeneza shakhsia ya Taifa, miongoni mwa watumishi wa umma 1269, wanaoteuliwa na mamlaka ya Rais ambao ni pamoja na: Waziri Mkuu, Jaji Mkuu, Mawaziri na Manaibu, Majaji, Mkuu wa Majeshi, Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Mabalozi wa Nchi za Nje, Makatibu Wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wa Wizara, Wakuu wa Mikoa, Makatibu Tawala Wilaya (DAS), Makatibu Tawala Mikoa (RAS), Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa, na Wilaya, Wakuu wa Bodi na Tume mbalimbali, Makamishna, Wakuu wa Mashirika ya Umma, Wakuu wa Vyuo Vikuu na kadhalika, asilimia 80 ya uteuzi huo unafanyika kwa Watanzania wa imani moja.

Na hao wateuliwa na wao wana mamlaka ya uteuzi katika maeneo yao au kusimamia masuala ya uteuzi, ajira, na kufanya maamuzi mbalimbali ya utendaji na uendeshaji kwa niaba ya Taifa. Wakitaka na wao wanaweza kufanya uteuzi ule wa asilimia 80 ya watu wa imani moja (au kabila moja).

Lingine la kuzingatiwa, uteuzi huo unawapa wateule hao Mamlaka, uwezo wa kufanya Maamuzi na Utawala. Lingine kubwa ni kwamba uteuzi huo unatoa fursa za mapato, maana yake ni kuwa, zaidi ya asilimia 80 ya pato la Taifa linalohudumia malipo na stahiki za watumishi wa umma linakwenda kwa kundi moja la kijamii na kuliacha kundi jingine.

Tunachotaka ni sera za Uwiano sahihi. Katiba za Kanya na ya Nigeria ni mfano mzuri wa dhana hii ya Uwiano sahihi. Ukurasa wa 75, Sura ya 9, sehemu ya kwanza, ibara ya 130 (1)(2), na uk 151 Sura 15, ibara ya 250 (4), ya Katiba ya Kenya inaelekeza, nafasi za Uteuzi za wafanya Maamuzi (Executives) na nafasi nyengine nyeti kama vile Mawaziri na Manaibu Waziri, Makatibu na Manaibu Katibu, Makamishna na Wakurugenzi, kuwepo Uwiano ulio Sawa na Ujumuishi (yaani pamoja na kuangalia weledi, uzoefu na uadilifu, lakin pia kuwepo na uwiano wa watu kwa kuzingatia walemavu, rangi, jinsia, Dini, makabila na mfano wa hayo) .

Katiba hiyo pia uk 143, sura ya 14, sehemu I, ibara ya 238 2(d), na uk 146, sura ya 14, sehemu ya II, ibara ya 241 (4), uk 149, sehemu ya IV, ibara ya 246 (4) inaelekeza mihimili ya Serikali ikiwa ni pamoja na Majaji, Majeshi yote ya Ulinzi na Usalama kama: Jeshi la Wananchi, Jeshi la Polisi, teuzi na ajira pamoja na kuangalia weledi, uzoefu na uadilifu kuwepo uwiano kama tulivyoona katika vifungu vya hapo nyuma.

Halikadhalika Katiba ya Nigeria, uk 8 Sura 2, ibara ya 4, maudhui yake yanaelekeza, Serikali Kuu, Serikali za Majimbo, Halmashauri za Miji, Mawakala (wanaofanya kazi kwa niaba ya Serikali, Vyama vya siasa) ni sharti ajira zao kuzingatia suala la uwiano wa mahala husika na Ujumuishi wa makabila na Dini.

Jambo muhimu ni mabadiliko ya fikra kwa viongozi wetu. Kama Isiwe Rais akiwa Muislamu ateuwe Waislamu wengi kwenye serikali yake, au akiwa Mkristo ateuwe Wakristo wengi kwenye serikali yake. Hakuna sababu yoyote ya msingi ya uteuzi huo.

Kwenye asilimia zako....
Nimeona waislamu na Wakristo pekee.
Vipi Wahindu, waabudu mizimu, na wapagani hao hawakushika nafasi?
Au kila mtu anayeitwa Marco ni mkristo?
Unataka tutambuane kwa Dini ili iwaje? Faida za kutambuana kwa dini ni zipi na hasara za kutambuana kwa dini ni zipi?
 
Ujamaamf,
Sina taarifa hizo.
Ningependa sana kuzijua.

Zipo nyingi sana. Ukiwa kama gwiji wa uvumi mitandaoni sizani kama hujawahi ona mada hizi hapa jukwaani, kama upo tiari basi fungua mjadala mpya watu waanze kushusha nondo.
 
Kwenye asilimia zako....
Nimeona waislamu na Wakristo pekee.
Vipi Wahindu, waabudu mizimu, na wapagani hao hawakushika nafasi?
Au kila mtu anayeitwa Marco ni mkristo?
Unataka tutambuane kwa Dini ili iwaje? Faida za kutambuana kwa dini ni zipi na hasara za kutambuana kwa dini ni zipi?
Illma...
Inaelekea hujui tatizo linaloikabili Tanzania na mjadala ulioko JF kati yangu na wengine sasa zaidi ya miaka 10.

Harakati za kuwaondoa wakoloni Tanganyika zilianza na African Association mwaka wa 1929 waasisi wakiwa Cecil Matola (President), Kleist Abdallah Sykes (Secretary), Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Ibrahim Hamisi, Zibe KIdasi, Suleiman Majisu, Rawkes Kusi na Rawson Watts.

Kuna Mpagani au Muhindu katika orodha hiyo ya waasisi wa AA?
Unajua sababu yake?

Unajua pia kwa nini Waislam ni wengi katika waasisi hao?

Unajua kwa nini Wajerumani waliwanyonga majemadari wengi Waislam katika Vita Vya Maji Maji?

Nenda Sekenke Songea kaangalie makaburi utapata jibu.

Kuna kaburi la halaiki wamezikwa Waislam wanokaribia 77 na pembeni yake kuna kaburi la Nduna Abdulrauf Songea Mbano maarufu kwa jina la Songea Mbano.

Unajua kwa nini Kilwa walionyongwa na Wajerumani ni Hassan Omari Makunganya, Omari Muenda na Jumbe?

Kuna Mpagani aliyenyongwa?

Unaijua historia ya TAA na viongozi wake?
Wako Wapagani au Wahindu?

Unawajua Wapagani na viongozi wao katika historia ya kuigania uhuru wa Tanganyika?

Unazijua picha hizo hapo chini na zinaeleza nini?

1682104155172.jpeg

Omari Hassan Mkunganya Makunganya na wenzake 1895
1682104320405.jpeg

Baraza la Wazee wa TANU 1957
1682104386530.jpeg

Shambani kwa Sheikh Abdallah Iddi Chaurembo Mtoni 1956
1682104506948.png

Dodoma 1955/56

 
Illma...
Inaelekea hujui tatizo linaloikabili Tanzania na mjadala ulioko JF kati yangu na wengine sasa zaidi ya miaka 10.

Harakati za kuwaondoa wakoloni Tanganyika zilianza na African Association mwaka wa 1929 waasisi wakiwa Cecil Matola (President), Kleist Abdallah Sykes (Secretary), Mzee bin Sudi, Ali Said Mpima, Ibrahim Hamisi, Zibe KIdasi, Suleiman Majisu, Rawkes Kusi na Rawson Watts.

Kuna Mpagani au Muhindu katika orodha hiyo ya waasisi wa AA?
Unajua sababu yake?

Unajua pia kwa nini Waislam ni wengi katika waasisi hao?

Unajua kwa nini Wajerumani waliwanyonga majemadari wengi Waislam katika Vita Vya Maji Maji?

Nenda Sekenke Songea kaangalie makaburi utapata jibu.

Kuna kaburi la halaiki wamezikwa Waislam wanokaribia 77 na pembeni yake kuna kaburi la Nduna Abdulrauf Songea Mbano maarufu kwa jina la Songea Mbano.

Unajua kwa nini Kilwa walionyongwa na Wajerumani ni Hassan Omari Makunganya, Omari Muenda na Jumbe?

Kuna Mpagani aliyenyongwa?

Unaijua historia ya TAA na viongozi wake?
Wako Wapagani au Wahindu?

Unawajua Wapagani na viongozi wao katika historia ya kuigania uhuru wa Tanganyika?

Unazijua picha hizo hapo chini na zinaeleza nini?

View attachment 2595543
Omari Hassan Mkunganya Makunganya na wenzake 1895
View attachment 2595546
Baraza la Wazee wa TANU 1957
View attachment 2595547
Shambani kwa Sheikh Abdallah Iddi Chaurembo Mtoni 1956
View attachment 2595552
Dodoma 1955/56

Hujajibu mswali langu ila Umespin mazungumzo Sitaki kuzungumzia hayo ya resistance ni mada pana japo ipo wazi.

Nilichouliza mimi hiyo 2015 hizo teuzi hakukuwa na wapagani? Vipi nao umewajumlisha katika wakristo.

Unafanya hivi kwa manufaa gani?
Unataka kupanda nini kwenye nyoyo za watu?
Wewe ni mtu mzima sasa Pengine ni baba au babu wa wengi humu, vipi utakuwepo hichi unachopanda kitakapomea?
Au utakuwa ushaenda kwa muumba ( siombei ila ndio uhalisia ).
Swali langu kuu kwanini unataka kutambulika kwa dini yako? Na sio kwa vitu vingine.

Nakuambia tena kwa mara Nyingine ( nilishawahi kukuambia humu). Aina hii ya harakati unayofanya sio relative tena......hasa kwa kizazi cha sasa.
Vjana hawajali tena kuhusu TAA wala TANU, si ajabu hawazijui.......
 
Lugoda,
Nimeweka pdf (English) hapa siku chache zilizopita.
Jaribu kuitafuta na kama kuna mtu anayo link atuwekee hapa.

Kitabu kipo kinauzwa shs: 10,000.00 kina kurasa 416.
Wauzaji ni Ibn Hazm Media Centre Msikiti wa Manyema, Mtoro na Mtambani.

Kinauzwa bei rahisi ili kila mtu aweze kukisoma.

mkuu nadhani hujanielewa! Mi nataka pdf yenye huo ushahidi wa ubaguzi wa govt kwa wenzetu waislamu ..Ambao hadi mkapa alistuka.
 
Hujajibu mswali langu ila Umespin mazungumzo Sitaki kuzungumzia hayo ya resistance ni mada pana japo ipo wazi.

Nilichouliza mimi hiyo 2015 hizo teuzi hakukuwa na wapagani? Vipi nao umewajumlisha katika wakristo.

Unafanya hivi kwa manufaa gani?
Unataka kupanda nini kwenye nyoyo za watu?
Wewe ni mtu mzima sasa Pengine ni baba au babu wa wengi humu, vipi utakuwepo hichi unachopanda kitakapomea?
Au utakuwa ushaenda kwa muumba ( siombei ila ndio uhalisia ).
Swali langu kuu kwanini unataka kutambulika kwa dini yako? Na sio kwa vitu vingine.

Nakuambia tena kwa mara Nyingine ( nilishawahi kukuambia humu). Aina hii ya harakati unayofanya sio relative tena......hasa kwa kizazi cha sasa.
Vjana hawajali tena kuhusu TAA wala TANU, si ajabu hawazijui.......
Illma...
Nimekujibu ila si jibu unalolitaka wewe.

Sipandi chochote katika moyo wa yeyote.

Nimesahihisha historia ya uhuru wa Tanganyika iliyokuwa na makosa mengi sana.

Na nimeeleza yaliyotokea baada ya uhuru kupatikana.

Huu mwaka wa 25 kitabu kinasomwa na watu wanaelewa ukweli.

Hapajatokea tatizo lolote.

Tuko hapa huu mwaka wa 10 tunaijadili historia hii.

Kama unaona historia hii haistahili kuwepo baada ya kufutwa mimi sina tatizo na mawazo yako.

Kwangu mimi hii ni historia ya wazee wangu na itabaki kuwa urithi wa kizazi kijacho.

Haya ndiyo manufaa yake na kitabu kimependwa sana.

Huu mwaka wa 25 bado nahojiwa na vyombo mbalimbali kuhusu Kleist Sykes na wanae.

Mwaka wa 2011 waliingia katika Dictionary of African Biography (DAB).
 
Kuwa na idadi ya wateule bila kupepesa ni sifa ndizo zinafanya wateuliwe, sasa mfano darasa lina watu wenye majina ya Kikristo 40 ,Islam 10 unategemea nini hapo? Anzeni chini chini Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi wana andaliwa, pita mashuleni uone idadi zao ndiyo utajua.
 
Kuwa na idadi ya wateule bila kupepesa ni sifa ndizo zinafanya wateuliwe, sasa mfano darasa lina watu wenye majina ya Kikristo 40 ,Islam 10 unategemea nini hapo? Anzeni chini chini Ng'ombe hanenepi siku ya mnada viongozi wana andaliwa, pita mashuleni uone idadi zao ndiyo utajua.
Ulweso,
Sawa lakini itapendeza jibu hilo Waislam walisikie kutoka serikalini.
 
Back
Top Bottom